Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Waziri wa Elimu naye aisemee wizara yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri wa Elimu naye aisemee wizara yake.
Ma RC na ma Dc hawako chini yake, na wala hawawajibiki kwake. Nadhani Waziri kakurupuka tu. Watumishi wengi wa mkoani wanawajibika wizara ya Utumishi. RCs na Dcs wanawajibika kwa Rais kwani yeye ndo mteuzi wao. Rcs wanahapishwa na Rais, na DCs wanaapishwa na RCs.Wakuu wa wilaya na mikoa wako chini yake, lazima atoe tamko kuzibiti ma-RC na ma-DC kukiuka sheria na kuonea watu
Kukusaidia tuu mganga mkuu wa mkoa boss wake ni mkuu wa mkoa, na mganga mkuu wa wilaya boss wake ni mkuu wa wilaya. Hao watu ni viungo wa wizara ya afya at their local government kama ilivyo katika wizara zingine zote.Wewe ni Kihongosi au Hapi?
Framework and policy implementation ya wizara ya afya zinawapa roles wakuu wa mikoa na wilaya kwenye kusimamia sera; azimtambui waziri wa TAMISEMI. Jukumu lake sio la operation za wizara ya afya kuna mwenyewe anaitwa Dr Gwajima.Wakuu wa wilaya na mikoa wako chini yake, lazima atoe tamko kuzibiti ma-RC na ma-DC kukiuka sheria na kuonea watu
Boss wa wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoaSijaelewa yani..!! Waziri wa Afya Ummy Mwalimu..!!
badilika rafiki!Huyo waziri Ummy anapiga siasa za kichovu na kuchekesha walionuna. Kwa taarifa yake hakuna Mkuu wa mkoa wa wilaya anamuogopa, maana wao ndio waliratibu na kusimamia uchaguzi uliowaingiza ccm madarakani. Sasa kama walijiingiza kwenye siasa, hadi yeye akawa mbunge hatimaye waziri, ni kipi atawazuia kufanya? Isitoshe huyo waziri Ummy sio aliyewateua hao wakuu wa mikoa na wilaya, hivyo hana lolote anaweza kuwafanya.
Hii mambo ya nita..., tuta..., wata... ipasavyo imetuchosha, huwa wanamtishia nani? Mamlaka si wanayo wanaogopa nini kushughulika mpaka watishie?Waziri wa Tamisemi Ummy Mwalimu amesema ni marufuku kwa wanasiasa kuingilia taaluma ya Uuguzi.
Waziri Ummy amesema tabia ya Wakuu wa Mikoa au Wilaya kuwakamata Wauguzi na Madaktari na kuwaweka ndani haikubaliki kabisa na atakayethubutu kuwachezea watumishi wa afya yeye kama Boss wao atawashughulikia ipasavyo.
Waziri Ummy amesema hayo mkoani Manyara.
Chanzo: ITV habari
Umeona mkuu 🤣🤣🤣Angalau Sasa mawaziri wanaonekana kujiamini ktk kutimiza majukumu yao
Huyu mpuuzi hawezi kubadilika.badilika rafiki!
Wafanyakazi wa afya wengi wapo tamisemiSijaelewa yani..!! Waziri wa Afya Ummy Mwalimu..!!
badilika rafiki!
Kama kapewa maagizo na rais aliongelee hili.Ma RC na ma Dc hawako chini yake, na wala hawawajibiki kwake. Nadhani Waziri kakurupuka tu. Watumishi wengi wa mkoani wanawajibika wizara ya Utumishi. RCs na Dcs wanawajibika kwa Rais kwani yeye ndo mteuzi wao. Rcs wanahapishwa na Rais, na DCs wanaapishwa na RCs....
Rais anauwezo wa kuongea na wakuu wa mikoa moja kwa moja si lazima kumtumia waziri. Na wakuu wa mikoa wakati wowote wanauwezo kuongea na Rais. Hii ni kwa mujibu wa utendaji kazi. Heri maagizo hayo apewe Waziri Mkuu, ili kuyatoa kwa RCs lakini si waziri ati awape maagizo ma RCs. Hata Rais anajua taratibu za kiutendaji.Kama kapewa maagizo na rais aliongelee hili
Unasemaje hapo?
Waziri amejiongeza.Rais anauwezo wa kuongea na wakuu wa mikoa moja kwa moja si lazima kumtumia waziri. Na wakuu wa mikoa wakati wowote wanauwezo kuongea na Rais. Hii ni kwa mujibu wa utendaji kazi. Heri maagizo hayo apewe Waziri Mkuu, ili kuyatoa kwa RCs lakini si waziri ati awape maagizo ma RCs. Hata Rais anajua taratibu za kiutendaji.
Kujiongeza kwake hakutosaidia kwani wakuu wa mikoa watampuuzia tu. Watajua hajua taratibu za utendaji.Waziri amejiongeza.