Waziri Ndumbalo is a very intelligent man na mwenye msimamo - hakusema Biharamulo-Chato kwa bahati mbaya/slip up, kuna kitu wanakilenga katika harakati za kutangaza utalii - wangesema Biharamulo - Mleba/Karagwe ingewachanganya Watalii walio zoea kusikia kwenye matangazo/media kuhusu: Chato-Burigi, Chato-Lubondo, Chato..., kinacho uzika kiutalii ni neno Chato, hivi sasa icon hiyo imekwisha jengeka na kuzoeleweka Kimataifa - Dk. Ndumbalo angesema Biharamulo bila kuongezea neno Chato, sina shaka potential tourists wangekuwa confused na kuhoji kwani Biharamulo inawezaje kuwa kwenye circuit ya utalii bila ya kuishirikisha wilaya ya Chato.