Mkuu usikurupuke kuangalia Jumla inayochangwa,,SIJUI Millioni nne ama tani 20!.. Jambo la kwanza kujiuliza ,,Nini lengo la matumizi ya huo mchele na pesa kama ilivyo ombwa na shule?. kama ni kwa ajili ya chakula cha watoto wawapo shuleni piga hesabu nyepesi,, Je kiasi hicho kinakadiriwa kutumika kwa muda gani?.. Je kipo katika uwiano sawa ie.
1kg watu 4... kisha ndo uje na hoja ya upigaji kwa walimu.. MUDA ULIOPOTEA LAZIMA UFIDIWE JE MWANAO ATASHINDA NJAA SHULENI?.. Mwisho wa Siku sio kesi UNAWEZA usilipe na mwanao akashinda na njaa shulenii,,,,,hili ki malezi tarajia changamoto,,kama ni wa kike na ameivaa watu wataanza kuvuna ili apate buku mbili A chipsi,,,na kama ni dume litatafuta plan B ili lipate kula,,,hapo lolote litatokea,,,,,ELIMU NI GHARI