Waziri Ndalichako tunaomba utoe tamko kuhusu mwongozo wa elimu baada ya shule kufunguliwa, kuna shule wamebuni michango yao

Dahhhh.....
Naona povu kama umemeza Omo..[emoji23][emoji23]
Na bahati mbaya sijapata muda wa kufuatilia mashuzi aiseee, nipo busy kitaa kutafuta shilingi ili nikamalizie kulipa ada ya wanangu...[emoji41][emoji41]

Mtapata taabu sana, wenzenu wameng'atwa huko kagera mchana huu.
Fatilia taarifa ya habari kiganjani kwako.
 
Wakati unalaumu walimu kwa kufeli kwa wanafunzi pia kumbuka mwalimu anachangia only 25% ya ufaulu wa mwanafunzi. Vipi kuhusu hizo 75% zilizobaki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati unalaumu walimu kwa kufeli kwa wanafunzi pia kumbuka mwalimu anachangia only 25% ya ufaulu wa mwanafunzi. Vipi kuhusu hizo 75% zilizobaki?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hizo 75% ndo walimu wanazimarizia kabisa! Kwa kuwaagiza watoto michango,
Maana mtt akikoswa mchango wenzake wanamyanyapaa .

Ndio maana shule binafsi hazikubari mzazi kwenda na zawadi kusalimia mtoto kwa maana ya visting day.

Ila kwakuwa walimu wtu wengi niwale waliopata ufauru mdogo wakaambiwa nenda hata ualimu. Wanakuja na njaa zao.
Mwl wa secondary alitakiwa hata km ni shahada basi waangalie GPA yake be4.
Ila hawa wahata ualim ndiyo wanateseka kwa mikopo umiza mitaani harafu wanataka familia zao ziendeshwe na wazazi .

Hapana, ipo haja yakutaka muongozo toka kwa waziri wa elimu.
Subili utatolewa tu.
 
Hakuna shule ya kata yenye wanafunzi 2000 wilayani Magu, na hata 1000 nina mashaka.

Hoja yako ni nzuri, ila umeongeza namba ili upate jumla nzito!
 
Nchi hii inavituko wengine wanawaza Ada million 2 ya mtoto wa kindergarten wewe unalia Lia mpak kwa waziri eti elfu 20 unapenda vya Bure et?
 
Kwa hiari kabisa kwa kujali afya za watoto wetu, tukiwa na akili timamu, tena bila kushawishiwa na mtu, kwa umoja wetu, kwa kauli moja tumeazimia kuchangia.

Huku kwetu Magu mwaka huu tumejipigia ‘mamipunga’ hujapata kuona, hadi tunakosa maghala ya kuhifadhia, mipunga nje nje, nini kilo 20?

Tatizo msimu wewe ulikuwa unacheza pooltable mjini, sasa umerudi na ujanja wako wa mjini njaa kali unataka kutukwamisha kwa kulialia.

Kaa kwa kutulia, njoo shambani kwangu ‘ukapumbe nsapa’ ili uunge juhudi, maendeleo ya watoto wetu ni jukumu letu.

Ng’wamanga!
 
Mkuu hicho chakula anakula mwanao au mwalimu? education is so expensive, kubali kugharamia jamani

Huu uendeshaji wa shule kwa miaka hii imekuwa mgumu sana, walimu tunapata shida sana maana wazazi wamekuwa wajuaji sana ,sasa hebu fikiria mtu ameambiwa achangie ili mwanae ale lakini anakuja kulialia huku mitandaoni,unataka sisi walimu tutoe chakula chetu kuwalisha watoto wenu?

Sasa unadhani kilo kumi atakula Mara ngapi au siku ngapi?,ukifanya mahesabu ya haraka haraka mwanao hizo kilo kumi atakula zikizidi ni siku 40,sasa shida iko wapi? Tatizo watu wamekuwa wajuaji na hawataki kuheshimu taaluma za watu,wewe mwalimu umemuamini na kimkabidhi mwanao sasa unashindwa nini kumkabidhi mchele kilo kumi ili mwanao ale na apate elimu bora?

Pia mkuu tambua kuwa sasa mtoto atakuwa anatoka kwako saa 12 na kurudi nyumbani saa 11-12/jioni sasa unadhani mwanao atakula nini kwa muda wote huu ,maana hapa inahitajika taktibani Milo miwili aipate akiwa shuleni,sasa kwa hizo kilo kumi nadhani hazitoshi,ningekuwa Mimi mkuu wa shule ningeagiza gunia zima la mchele

Shule ninayofundisha Mimi mtoto hupaswa kuchanga debe Moja la mahindi ambalo ni takribani kilo 20, na mtoto kwa mwaka mzima huchanga debe mbili za mahindi,sh elfu 10,000 na kilo kumi kwa nusu mhula,wala sijaona shida yoyote kwa wazazi,maana chakula wala watoto wao


Jamani acheni kutupa stress sisi walimu,hatuna shida na Michele yenu,ila naomba mtuamini,maana mawazo yenu ni kwamba chakula hicho kitaliwa na walimu,si kweli.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kilo 1 huku dar Ni tsh 1700... Kwa hiyo umekosa shilingi 17,000 ununue hizo kilo 10 ili mwanao apate elimu Bora.


Leo si tumeambiwa maisha ya watanzania yamepanda tangu kusimikwa kwa awamu ya 5 nini tena mapovu yanakutoka kwa hela ya Castle light 5.
Mkuu Mimi Niko huku magu mchele kwa sasa kilo ni shilingi 800-1000 ,huyu ni mzazi uchwara

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Umeongea point kali SANA...
Ila 500, atakula akashiba, na ubongo ukatulia akamuelewa mwalimu??
Au ndiyo mtoto atakuwa msindikizaji bora liende??

Everyday is Saturday..................... 😎
 
Premature sperm
 
Unesikia muda wa masomo umeongezeka kwa masaa mawili kwa siku, kwa hiyo mtoto akienda shuleni asubuhi anarudi sa 11 jion.
Kumbuka huyo mtoto hajanywa uji wala nini, sasa shule imeweka utaratibu mzuri wa kuwasaidia wanafunzi ili angalau wapate mlo mmoja shuleni we unauona kama upigaji.
Wazazi wa aina yako ni wa kulaaniwa yani uko radhi mwanao akae masaa 11 bila kuweka kitu tumboni na bado asome afaulu? Af hapo unakuta mzazi kama wewe ukienda bar unawanunulia malaya bia na kuzungusha round kibao kwa washkaji.
 
Ambacho naweza kukwambia punguza ujinga kichwani mwako . Walimu hawana njaa kama wewe unaye lalamika kuchangia tsh.2000/ na unadhani hiyo 2000/ ya mwanao huyo mwalimu anafanyia nini?

Andika waraka peleka hata kwa rais usiishie kwa waziri pekee na kama huwezi kufika nitafute kwa namba +255779830*** nikuunganishe moja kwa moja

Mnajua kuzaa kama mipanya halafu kutekeleza majukumu yenu mnaanza kupiga mayowe 2000 ina kufanya unahariiisha maneno, mnavyo katikia viuno huko huwa mnategemea nini.?
 
Kama kweli wewe ni mzazi naihurumia familia yako
 
Utakufa we wakati unazaa ulijua utawatunzaje watt wako [emoji23][emoji23][emoji23] be responsible acha kulialia kisa ufukara wako.
 
We kuna mtu amekulazimisha kumpeleka hapo? We fanya kumuhamisha umpeleje shule inayoendana na unavyotaka. It's very simple.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…