Waziri Ndalichako tunaomba utoe tamko kuhusu mwongozo wa elimu baada ya shule kufunguliwa, kuna shule wamebuni michango yao

Waziri Ndalichako tunaomba utoe tamko kuhusu mwongozo wa elimu baada ya shule kufunguliwa, kuna shule wamebuni michango yao

Dahhhh.....
Naona povu kama umemeza Omo..[emoji23][emoji23]
Na bahati mbaya sijapata muda wa kufuatilia mashuzi aiseee, nipo busy kitaa kutafuta shilingi ili nikamalizie kulipa ada ya wanangu...[emoji41][emoji41]

Mtapata taabu sana, wenzenu wameng'atwa huko kagera mchana huu.
Fatilia taarifa ya habari kiganjani kwako.
 
Ha ha ha ! Naona Covid-19 mnataka mponee kwa wazazi!
Hili tundu tutaliandikia waraka kwa waziri wa elimu km atakaa kimya.

Sikila mwanafunzi aliyefanikiwa alikula shuleni!
Tulishinda njaa shuleni na tulifanikiwa km hivi tulivyo.

Shule za kata hamfundishi zaidi ya kuja na mipango hewa.
Hata watoto wanaofauru nikwa juhudi zao na wazazi wao.

Report na matokeo ya kila mwaka inaonyesha shule zakata wilaya ya hii nisawa na zero.

Darasa la wanafunzi 200 wanafauru Div4 34, Div2 wa3 na Div1 zero.

Mnanjaa mnataka kupiga msosi.
Kila mtu apambane na khari yke.
Wakati unalaumu walimu kwa kufeli kwa wanafunzi pia kumbuka mwalimu anachangia only 25% ya ufaulu wa mwanafunzi. Vipi kuhusu hizo 75% zilizobaki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati unalaumu walimu kwa kufeli kwa wanafunzi pia kumbuka mwalimu anachangia only 25% ya ufaulu wa mwanafunzi. Vipi kuhusu hizo 75% zilizobaki?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hizo 75% ndo walimu wanazimarizia kabisa! Kwa kuwaagiza watoto michango,
Maana mtt akikoswa mchango wenzake wanamyanyapaa .

Ndio maana shule binafsi hazikubari mzazi kwenda na zawadi kusalimia mtoto kwa maana ya visting day.

Ila kwakuwa walimu wtu wengi niwale waliopata ufauru mdogo wakaambiwa nenda hata ualimu. Wanakuja na njaa zao.
Mwl wa secondary alitakiwa hata km ni shahada basi waangalie GPA yake be4.
Ila hawa wahata ualim ndiyo wanateseka kwa mikopo umiza mitaani harafu wanataka familia zao ziendeshwe na wazazi .

Hapana, ipo haja yakutaka muongozo toka kwa waziri wa elimu.
Subili utatolewa tu.
 
Hakuna shule ya kata yenye wanafunzi 2000 wilayani Magu, na hata 1000 nina mashaka.

Hoja yako ni nzuri, ila umeongeza namba ili upate jumla nzito!
 
Kwa hiari kabisa kwa kujali afya za watoto wetu, tukiwa na akili timamu, tena bila kushawishiwa na mtu, kwa umoja wetu, kwa kauli moja tumeazimia kuchangia.

Huku kwetu Magu mwaka huu tumejipigia ‘mamipunga’ hujapata kuona, hadi tunakosa maghala ya kuhifadhia, mipunga nje nje, nini kilo 20?

Tatizo msimu wewe ulikuwa unacheza pooltable mjini, sasa umerudi na ujanja wako wa mjini njaa kali unataka kutukwamisha kwa kulialia.

Kaa kwa kutulia, njoo shambani kwangu ‘ukapumbe nsapa’ ili uunge juhudi, maendeleo ya watoto wetu ni jukumu letu.

Ng’wamanga!
 
Mkuu hicho chakula anakula mwanao au mwalimu? education is so expensive, kubali kugharamia jamani

Huu uendeshaji wa shule kwa miaka hii imekuwa mgumu sana, walimu tunapata shida sana maana wazazi wamekuwa wajuaji sana ,sasa hebu fikiria mtu ameambiwa achangie ili mwanae ale lakini anakuja kulialia huku mitandaoni,unataka sisi walimu tutoe chakula chetu kuwalisha watoto wenu?

Sasa unadhani kilo kumi atakula Mara ngapi au siku ngapi?,ukifanya mahesabu ya haraka haraka mwanao hizo kilo kumi atakula zikizidi ni siku 40,sasa shida iko wapi? Tatizo watu wamekuwa wajuaji na hawataki kuheshimu taaluma za watu,wewe mwalimu umemuamini na kimkabidhi mwanao sasa unashindwa nini kumkabidhi mchele kilo kumi ili mwanao ale na apate elimu bora?

Pia mkuu tambua kuwa sasa mtoto atakuwa anatoka kwako saa 12 na kurudi nyumbani saa 11-12/jioni sasa unadhani mwanao atakula nini kwa muda wote huu ,maana hapa inahitajika taktibani Milo miwili aipate akiwa shuleni,sasa kwa hizo kilo kumi nadhani hazitoshi,ningekuwa Mimi mkuu wa shule ningeagiza gunia zima la mchele

Shule ninayofundisha Mimi mtoto hupaswa kuchanga debe Moja la mahindi ambalo ni takribani kilo 20, na mtoto kwa mwaka mzima huchanga debe mbili za mahindi,sh elfu 10,000 na kilo kumi kwa nusu mhula,wala sijaona shida yoyote kwa wazazi,maana chakula wala watoto wao


Jamani acheni kutupa stress sisi walimu,hatuna shida na Michele yenu,ila naomba mtuamini,maana mawazo yenu ni kwamba chakula hicho kitaliwa na walimu,si kweli.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kilo 1 huku dar Ni tsh 1700... Kwa hiyo umekosa shilingi 17,000 ununue hizo kilo 10 ili mwanao apate elimu Bora.


Leo si tumeambiwa maisha ya watanzania yamepanda tangu kusimikwa kwa awamu ya 5 nini tena mapovu yanakutoka kwa hela ya Castle light 5.
Mkuu Mimi Niko huku magu mchele kwa sasa kilo ni shilingi 800-1000 ,huyu ni mzazi uchwara

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Hapo kilo kumi mwano anauwezo wa kupata milo 40 tu, kumbuka ile 2000 ni ya kuni, mpishi mafuta na mboga. Sasa huna sababu za kulia kiasi hicho! Ukiona huwezi na utampatia mwanao fedha mfano mia tano kwa siku, kwa siku 40 ni 20,000!!! Jitambue kwa maslahi mapana ya mwanao
Umeongea point kali SANA...
Ila 500, atakula akashiba, na ubongo ukatulia akamuelewa mwalimu??
Au ndiyo mtoto atakuwa msindikizaji bora liende??

Everyday is Saturday..................... 😎
 
Ha ha ha ! Naona Covid-19 mnataka mponee kwa wazazi!
Hili tundu tutaliandikia waraka kwa waziri wa elimu km atakaa kimya.

Sikila mwanafunzi aliyefanikiwa alikula shuleni!
Tulishinda njaa shuleni na tulifanikiwa km hivi tulivyo.

Shule za kata hamfundishi zaidi ya kuja na mipango hewa.
Hata watoto wanaofauru nikwa juhudi zao na wazazi wao.

Report na matokeo ya kila mwaka inaonyesha shule zakata wilaya ya hii nisawa na zero.

Darasa la wanafunzi 200 wanafauru Div4 34, Div2 wa3 na Div1 zero.

Mnanjaa mnataka kupiga msosi.
Kila mtu apambane na khari yke.
Premature sperm
 
Unesikia muda wa masomo umeongezeka kwa masaa mawili kwa siku, kwa hiyo mtoto akienda shuleni asubuhi anarudi sa 11 jion.
Kumbuka huyo mtoto hajanywa uji wala nini, sasa shule imeweka utaratibu mzuri wa kuwasaidia wanafunzi ili angalau wapate mlo mmoja shuleni we unauona kama upigaji.
Wazazi wa aina yako ni wa kulaaniwa yani uko radhi mwanao akae masaa 11 bila kuweka kitu tumboni na bado asome afaulu? Af hapo unakuta mzazi kama wewe ukienda bar unawanunulia malaya bia na kuzungusha round kibao kwa washkaji.
 
Ha ha ha ! Naona Covid-19 mnataka mponee kwa wazazi!
Hili tundu tutaliandikia waraka kwa waziri wa elimu km atakaa kimya.

Sikila mwanafunzi aliyefanikiwa alikula shuleni!
Tulishinda njaa shuleni na tulifanikiwa km hivi tulivyo.

Shule za kata hamfundishi zaidi ya kuja na mipango hewa.
Hata watoto wanaofauru nikwa juhudi zao na wazazi wao.

Report na matokeo ya kila mwaka inaonyesha shule zakata wilaya ya hii nisawa na zero.

Darasa la wanafunzi 200 wanafauru Div4 34, Div2 wa3 na Div1 zero.

Mnanjaa mnataka kupiga msosi.
Kila mtu apambane na khari yke.
Ambacho naweza kukwambia punguza ujinga kichwani mwako . Walimu hawana njaa kama wewe unaye lalamika kuchangia tsh.2000/ na unadhani hiyo 2000/ ya mwanao huyo mwalimu anafanyia nini?

Andika waraka peleka hata kwa rais usiishie kwa waziri pekee na kama huwezi kufika nitafute kwa namba +255779830*** nikuunganishe moja kwa moja

Mnajua kuzaa kama mipanya halafu kutekeleza majukumu yenu mnaanza kupiga mayowe 2000 ina kufanya unahariiisha maneno, mnavyo katikia viuno huko huwa mnategemea nini.?
 
Ha ha ha ! Naona Covid-19 mnataka mponee kwa wazazi!
Hili tundu tutaliandikia waraka kwa waziri wa elimu km atakaa kimya.

Sikila mwanafunzi aliyefanikiwa alikula shuleni!
Tulishinda njaa shuleni na tulifanikiwa km hivi tulivyo.

Shule za kata hamfundishi zaidi ya kuja na mipango hewa.
Hata watoto wanaofauru nikwa juhudi zao na wazazi wao.

Report na matokeo ya kila mwaka inaonyesha shule zakata wilaya ya hii nisawa na zero.

Darasa la wanafunzi 200 wanafauru Div4 34, Div2 wa3 na Div1 zero.

Mnanjaa mnataka kupiga msosi.
Kila mtu apambane na khari yke.
Kama kweli wewe ni mzazi naihurumia familia yako
 
Yajayo yanafurahisha! Covid-19 kazi ni kwenu!

Shule nyingine ipo wilaya ya ikungi, imeelekeza wanafunzi waende na tsh. 3000@ kwa ajiri yakununulia vifaa kwa ajiri ya kujikinga na covid-19.

Kumekucha.
Walimu njooni mtoe povu! Corona ni fulsa siyo janga km alivyosema pascal.

Mwl. Mmoja alisikika akisema kipindi hiki cha uchaguzi ndio chakupiga! Serikari iko likizo,

Shule nyingine inaandaa kanuni ya kuandikisha watoto wa darasa la kwanza , bila kuwa na 5000@ huandikishwi! Hii ni kwaajiri ya vifaa vya kujikinga na covid-19!
Nasema kumekucha, TAKUKURU WASIISHIE KWA CHADEMA TU. Kuna haja ya shule hizi kuchunguzwa! Wazazi hawapewi wito!
Utakufa we wakati unazaa ulijua utawatunzaje watt wako [emoji23][emoji23][emoji23] be responsible acha kulialia kisa ufukara wako.
 
Pia mhe. NDALICHAKO tunaomba uangalie suala la muda wa watoto wetu kukaa shule. maana kuna uwezekano waalimu wa shule binafsi kwa kuwa wanashindana wakaamua mpaka mtoto wa CHEKECHEA au darasa la kwanza basi atoke shule saa 12 jioni. wazazi wengine HATUTAKIIIIIII. ( sisi si limbukeni wa elimu ya makaratsi ) mtoto asome kama inavyoshauriwa kitaalam. Pia hili suala la mtoto akifika darasa la NNE akae Boarding halikadhalika wazazi wengine HATUTAKIIIII ( FACILITIES zenyewe hawana, watoto wanaamshwa saa 10 usiku eti anasomea mtihani wa DARASA LA NNE SAA 10 USIKU ) sisi HATUTAKI ,tunaomba tupewe option ya watoto wetu watoke nyumbani. Toeni muongozo.
We kuna mtu amekulazimisha kumpeleka hapo? We fanya kumuhamisha umpeleje shule inayoendana na unavyotaka. It's very simple.
 
Back
Top Bottom