Waziri Ndalichako tunaomba utoe tamko kuhusu mwongozo wa elimu baada ya shule kufunguliwa, kuna shule wamebuni michango yao

Waziri Ndalichako tunaomba utoe tamko kuhusu mwongozo wa elimu baada ya shule kufunguliwa, kuna shule wamebuni michango yao

Ha ha ha ! Naona Covid-19 mnataka mponee kwa wazazi!
Hili tundu tutaliandikia waraka kwa waziri wa elimu km atakaa kimya.

Sikila mwanafunzi aliyefanikiwa alikula shuleni!
Tulishinda njaa shuleni na tulifanikiwa km hivi tulivyo.

Shule za kata hamfundishi zaidi ya kuja na mipango hewa.
Hata watoto wanaofauru nikwa juhudi zao na wazazi wao.

Report na matokeo ya kila mwaka inaonyesha shule zakata wilaya ya hii nisawa na zero.

Darasa la wanafunzi 200 wanafauru Div4 34, Div2 wa3 na Div1 zero.

Mnanjaa mnataka kupiga msosi.
Kila mtu apambane na khari yke.
Hakuna mzazi hapa ila Ni takataka
 
Naona watu wengne ilimradi akoment tu,wew unasema eti shule za kata hawafundishi,tambua kwamba izi shule zinatoa wanafunzi weng kielimu,tambua pia hakuna mzaz was kumuhudumia mwanaye vipnd zaidi ya kumi Kama masomo ya ziada,by the way appreciate mchango was walimu,maana ata izi fikra unazoandka Bila mwalm usngekua nazo
 
Ha ha ha ! Naona Covid-19 mnataka mponee kwa wazazi!
Hili tundu tutaliandikia waraka kwa waziri wa elimu km atakaa kimya.

Sikila mwanafunzi aliyefanikiwa alikula shuleni!
Tulishinda njaa shuleni na tulifanikiwa km hivi tulivyo.

Shule za kata hamfundishi zaidi ya kuja na mipango hewa.
Hata watoto wanaofauru nikwa juhudi zao na wazazi wao.

Report na matokeo ya kila mwaka inaonyesha shule zakata wilaya ya hii nisawa na zero.

Darasa la wanafunzi 200 wanafauru Div4 34, Div2 wa3 na Div1 zero.

Mnanjaa mnataka kupiga msosi.
Kila mtu apambane na khari yke.
Masikini mnahangaika sana, Mimi nakumbuka mzazi wangu alikuwa na maisha ya kawaida sana lkn kwenye swala elimu hakuwahi kulalama nilipata kila kitu mpaka cku nahitimu.

Tatzo mnazaa watoto wengi kwahyo yakija mahesebu Kama hayo mnaona Kama mnaibiwa
 
Yajayo yanafurahisha! Covid-19 kazi ni kwenu!

Shule nyingine ipo wilaya ya ikungi, imeelekeza wanafunzi waende na tsh. 3000@ kwa ajiri yakununulia vifaa kwa ajiri ya kujikinga na covid-19.

Kumekucha.
Walimu njooni mtoe povu! Corona ni fulsa siyo janga km alivyosema pascal.

Mwl. Mmoja alisikika akisema kipindi hiki cha uchaguzi ndio chakupiga! Serikari iko likizo,

Shule nyingine inaandaa kanuni ya kuandikisha watoto wa darasa la kwanza , bila kuwa na 5000@ huandikishwi! Hii ni kwaajiri ya vifaa vya kujikinga na covid-19!
Nasema kumekucha, TAKUKURU WASIISHIE KWA CHADEMA TU. Kuna haja ya shule hizi kuchunguzwa! Wazazi hawapewi wito!
 
Mkuu usikurupuke kuangalia Jumla inayochangwa,,SIJUI Millioni nne ama tani 20!.. Jambo la kwanza kujiuliza ,,Nini lengo la matumizi ya huo mchele na pesa kama ilivyo ombwa na shule?. kama ni kwa ajili ya chakula cha watoto wawapo shuleni piga hesabu nyepesi,, Je kiasi hicho kinakadiriwa kutumika kwa muda gani?.. Je kipo katika uwiano sawa ie.

1kg watu 4... kisha ndo uje na hoja ya upigaji kwa walimu.. MUDA ULIOPOTEA LAZIMA UFIDIWE JE MWANAO ATASHINDA NJAA SHULENI?.. Mwisho wa Siku sio kesi UNAWEZA usilipe na mwanao akashinda na njaa shulenii,,,,,hili ki malezi tarajia changamoto,,kama ni wa kike na ameivaa watu wataanza kuvuna ili apate buku mbili A chipsi,,,na kama ni dume litatafuta plan B ili lipate kula,,,hapo lolote litatokea,,,,,ELIMU NI GHARI
Huko walipo mchele mwingi wamevuna..
Ukienda Songea wameagizwa kwenda shule na mahindi na maharage..

Mtoto hawezi kushinda shule na njaa au akitegemea kubeba mihogo..watapikiwa watakula chakula cha moto kwa pamoja italeta usawa.

Elimu ni kwa faida ya watoto wetu na sisi wazazi, HAKUNA ELIMU YA KWELI YA BURE..
Ulaya kodi ndiyo zinazoendesha elimu.

Everyday is Saturday............................ 😎
 
Yajayo yanafurahisha! Covid-19 kazi ni kwenu!

Shule nyingine ipo wilaya ya ikungi, imeelekeza wanafunzi waende na tsh. 3000@ kwa ajiri yakununulia vifaa kwa ajiri ya kujikinga na covid-19.

Kumekucha.
Walimu njooni mtoe povu! Corona ni fulsa siyo janga km alivyosema pascal.

Mwl. Mmoja alisikika akisema kipindi hiki cha uchaguzi ndio chakupiga! Serikari iko likizo,

Shule nyingine inaandaa kanuni ya kuandikisha watoto wa darasa la kwanza , bila kuwa na 5000@ huandikishwi! Hii ni kwaajiri ya vifaa vya kujikinga na covid-19!
Nasema kumekucha, TAKUKURU WASIISHIE KWA CHADEMA TU. Kuna haja ya shule hizi kuchunguzwa! Wazazi hawapewi wito!
Mkuu hebu taja jina la hiyo shule,, Sio unapiga lamli chonganishi,,Na Tamko la kufungua shule limetoka jana ,,kwa hiyo Jana hiyo hiyo,,walimu wamekutana na kuagiza mchango wa tsh 3000/= na tayari taarifa zimekufikia wewe mzazi jana hiyo hiyo?.. Taarifa zimewafikia kwa njia ipi? maake wanafunzi wamefunga,,kama mmeandikiwa barua au kutumiwa sms weka ushahidi hapa
 
Mkuu hebu taja jina la hiyo shule,, Sio unapiga lamli chonganishi,,Na Tamko la kufungua shule limetoka jana ,,kwa hiyo Jana hiyo hiyo,,walimu wamekutana na kuagiza mchango wa tsh 3000/= na tayari taarifa zimekufikia wewe mzazi jana hiyo hiyo?.. Taarifa zimewafikia kwa njia ipi? maake wanafunzi wamefunga,,kama mmeandikiwa barua au kutumiwa sms weka ushahidi hapa
Wewe tulia mzee!
Hii ni nchi ya sayansi na teke linalokujia, watu wanadukua mipango na mikakati be4.

Tulia utasikia j3 ya tar 29 june! Km una mtoto utaletewa taarifa hizi.

Sisi tupo kuweka angalizo! Ili mjiandae kisaikorojia.

Km huamini subiri hyo j3 ya june29 harafu uje hapa! Sini wiki ijayo?
 
Usipende kuchangia mkuu huku ushatupia vitu vyako kichwani inaonyesha ni mjinga kiasi gani...."buku mbili tu" manaake Nini Kama ingekuwa si pesa wasingeihitaji ualimu ni wito na si biashara....tutahoji tu hata Kama ni shilingi Mia...

Sent from my itel S32 using JamiiForums mobile app
"Ualimu wito" unajua inatumika katika mazingira gani hiyo slogan? , wewe mwalimu au mzazi?
 
Ndio maana walimu wote wanaochangia hapa huwaoni kupinga km ulivyopinga wewe! Mpaka sasa ninataarifa ya shule 3
1.kutoka mkoa wa mwanza (w) magu hii shule niyakata

2. Kutoka mkoa wa singida (w) ya manyoni nishule ya kata

3.kutoka mkoa wa Ruvuma kata ya tingi. Ni shule ya kata

Nabado nafatiria.
Wakienderea kupiga kelele hapa nitaweka na majina ya shule
 
Simple fanya hivi mtoto wako usimlipie mwambie kwamba akashinde na njaa kama wewe ulivyoshinda na njaa na ukafanikiwa halafu kitu kingine usichokijua shule za private hazichukui vilaza lazima wafanye tena paper ndio maana wengi wao wanafanya vizuri huku za kata hata kama mtoto hajiweji atafaulu tu.
 
M
Mkuu hebu taja jina la hiyo shule,, Sio unapiga lamli chonganishi,,Na Tamko la kufungua shule limetoka jana ,,kwa hiyo Jana hiyo hiyo,,walimu wamekutana na kuagiza mchango wa tsh 3000/= na tayari taarifa zimekufikia wewe mzazi jana hiyo hiyo?.. Taarifa zimewafikia kwa njia ipi? maake wanafunzi wamefunga,,kama mmeandikiwa barua au kutumiwa sms weka ushahidi hapa

Mwanaharakati huru atawamaliza! Anafanya uchunguzi harafu utamuona kwenye screen anawaweka wazi.
 
Tanzania ni maskini, lakini wewe ni maskini zaidi.
Uza hiyo Itel yako usomeshe watoto.

Nyie ndio walimu mnaokesha baa, nakunywa pombe za mkopo! Sasa mnataka mtese wazazi kuendesha familia zenu.

Hoporess! Tunawajua sana, mnataka muwa fitinishe wazazi na Rais ili wasiipigie kura ccm.
I'know everything.
 
Pia mhe. NDALICHAKO tunaomba uangalie suala la muda wa watoto wetu kukaa shule. maana kuna uwezekano waalimu wa shule binafsi kwa kuwa wanashindana wakaamua mpaka mtoto wa CHEKECHEA au darasa la kwanza basi atoke shule saa 12 jioni. wazazi wengine HATUTAKIIIIIII. ( sisi si limbukeni wa elimu ya makaratsi ) mtoto asome kama inavyoshauriwa kitaalam. Pia hili suala la mtoto akifika darasa la NNE akae Boarding halikadhalika wazazi wengine HATUTAKIIIII ( FACILITIES zenyewe hawana, watoto wanaamshwa saa 10 usiku eti anasomea mtihani wa DARASA LA NNE SAA 10 USIKU ) sisi HATUTAKI ,tunaomba tupewe option ya watoto wetu watoke nyumbani. Toeni muongozo.
 
N
Mkuu, I'm sure wewe ni kati ya wazazi ambao hawahudhurii kabisa vikao vya shule pindi wazazi tunapo itwa.


Wewe ni miongoni mwa walimu mnaokesha baa na ndio walimu mnaokunywa pombe za mkopo baa

Sasa mnataka kutesa wazazi.
 
Hapo kilo kumi mwano anauwezo wa kupata milo 40 tu, kumbuka ile 2000 ni ya kuni, mpishi mafuta na mboga. Sasa huna sababu za kulia kiasi hicho! Ukiona huwezi na utampatia mwanao fedha mfano mia tano kwa siku, kwa siku 40 ni 20,000!!! Jitambue kwa maslahi mapana ya mwanao
 
Back
Top Bottom