Matokeo ya kuwa na viongozi vilaza.
Hilo soko la kariakoo tu liko KM zisizo tatu kutoka makao makuu ya Polisi kitengo cha fire nchini. lakini wameshindwa kuzima moto usiku kucha.
Hapo zilizo ofisi za fire ni kama km moja kutoka jangwani ambako unapita mto ambao ni chanzo cha maji. solo lenyewe la kariakoo liko umbali usio zidi km tatu kutoka kiwanda kikubwa kabisa cha pombe nchi cha TBL, ambao wana water resevoir kubwa sana kwa ajiri ya uzalishaji wa byere. kutokea ofisi hizo za fire pamoja na soko la kariakoo ni kama km nne kufika kwenye ufuko wa maji bahari hindi.
Bado, wameshindwa kuzima moto usiku kucha.
Sad.