Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kama leo nimetembeza lecture kwa maza na faza hatari maaana wao ni kijani ilembaya.
Upuuzi kama huu wa Jafo wanweza kuutilia maanani.
mkuu hiv hiyo tiba imethibitisha kitaalam au ndio kama kikombe cha babu wa loliondo but still scientific research zinaonesha kujifukiza kunaweza kuleta shida kweny respiratory system kwa sabubu kweny pua kuna capillaries nyingi ambazo Kaz yak ni kupasha joto hewa inayoingia kutumia mvuke unaweza Kupasua blood vessel kweny pua au trachea kwa sababu hewa inaingia na kias kikubwa cha maj pil hewa inaingia Puani na joto kubwa na ukaongeza tatizo lingineSiyo wote ambao huwa tunafuata ushauri wa watu mtaani lakini likikufika utajikuta unatafuta mchanganyiko wake kuokoa maisha yako au ya umpendae
You're damn right mkuu provided wataalamu wa afya wapo wengi.Mtakao jifukiza mtupe mrejesho mambo yanaendaje siwez kufuata agizo la mtu ambae sio mtaalam wa afya
Lengo ni kuokoa pesa?Waziri wa TAMISEMI Mh Seleman Jaffo amependekeza itengwe wiki maalumu ya kujifukiza maarufu kama kupiga Nyungu
Mh. Jaffo ameshauri wanaume ndio waongoze kwenye hilo zoezi la kupiga Nyungu
"Wanaume, wanawake na watoto wote tupige Nyungu huenda tukaokoa Taifa"
Kama Kuna wiki ya Wanawake,wiki Maleria Basi kuwe na Wiki ya kupiga Nyungu Kitaifa.
NB. inaonekana huu ndio msimamo wa serikali watu kujifukiza...
Angalia kuanzia dakika ya 18
mkuu mimi sidharau hizi mambo kwa kuwa nishawai pikiwa na bibi yangu zamaani kwa ajili ya kutibu homa kali na nikapona.Majani yoyote unayohisi ni dawa, Muarobaini,mlingoti,mpera, mchaichai nk. Piga mix ya maana humoView attachment 1435181
Hapo penye Idiot nimepapendaAonyeshe mfano. Atume na video tuone anavyofanya. Idiot.
Nawaza kujifukiza na bangi sijui kama serikali itakuwa bega kwa bega na mimi.
Mambo kwa graund ni tofauti [emoji23][emoji23]mkuu mimi sidharau hizi mambo kwa kuwa nishawai pikiwa na bibi yangu zamaani kwa ajili ya kutibu homa kali na nikapona.
hivyo mimi kama mimi kujifukiza wala sidharau nimewai jifukiza mwenyewe kwa kutumia muarobaini pia nilipona tatizo.
kuna mambo sio ya kufata mkumbo wa watu wanaokejeli kumbe na wao wanajifukiza makwao huko
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hiv hiyo tiba imethibitisha kitaalam au ndio kama kikombe cha babu wa loliondo but still scientific research zinaonesha kujifukiza kunaweza kuleta shida kweny respiratory system kwa sabubu kweny pua kuna capillaries nyingi ambazo Kaz yak ni kupasha joto hewa inayoingia kutumia mvuke unaweza Kupasua blood vessel kweny pua au trachea kwa sababu hewa inaingia na kias kikubwa cha maj pil hewa inaingia Puani na joto kubwa na ukaongeza tatizo lingine
Tulipo fika Sasa kila mtu atumie njia anazojua kwangu mm ntafata ushauri wa kitabibu nawa mikono kwa sabun au sanitizer kwa maji tiririka na kuepukana na mikusanyiko self lockdown
kabisa tena.sasa wale bendera ufata upepo ndo wanaingizwa chakaMambo kwa graund ni tofauti [emoji23][emoji23]