peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kidato cha sita mitihani ya mwisho atafanya mitihani ifuatayo;-Physics
Chemistry
Biology
BAM
GS
HISTORIA
Hawa vijana hawatalisoma hilo somo
Nadhani unaakisi jina ulojipa maana mtindio wako wa ubongo ndiyo unakufanya uwe na kichwa kikubwaWeye MwanaLumumba huwezi nielewa kitu. Kazi yenu ni kusifu na kuabudu jiwe.
Ndo madhala ya kukopaaa. Hukulifahamu hiloo?? Haaaa haaaaa. Ulivokua unakamua booom, uliona sherehe hadi unamiliki simu ya milioni moja mtoto wa kapuku, sasa ivi ndo akili imekujiaa?? Inachaje kulipika nawakati ulimiliki kabati ya milioni moja na nusu chumba chakupanga cha laki mbili kwa mweziii, kama haya yote ulifanya unashindwaje kulipa??? Tana fanya haraka sanaaa na wengine tukopeeeWanapokea lakini badala deni lipungue linaongezeka......
Tutumie common sense, wanasema akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. Huyu kajitolea, ajira ikitoka kuna maana gani kumuacha? Afterall huyu unamfahamu kuliko aliyekuwa akiuza viazi mtaani. Ndo maana watu kama kichwa kikubwa tunawaona zombi tu.Kwahiyo hili hawalioni? Hebu fikiria kijana ambae hajaajiriwa tangia 2015 retention fee yake inasoma tu na hajui ataajiriwa lini
Inawezekana #4 na /au 5 ikachukuliwa au ikaunganishwa na #6?Kidato cha sita mitihani ya mwisho atafanya mitihani ifuatayo;-
1. Physics paper 3
2. Chemistry paper 3
3. Biology paper 3
4. BAM. Paper 1
5. GS paper 1
6. Historia paper 1
Jumla atafanya mitihani 12.
Waziri wa elimu, kiti ulichokikalia sio size yako. Hata hufai kuitwa Prof.
Unapingana na Ndugai spika wako?Lipa madeni ya serikali na wengine wakope ili wasome kama wewe ulivyo someshwa. Kwani kuomba mkopo ulilazimishwa? Kama ulijua huo mchanganuo, kwanini hukukataa kuchukua huo mkopo? Umeanza kuleta michanganuo ya deni na ukali wake baada ya kuhitimu shahada yako. Unafahamu kuwa wapo ambao wamesitisha masomo baada ya kukosa huo mkopoo? Dawa ya deni nikulipa.
Achana nae huyo mtoto wa mjomba kamleteni.Rudia kusoma alichoandika mkuu, pengine unaweza kuelewa na ukchangia kwa hoja nzuri na yenye mashiko.
Mleta mada hajakataa kulipa huo mkopo, anazungumzia changamoto ya retention fee na riba inayoongezeka kila mwaka kadri unavochelewa kuanza kurejesha mkopo, pamoja na ile Asilimia waliyopandisha kutoka 8% hadi 15%. Hivo vitu ni maumivu sana
Nadhani ungekuwa na mtoto anapata mateso ya huo mkopo usingeandika kwa kejeri namna hiyo.
Kuwa mstaarabu ndugu huenda wew ni mnufaika wa utawala huu kaa ukijua kuna wahitim wa vyuo vikuu wanasota kurudisha mkopo wa Bodi ya mikopo.
Kiufupi huo mkopo haulipiki, basi tu hujui adha tunayoipata.
Kumbe ndo kaleta huo mchanganuo?Unapingana na Ndugai spika wako?
Acha 'kiherehere cha kijani' wewe!! Hujui sheria zilipitishwa na zikaanzia toka miaka yanyuma wakati makubaliano ya awali yamkopo hayakuwa hivyo?
Wapo hata walimu walokatwa mshahara ukabaki 90,000 wakaacha kazi.
Unaonekana una chuki kali sanaNdo madhala ya kukopaaa. Hukulifahamu hiloo?? Haaaa haaaaa. Ulivokua unakamua booom, uliona sherehe hadi unamiliki simu ya milioni moja mtoto wa kapuku, sasa ivi ndo akili imekujiaa?? Inachaje kulipika nawakati ulimiliki kabati ya milioni moja na nusu chumba chakupanga cha laki mbili kwa mweziii, kama haya yote ulifanya unashindwaje kulipa??? Tana fanya haraka sanaaa na wengine tukopeee
Lipa deniiiAchana nae huyo mtoto wa mjomba kamleteni.
Kwanini ucherewe kulipa nawakati ulikopa mwenyewe? Hiyo michanganuo hamkuiona? Siku zote kopa ukijua kuwa nimateso kulipa. Na hiii iwefundisho, watu wanadhani ule mkopo wa chuo kikuu ni msaadaa, na ndio maana hata zile fedha za kujikimu yaaani boom wanazitumia kwa anasa saana na wengine hadi zimewaua. Na wapo wengine tulikuwa tunawapa tahadhali ya matumizi mabaya ya zile fedhaa.
Hakuna kulia lia hapa tujiandae kulipa deni na wengine wakopeee. Ni memwelewa vizuri saaana mleta maada, kinachotafutwa hapa nikutaka wala kupunguziwa ukali wa deni. Tulipe madeni ya mkopo na wengine walipe.
Silipi sasa hadi waondoe ujinga wao wa value retention feeLipa deniii
Kwahiyo unataka waongezeweee ili kasi ya kupunguza deni ziwe kubwaa??? Safi saana tuishauriii bodi iongeze asilimia za makatoo. Safi saaanaaa.Umeelewa mada yangu?
Wanufaika wasiokwenye ajira rasmi wakitaka kulipa 20000-30000 /month deni lao halitaisha sababu watakuwa wanalipa kidogo kwa mwaka kuliko thamani ya retention fee 6%.
Poor reasoning
Kukua au kutokukua inategemeana na soko. Nilikuwa na nia ya kupunguza deni taratibu ila kama hali iko hivi acha tutafutane tu hawapati shilingi yanguUmeeleza vizuri; na ninakupongeza kwa juhudi hiyo ya kujituma na kufungua biashara.
Ila kuna mahala umeamua nawe kdanganya, nadhani kwa maksudi tu ili kulinda hoja yako:
Hii biashara yako ya 'stationary' hutaraji ikue mwaka hadi mwaka ili ikuongezee kipato?
Na utaendelea tu na biashara hii hii hata kama haileti mabadiliko yoyote katika kipato chako?
Unaanzisha mada nzuri, lakini unaamua mwenyewe kuivuruga!
Hawaondoi ng'ooo. Ulivokuwa unatamba na simu ya milioni moja mtoto wa kapukuu ulijua kulipa deni ni sherehee?? Lipeniiii haraka saana. Kama hutaki kulipa atakamatwaa guarantors wako. Haaaa haaaaa.Silipi sasa hadi waondoe ujinga wao wa value retention fee
Kwahiyo unataka waongezeweee ili kasi ya kupunguza deni ziwe kubwaa??? Safi saana tuishauriii bodi iongeze asilimia za makatoo. Safi saaanaaa.
SawaKuwa mvumilivu bado miaka mitano tu huenda akaja mwenye roho ya huruma kwa wanufaika wa Heslb
Hii miradi kweli itakamilika kabla ya 2025?Raisi wa wanyonge Yuko busy kujenga stiglers gorge sijui na kununua ndege huku wananchi wakiteseka na Hali mbaya tena anazidisha mikodi kila corner mbaya kuna wapambe wanataka aongezewe mda Ili tuwe Kama zimbabwe ya mugabe