Waziri Stergomena Tax ashiriki Ibada ya Pasaka Kigango cha Shishani Wilayani Magu

Waziri Stergomena Tax ashiriki Ibada ya Pasaka Kigango cha Shishani Wilayani Magu

Halafu the way anavyoandika sio yule Jokakuu anaekuaga na critical thinking kwenye some issues humu... anasifia PhD ya Japan hahaha, anakua kipofu zaidi na kusema ni msomi pekee aliyepita wizara ya ulinzi unamuuliza akina Prof Kapuya na Prof Sarungi walikua la 7 B?

Halafu humu watu hatuandiki tu kujifurahisha tuna info za kutosha. Mi sikutaka kuandika uliyoandika ili kumlindia heshima yake.

..PhD toka Japan kwasababu ingekuwa ya hapa Tz watu wangesema ni ya upendeleo.

..mtu hawezi kupita CBE, Udsm, Japan, bila kuwa na uwezo fulani, kujituma, na ambition.
 
..mbona umekuwa mkali?

..hebu toa elimu pale unapoona pana mapungufu.

..Nasimama na kauli yangu kwamba Dr.Tax amewazidi watangulizi wake kielimu, na kiuzoefu ndani na nje ya nchi.
Umesema Tax ndiye msomi mwenye elimu kubwa pekee kupita pale Ulinzi nimekupa Prof Juma Kapuya na Prof Sarungi hao unasemaje? Si wasomi?

Sahv unaongelea kielimu vipi Prof Mkumbo, Ndalichako, Palamagamba kabudi na minions wengi walioko huko CCM? Hivi nawewe kumbe ni mbabaifu mbele ya PhD?
Mkali nimekua mimi au wewe? Pale wozara y ulinzi kuna kazi gani kwa waziri zaidi ya kwenda kuomba bajeti ipitishwe bungeni na kurudi kusoma gazeti?
Hapa ndipo udhaifu wa mwafrika unapolalia, hata mwafrika hata awe critical namna gani kuna vitu vya kijinga vitamvua nguo. Sijaamini ni wewe unaandika haya mambo kumtetea Tax!!

Vipi Jina la Bamwenda huyu mama alilipeleka wapi?
 
Sasa mtoto mzuri kama Stregomena Tax anagombea maubunge ya nini? Miaka yote aliofanya kazi ajapiga hela za kutosha tu kujiwekeza? au anatafta kufa tu kifo cha ajabu ajabu.
huwa na wasiwasi na wasomi taifa la ukimani. huyu msukuma ana elimu ana exposure amefanya kazi sehemu za maana lakini mwishowe anakuja kusujudia wanasiasa wa ukimani tena aliowazidi maarifa. namuona naye ni takataka kama anayemtumikia.
 
..PhD toka Japan kwasababu ingekuwa ya hapa Tz watu wangesema ni ya upendeleo.

..mtu hawezi kupita CBE, Udsm, Japan, bila kuwa na uwezo fulani, kujituma, na ambition.
Hivi unajua Prof Ndalichako ana PhD ya Alberta Canada? Unakijua chuo cha Alberta? Unaijua hadhi yake? Na alitoboa lakini ukimsikiliza yule mama unaweza amini alipita Alberta?

Halafu hizo elimu za mbele hasa PhD zisikutishe, watu wanapewa tu bila kuhenya....

Kabudi amekaa University of Berlin miaka na miaka lakini ana akili gani?

Kuwa na PhD hakukufanyi uwe na akili au na best delivery of service katika career yako.

Watu wamesoma Havard na English inawashinda sembuse huyo wa Japan?

Katika yoote huyo mama kabebwa sanaaa, Huyo mama hana uwezo wa ku deliver hata kidogo na ni mzembe sana mi siongei kwa chuki namjua huyo mama na siwezi anika mambo yake binafsi hapa. Ila tu narudia huyo mama ni kama akina Kabudi, Kitila, Kapuya, na wasomi wapuuzi wengi walioko huko CCM ambao huwa hawana cha kuonesha watu zaidi ya kutishia vyeti vyao vya elimu kama wewe hapa!
 
Umesema Tax ndiye msomi mwenye elimu kubwa pekee kupita pale Ulinzi nimekupa Prof Juma Kapuya na Prof Sarungi hao unasemaje? Si wasomi?

Sahv unaongelea kielimu vipi Prof Mkumbo, Ndalichako, Palamagamba kabudi na minions wengi walioko huko CCM? Hivi nawewe kumbe ni mbabaifu mbele ya PhD?
Mkali nimekua mimi au wewe? Pale wozara y ulinzi kuna kazi gani kwa waziri zaidi ya kwenda kuomba bajeti ipitishwe bungeni na kurudi kusoma gazeti?
Hapa ndipo udhaifu wa mwafrika unapolalia, hata mwafrika hata awe critical namna gani kuna vitu vya kijinga vitamvua nguo. Sijaamini ni wewe unaandika haya mambo kumtetea Tax!!

Vipi Jina la Bamwenda huyu mama alilipeleka wapi?

..Kapuya ni prof wa Botany, na mkuu wa idara wa zamani Udsm.

..Sarungi ni Prof wa mifupi, na Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Muhimbili.

..Tax ni uchumi, mtumishi wa serikali ngazi Katibu mkuu, Katibu mtendaji mstaafu wa SADC.

..ukiwapima wote hao, elimu, uzoefu serikalini, exposure ndani na nje ya nchi, utakubaliana na mimi kuwa Dr.Tax yuko more well rounded.
 
Hivi unajua Prof Ndalichako ana PhD ya Alberta Canada? Unakijua chuo cha Alberta? Unaijua hadhi yake? Na alitoboa lakini ukimsikiliza yule mama unaweza amini alipita Alberta?

Halafu hizo elimu za mbele hasa PhD zisikutishe, watu wanapewa tu bila kuhenya....

Kabudi amekaa University of Berlin miaka na miaka lakini ana akili gani?

Kuwa na PhD hakukufanyi uwe na akili au na best delivery of service katika career yako.

Watu wamesoma Havard na English inawashinda sembuse huyo wa Japan?

Katika yoote huyo mama kabebwa sanaaa, Huyo mama hana uwezo wa ku deliver hata kidogo na ni mzembe sana mi siongei kwa chuki namjua huyo mama na siwezi anika mambo yake binafsi hapa. Ila tu narudia huyo mama ni kama akina Kabudi, Kitila, Kapuya, na wasomi wapuuzi wengi walioko huko CCM ambao huwa hawana cha kuonesha watu zaidi ya kutishia vyeti vyao vya elimu kama wewe hapa!

..Kabudi, na kitila, waliamua kuwa hamnazo, na kuwa chawa wa Magufuli.

..Je, unaweza kusema kwamba Dr.Tax naye amejitoa ufahamu, na kudhalilisha usomi wake.

..Zaidi ya ile interview ya BBC ambayo alichemsha sijashuhudia tukio lingine baya ktk utendaji wake.
 
..Kapuya ni prof wa Botany, na mkuu wa idara wa zamani Udsm.

..Sarungi ni Prof wa mifupi, na Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Muhimbili.

..Tax ni uchumi, mtumishi wa serikali ngazi Katibu mkuu, Katibu mtendaji mstaafu wa SADC.

..ukiwapima wote hao, elimu, uzoefu serikalini, exposure ndani na nje ya nchi, utakubaliana na mimi kuwa Dr.Tax yuko more well rounded.
Yuko well rounded kwenye nini? Botany sio elimu? Udaktari wa mifupa sio taaluma? We jamaa nimeshakwambia unajiabisha sana! Unapoteza credibility yako bure kwa hizi Pemba unaandika hapa!
Watu wamekua mawaziri foe many Years, wametumikia nchi kwa miongo.na miongo unaleta ngonjera za kitoto?

Yaani unalinganisha wanaume wapambanaji na wanawake waliobebwa beware hovyo serikalini ambao wakiulizwa hoja kidogo tu wnapandisha presha na kulia? Hahahaha! Eti amewazidi na akina Asha Rose migiro na Tibaijuka wasemaje sasa?

Unafikiri kungekuwa na performance Apraisal huko SADC kwa nafasi ya mtendaji mkuu huyu mama angekaa hata miezi 3?
 
Halafu the way anavyoandika sio yule Jokakuu anaekuaga na critical thinking kwenye some issues humu... anasifia PhD ya Japan hahaha, anakua kipofu zaidi na kusema ni msomi pekee aliyepita wizara ya ulinzi unamuuliza akina Prof Kapuya na Prof Sarungi walikua la 7 B?

Halafu humu watu hatuandiki tu kujifurahisha tuna info za kutosha. Mi sikutaka kuandika uliyoandika ili kumlindia heshima yake.
Nkmefunguka kwa kuwa JokaKuu anataka kumuingiza kwenye kundi la wasomi kwa sababu tu kakaa Japan na kasema ana PhD
 
Yuko well rounded kwenye nini? Botany sio elimu? Udaktari wa mifupa sio taaluma? We jamaa nimeshakwambia unajiabisha sana! Unapoteza credibility yako bure kwa hizi Pemba unaandika hapa!
Watu wamekua mawaziri foe many Years, wametumikia nchi kwa miongo.na miongo unaleta ngonjera za kitoto?

Yaani unalinganisha wanaume wapambanaji na wanawake waliobebwa beware hovyo serikalini ambao wakiulizwa hoja kidogo tu wnapandisha presha na kulia? Hahahaha! Eti amewazidi na akina Asha Rose migiro na Tibaijuka wasemaje sasa?

Unafikiri kungekuwa na performance Apraisal huko SADC kwa nafasi ya mtendaji mkuu huyu mama angekaa hata miezi 3?

..Diploma.

..Bachela

..PhD.

..Kazi serikalini ktk wizara zaidi ya moja.

..Kuongoza jumuiya ya kikanda.

..Hayo niliyoyaeleza hapo juu ndio maana yangu ya kuwa well rounded.

NB:

..kuna kasumba kwamba wanawake wazuri weupe hawana uwezo au akili.
 
Back
Top Bottom