Waziri Stergomena Tax ashiriki Ibada ya Pasaka Kigango cha Shishani Wilayani Magu

Waziri Stergomena Tax ashiriki Ibada ya Pasaka Kigango cha Shishani Wilayani Magu

..Diploma.

..Bachela

..PhD.

..Kazi serikalini ktk wizara zaidi ya moja.

..Kuongoza jumuiya ya kikanda.

..Hayo niliyoyaeleza hapo juu ndio maana yangu ya kuwa well rounded.

NB:

..kuna kasumba kwamba wanawake wazuri weupe hawana uwezo au akili.
Haha, hizo kasumba nani kamwambia? Yaani umehamia lwenye kasumba?

Nimekuuliza kufanya kazi wizara mbalimbali wangapi wamefanya? Ndo kunakufanya kuwa bora? Kina Ndalichako walianzia certificate hadi PhD then u profesa unawaambiaje?

We jamaa sikuwahi Dhani ni mweupe hivi kichwani haki... so sorry!!
 
..angekuwa MWANAUME msingekuwa mnamdharau kiasi hiki.
Wanaume kibao tu wamebebwa huko serikalini sababu ya undugu, ushemeji, urafiki na uchawi mbona hao tukiwasema roho haikuumi?

Wapo waliobebwa kwa kila hali na akina Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na hata Samia wa sasa!!
Hawa tuliwaita watoto pendwa wa watawala au mawaziri vipenzi wapo wengi sana!

Mbona huyu mama amekuuma sana? L
 
huyo mama ni kilaza kama vilaza wengine waliopita mfano ndalichako, yule mhagama, ummy mwalimu..bora hata asha-rose migiro kidogo.
 
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax, Machi 31, 2024 ameungana pamoja na Waumini wa Dini ya Kikristu katika ibada ya kusherekea Sikukuu ya Pasaka katika Kigango cha Shishani, kilichopo Parokia ya Mtakatifu Kizito Kabila, Magu, chini ya Jimbo Kuu la Mwanza.

Akitoa salamu za Pasaka Parokiani hapo, WaziriTax, ameshukuru kwa kupata wasaa wa kujumuika na Waamini katika Sikukuu hiyo muhimu kwa Wakristu duniani kote kukumbuka Ufufuo wa Yesu Kristu.

Waziri Stergomena amechukua fursa hiyo kumshukuru Mungu kwa baraka anazoendelea kulipatia Taifa letu ikiwa ni pamoja Na mshikamano, amani, na maendelea katika sekta mbalimbali za m kijamii na kiuchumi.

Aidha, ametoa rai kwa waumini wa Parokia ya Mtakatifu Kizito kuendelea kuiombea Tanzania pamoja na Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na viongozi wanaomsaidia katika nafasi mbalimbali. Waziri Tax ameshiriki ameahidi kuendelea kuchangia kwenye ujenzi wa Kanisa unaondelea kila apatapo nafasi kuwa yeye ni sehemu ya Kata ya Shishani.

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Kizito Kabila, Padri Andrea Buhembo, amemshukuru Waziri Stergomena Tax kwa moyo wa upendo na ukarimu aliounyesha wa kujiwekea utaratibu wa kukumbuka kwao, katika hali zote amekuwa akishiriki kwa namna moja ama nyingine katika shughuli za kijamii na kiimani.
Ukisikia Mama anapiga mwingi ndio hii sio unaupiga neno anaupiga ni rahaja fulani ya misimu ya kihuni yenye maana tata Ila neno anapiga ndio limekaa Sawa sawia, Mama staergomana Tax anapiga mwingi jimboni kwake

Karibu tumalizie Skanka
 
Wanaume kibao tu wamebebwa huko serikalini sababu ya undugu, ushemeji, urafiki na uchawi mbona hao tukiwasema roho haikuumi?

Wapo waliobebwa kwa kila hali na akina Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na hata Samia wa sasa!!
Hawa tuliwaita watoto pendwa wa watawala au mawaziri vipenzi wapo wengi sana!

Mbona huyu mama amekuuma sana? L
wengine ndugu zao mkuu lazima imuume. si unajua akili za watz.
 
baba yake ni mzungu mchotara (yaan mgiriki alioa msukuma akamzaa baba yake waziri Tax) na mama yake msukuma. ila amekulia huko usukumani. na baba yake aliishi huko pia.
vijana wa sasa mnakua wabishi mnatubishia wakongwe.
Bas sawaa
 
Haha, hizo kasumba nani kamwambia? Yaani umehamia lwenye kasumba?

Nimekuuliza kufanya kazi wizara mbalimbali wangapi wamefanya? Ndo kunakufanya kuwa bora? Kina Ndalichako walianzia certificate hadi PhD then u profesa unawaambiaje?

We jamaa sikuwahi Dhani ni mweupe hivi kichwani haki... so sorry!!
Ebwana mvua inanyesha njoo huku tupige Skanka,
 
Sasa mtoto mzuri kama Stregomena Tax anagombea maubunge ya nini? Miaka yote aliofanya kazi ajapiga hela za kutosha tu kujiwekeza? au anatafta kufa tu kifo cha ajabu ajabu.
Pesa aliyopiga ilikuwa ya haki,pesa ya haki huwa haitoshi .Pesa ya siasa n Tamu unakula kwa urefu wa kamba Yako
 
Haha, hizo kasumba nani kamwambia? Yaani umehamia lwenye kasumba?

Nimekuuliza kufanya kazi wizara mbalimbali wangapi wamefanya? Ndo kunakufanya kuwa bora? Kina Ndalichako walianzia certificate hadi PhD then u profesa unawaambiaje?

We jamaa sikuwahi Dhani ni mweupe hivi kichwani haki... so sorry!!

..Watz wenye qualifications za kushika nafasi mbalimbali wako wengi.

..Kwamba huyu Mama wa watu ameteuliwa haimaanishi kwamba walioachwa hawana sifa.

..Ninachokataa mimi ni madai kwamba huyu Mama si lolote si chochote kama unavyomuelezea.

..Kwa kifupi hujanishawishi kwamba Dr.Tax sio msomi, na hana sifa na uzoefu, kutumikia ktk nafasi aliyoteuliwa.

NB:

..au wewe ni ndugu Bamwenda?🤣🤣
 
huyo mama ni kilaza kama vilaza wengine waliopita mfano ndalichako, yule mhagama, ummy mwalimu..bora hata asha-rose migiro kidogo.
Kilaza ana phd ya mathematics ya alberta canada, basi wewe utakuwa socrates au plato
 
Mbunge wa hapo atafute kazi nyingine.
Kwanza mtaona Hilo kanisa litasukwa fasta na kua la kileo.
Padre ata bet na kushinda gari la nguvu.
Kiufupi Jimbo amelichukua.
 
..Musukuma na genge zima la Magufuli wanakwenda kuenguliwa kwenye chama.

..Na Musukuma akijifanya mjanja wanakwenda kumbinya kwenye biashara zake.

..walimdhalilisha na kumtukana Upendo sasa Maza kaamua kumuinua.
Kwamba J. Msukuma ni kambi ya late President Magufuli? Fanya tafiti zako zaidi.

Na hilo “genge la late President Magufuli ni lipi haswa kwa majina na lina athari kiasi gani kwenye Chama?

Unazo kumbukumbu kwamba huyo marehemu amehudumu kwenye Chama na serikali ya CCM kwa zaidi ya miaka 20?

J. Msukuma alipata lini ubunge wake na uongozi ndani ya Chama? History yake ndani ya CCM inasemaje?

Kwani haionyeshi kwamba Kete ya Peneza Madam President anaicheza kisiasa zaidi na kimaslahi Kama ilivyokua kwa akina Halima Mdee & 18 others?
 
Back
Top Bottom