Waziri Selemani Jafo amsema Mkurugenzi wa SCOL Building Contractors Limited hadi akaanguka na kuzimia

Waziri Selemani Jafo amsema Mkurugenzi wa SCOL Building Contractors Limited hadi akaanguka na kuzimia

Kukatwa zaidi ya milioni 80 na kupewa siku 30 kazi iishe wee unadhani nguvu za kusimama atazipata wapi.
Lakini ukimwangalia vizuri mbona kana ananesa fulani kama ameshaonja ile ya kupima vile Quinine,
 
Je kama haya yanatokea, ni nini viongozi wetu wakuu wenye mamlaka wanapaswa wajifunze wanapotoa tamko/adhabu kama kutumbua au kumemea kiongozi aliye chini yake?

Mfano
1: Mwanri alimzimisha afisa Elimu baada ya kumtumbua

Majibu ya Mwanri baada ya mtu kuzimia - Kuzimia, yawezekana mtu amelala chini – it is not an issue.

2: Jafo amzimisha mkurugezi baada ya kumpa muda mfupi ili kukamilisha mradi

Majibu ya Jafo - Eee bwana wee simama wewe.

Je ni wangapi walio pata shida walipo tumbuliwa na mkuu wanchi?

Je ni nini kifanyike ili kupunguza makali ya maneno kuepusha madhara zaidi?
 
Duh...!, nimeona kweli jamaa kazirai!, ila tuelezane ukweli, jamaa alikuwa na matatizo mengine ya kiafya, hivyo kauli ya Jafo ikawa ni kama tuu kumsukuma mlevi, kinachomwangusha mlevi akisukumwa ni kilevi na sio kusukumwa, tena hapo Joffo anaongea kistaarabu sana, angekuwa ni yule anayefanya bullying?, jamaa si ingekuwa hapo hapo!.
P
Ukizama ndani kujua Haya utagundua Pengine hajalipwa hizo pesa za kazi lakini kwakua awamu hii tunaongozwa kwa mizuka ndo yanajitokeza Haya sasa
 
Duh...!, nimeona kweli jamaa kazirai!, ila tuelezane ukweli, jamaa alikuwa na matatizo mengine ya kiafya, hivyo kauli ya Jafo ikawa ni kama tuu kumsukuma mlevi, kinachomwangusha mlevi akisukumwa ni kilevi na sio kusukumwa, tena hapo Joffo anaongea kistaarabu sana, angekuwa ni yule anayefanya bullying?, jamaa si ingekuwa hapo hapo!.
P
Ukizama ndani kujua Haya utagundua Pengine hajalipwa hizo pesa za kazi lakini kwakua awamu hii tunaongozwa kwa mizuka ndo yanajitokeza Haya sasa
 
Update: 05/12/2019
Jafo atoa msimamo wake kuhusu kuzimia kwa mkandarasi kwa uoga
 
Huyo jamaa sijui kama alikuwa amekula, sioni kama kuna neno Kali aliloambiwa zaidi ya presha zake tu!
.............Kilichomdondosha ni hiyo deadline ya ukomo wa kazi,hata itokee miujiza saa za siku ziongezeke usiku na mchana hiyo kazi kwa huo muda aliopewa hataimaliza ikiwa na ubora unaotakiwa na still hili likitokea bado atakuwa na hatia.
 
Wenyewe wanasema hapa kazi tu. Utaondoka wewe kabla mimi kutumbuliwa na.........
 
Awamu hii raha sana yaani ukifokewa sana ww zimia kesi yako ndo inakua imeisha hapo unaendelea na maisha kama kawaida na kibarua chako unacho
 
Duh...!, nimeona kweli jamaa kazirai!, ila tuelezane ukweli, jamaa alikuwa na matatizo mengine ya kiafya, hivyo kauli ya Jafo ikawa ni kama tuu kumsukuma mlevi, kinachomwangusha mlevi akisukumwa ni kilevi na sio kusukumwa, tena hapo Joffo anaongea kistaarabu sana, angekuwa ni yule anayefanya bullying?, jamaa si ingekuwa hapo hapo!.

Ila pia kiukweli Waziri Jafo na viongozi wote waliokuwepo hapo, wamekosa utu, ubinaadamu, mtu ameanguka ameziarai, that was emergence, ilibidi kila kitu kisimame, mgonjwa apatiwe huduma ya kwanza, lakini waziri aliendelea tuu, na DC wa Dodoma naye akafuatia as if nothing happened!. Tuchape kazi, yes, lakini pia tuwe na utu!, kunapotokea emergency kama ile, no one knows tatizo ni nini, kama ni pressure, asipopata msaada wa haraka in split of seconds, anything can happen!, utu kwanza, kazi baadae!.

P
Msomi ngoja nikurudishe mwaka wa 2 law of tort Eggshell skull - Wikipedia
 
Back
Top Bottom