Waziri Ummy, Usipotoshwe maamuzi yako kuhusu ADDO na wafamasia mtawaumiza Watanzania

Waziri Ummy, Usipotoshwe maamuzi yako kuhusu ADDO na wafamasia mtawaumiza Watanzania

Kwamba mtu mwenye malaria kwa dalili zake inahitaji Degree kujua na kuwa huyu ana malaria??? Mtu anakuja na flu unataka aende Laboratory kupimwa kama ana mafua??? Physical examination ni suala ambalo anaweza kufanya kila mtuu yani usijione special kumuandikia Carbimazole mtu mwenye Goitre labda uniambie Suala la oparations ila sio Kuandika mtu afanyiwe vipimo flani ili kuconfirm Ugonjwa wake then Ujione special... Dr hajui mtu anaumwa nini ila anajua dalili na Maabara ndio wanathibitisha mtu anaumwaa nini sasa ukiona umeweza kujua anaumwa nini mfamasia hashindwi kujua.. Kingine kuchoma sindano jambo dogo sana kijanaa yani hata teja anajichomaaa..
kazi kweli kweli.png


Tuchukulie wewe ndio umeletewa huyo mgonjwa wa type 2 diabetes sukari imepanda amewahishwa kutokana na pathophyisology unaenda nae vipi kitu cha kwanza tu kutokana na hali yake given the handover note and previous medication.
 
Hakuna anayekataa kua Mfamasia amesomea dawa. Daktari amesomea Magonjwa na namna ya kuyatibu. Mfamasia yeye akae dirishani asubirie cheti cha daktari.
Wenyewe wanasema hata hizo prescriptions mnazoandika ni majanga tu hasa mnapoandika dawa mchanganyiko, wewe tambua tu uelewa wao upo kwa kiwango cha juu zaidi kwenye eneo hilo.......na wapo sahihi kusimamia taaluma yao kama ambavyo na wewe hutarajii kuwaona pharmacist wakitibu wagonjwa mahospitalini ingawa na wenyewe wanayo knowledge hiyo kwa kiwango fulani.
 
Narudia tena ingawa sijui level ya elimu yako. Si kazi ya Mfamasia kutibu mgonjwa. Mfamasia amesomea kutengeneza,kutunza, kuhifadhi na kusambaza dawa.
Kuchoma sindano ni somo kabisa na ni pana. Kusoma Pathophysiology ni somo na nibpana. History taking ina utaratibu wake. Physical examination ina utaratibu wake mpaka Systemic Examination, huwezi kutoa dawa tu mpaka hayo uyajue.


Acheni kujipa vyeo kwa kujiita madaktari, ninyi ndio mnaoua wagonjwa. Hii ni taaluma ya watu!!
Nani kajiita Daktari kijana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe ndo unataka uwe mfamasiaaa ushinde Famasii ukidispense na kusikiliza wagonjw eti kisa umesoma MD mbona unapuyangaaa kakaa.. Huwezi kuwa mfamasia unatakaa kudeal na dawa rudi shuleeeee hakuna shortcut otherwise Andika vipimo...andika dawaa tulizaaa wengeeee kama umeandika Ujingaaa nitakutana nao niufutilie mbalii lengo Mgonjwaa aponeee....
 
Huu ni utaratibu wa dunia, Internal Standards, international structures. Dactarin ni Administrator wa Clinical setting yeyote ile. Huu si utaratibu wa Tz ni wa kidunia! Ukienda wilayani utakutana na DMO, Mkoani RMO, Na mahospitalini DGs wote na Incharges ni madaktari.


Sasa kwanini wengine wanajitutumua kutaka kujifananisha na vitu visivyowahusu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo DMO kuwa dr ndo unaona ndo mmemaliza kila kitu yani Unaweza kwenda department yototee bhasi Mbona hamuingii maabara au hamjui kupima blood group??? Kupima malaria na ukimwi.. pylori test ni kuangalia kwa macho tu kijanaa Course ya week moja na microbiology umesoma mwaka mzimaaa.. Kaka nenda na radiology kulaa kwa huwezi kusoma xray...
 
Naomba nikuulize kitu, katika hayo yote sijaona umeandika Pathophysiology. Kama hukusoma Pathophysiology, utasemaje unaweza kugundua dalili za magonjwa?


Kazi Diagnosis ya Mgonjwa ni ya daktari usitake kupoteza muda kwa ubishi hapa ndugu. Kazi ya Mfamasia kutoa dawa from the store or dispensing room kwa maelekezo ya daktari. Kama Doctor's prescription unatoaje dawa?
Sasa "Professor" hiyo Pathophysiology tunasoma tena ndo msingi wa Mechanism of Action (MOA) ya dawa yoyote ile utakayojifunza ukiwa chuoni.

Hizo nimezitaja zile basics tu ambazo Mfamasia na Daktari wana share katika kujenga msingi wa ufahamu wa Tiba kwa binadamu.

Baaada ya mwaka wa kwanza kila kada inaanza ku specialise katika taaluma yake. Madaktari watajikita katika Diagnosis na wafamasia watadili na madawa.

Hivi somo la Clinical Pharmacy ambalo linahitaji mpaka wanafunzi wa Pharmacy wafanye rotation wodini enzi zenu wakati mnasoma "Professor" halikuwepo??

Vipi kuhusu Principle of therapeutic and Pharmacotherapy hayo masomo haujawahi kuyasikia?? Humo kote kumejaa hiyo Pathophysiology ya kila system ya mwili na jinsi ya ku approach matibabu.

Sijawahi kuwadharau MDs sababu naheshimu kada na majukumu yao ambayo mimi siwezi kuyafanya ila na wao wanahitaji kuheshimu kada nyingine.. Stereotype ya kuamini Daktari anajua kila kitu katika afya ishapitwa na wakati.
 
huu ndio ukweli. anashindwa kuelewa ni kwanini mfamasia anasoma miaka 3 degree, na daktari anasoma miaka 7 degree? hii yoote ni kutaka kuwabana manesi ambao siku zote maisha yao ni magumu, wasiwe na nafasi ya kutoa dawa. manesi huwa wanafundishwa namna ya kutoa dawa na kusoma nini daktari amemaanisha, mfamasia icho kitu naamini anasomea pia. wafamasia tunao wangapi? hadi tuwasambaze vijijini? au mnataka dawa mpate tu huku mijini, wa kijijini wakiugua watafute nauli waje mjini kununua dawa?
Hunataarifa kamili kuhusu wafamasia bora ukae kimya .Usishiriki kweny kupotosha umma
 
Hiyo hoja hakuna inayomfanya superior! Kila taaluma ni muhimu na hizo taaluma zinategemeana! Hakuna anayeweza kusimama bila mwingine.
Whatever the case , medicine Dr ndo commanding officer.... Pharmacy ana eneo lake, medical Lab ana eneo lake , nurse ana eneo lake , radiation ana eneo lake Ila wote hao wamemzunguka kumsaidia daktari..na sio kwamba daktar anawasaidia wao ( ni kweli wanafanya kazi Kwa kutegemeana Ila daktari apewe heshima yake tafadhali)
 
WAZIRI UMMY MWALIMU, USIPOTOSHWE NA WAFAMASIA KUHUSU ADDO, MTAANGAMIZA AFYA ZA WATANZANIA.

Na Prof Patrick Koboko(MD,MMED,PhD)

Salaam Mhe Waziri!

Kwanza kabisa nikupe pole na hongera nyingi sana kwa majukumu iliyonayo ya ujenzi wa taifa hususani dhamana kubwa uliyopewa ya kushikilia afya za watanzania. Maana wewe ukitetereka na afya za watanzania zinatetereka.

Mhe Waziri Ummy Mwalimu umekua ni miongoni mwa wanasiasa wanamama wanaofanya kazi kubwa sana na nzuri sana katika kulijenga taifa hili na hii ndiyo maana ulirejeshwa katika katika wizara iliyopo hivi sasa.

Lakini nikushauri Mama yangu kuna watu wanekuzunguka usipokua makini watakuharibia kazi, wanatumia mwanya kwa sababu wewe siyo Mtaaluma katika fani ya Afya. Katika hili swala la ADDO umepotoshwa na msipoangalia mnaenda kuliangamiza taifa, titatolea sababu hapa chini.

ADDO NI MRADI WA NANI?
Mhe waziri, tunashukuru kwamba mmesitisha mpango wa kutoa mafunzo kwa watoa dawa za binadamu ambao hawana taaluma ya famasia almaarufu kama ADDO. Huu ulikua ni mradi ambao ulibuniwa na baadhi ya wachumia tumbo wachache ambao walitaka kujitengenezea namna flani ya kula pesa za watanzania wenye taaluma za afya hasa wauguzi na matabibu kwa madai kwamba hawana taaluma za famasia(Sijui kuna uhusiano gani hapa). Huu ulikua ni upigaji wa pesa za watanzania tena walitoza pesa nyingi sana kuanzia shilingi 250,000 na kuendelea. Kuondoa ADDO ni kuwandolea ulaji wachumia tumbo hawa ambao hawakua na maslahi kwa taifa.

Maana vyeti vilitolewa kwa rushwa nyingi sana na hata walipewa wasiokua na taaluma za afya ndiyo maana tuliona yanayotokea kwenye baadhi ya maduka, mtu ana cheti cha ADDO lakini taaluma ya Afya hana. Niwe muwazi mradi huu uliratibiwa na baraza la famasia Tanzania, hata leo ukaguzi ukifanyika yatagundulika Madudu mengi sana na ningeomba mamlaka za serikali kama vile PCCB na CAG walichunguze baraza la famasia Tanzania mtajionea mengi.

KATI YA MFAMASIA, NESI NA DAKTARI NANI ATOE DAWA KWA MGONJWA? WAZIRI UMEPOTOSHWA!

1.MFAMASIA KAZI YAKE NI IPI?
Kwa bahati mbaya sana Mhe waziri sijui lengo lako la kusitisha mafunzo ya ADDO ni kudhibiti mianya ya Rushwa au mnalenga kazi hii ifanywe na wafamasia pekee? Kama lengo ni wafamasia watoe dawa kwa wagonjwa basi umepotoshwa vibaya sana mnataka kuangamiza Afya za wananchi.

✓Kazi ya Mfamasia ni kutunza na kuhifadhi dawa,kusambaza maeneo yenye uhitaji pamoja na kutengeneza dawa viwandani na siyo kutoa dawa moja kwa moja kwa mgonjwa . Kwahiyo kazi yake siyo drugs Administration, hii ni kazi ya watu wengine. Mfamasia hajasomea Magonjwa wala wadudu wanaosababisha maradhi, hajasomea dalili za magonjwa. Hivi anapoenda mgonjwa kwenye duka la dawa na hana cheti cha daktari, Mfamasia anajua Diagnosis ya ugonjwa wake? Amesomea dalili? Ni maduka mangapi yanayotoa dawa kwa vyeti vya madaktari nchini? Hivi mnajua kua mnataka kuliangamiza taifa kwa maslahi ya wachache?

2.DAKTARI NA NESI KWENYE UTOAJI WA DAWA
Sihitaji kutoa utetezi katika taaluma hizi kwa sababu mimi ni mwanataaluma pia lakini huu ndio ukweli na Mhe waziri nitoe somo hapa ili ukatae wale waliokupotosha.

✓ Daktari yeye amesomea magonjwa na dalili zake hivyo, mgonjwa anapoumwa tayari anajua anaumwa kitu gani na anajua ampe dawa gani maana dalili za ugonjwa husika anazijua, sasa unaposema Mfamasia akae dukani auze dawa, akija mgonjwa bila cheti atanisaidia nini? Atatambuaje ugonjwa husika na kwa taaluma gani?

✓Nesi hana tofauti sana na daktari maana naye anasomea magonjwa na dalili zake pamoja kutoa dawa moja kwa moja kwa mgonjwa na yeye amejikita zaidi katika kumwangalia mgonjwa anapopata matibu. Kiutaratibu Nesi ndiye anayeenda na cheti cha daktari katika dirisha la dawa na atapewa dawa na Mfamasia kisha ataenda kumpa mgonjwa dawa maana anajua anatoa dawa ipi kwa mgonjwa na kwa ugonjwa upi. Ndiye anayepokea maagizo ya daktari kisha aende kwa mhifadhi dawa ambaye ni Mfamasia ampatie ili akampe mgonjwa.

Halafu kuna kikundi cha watu wachache wanaanzisha miradi wakaupa jina la ADDO ili manesi na madaktari wasomee kisha wakauze dawa.Mbona mahospitalini manesi na madaktari wanatoa dawa hawasomi ADDO? Utapeli mtupu!

USHAURI: NINI KIFANYIKE KATIKA UTOAJI WA DAWA NCHINI KWENE MADUKA YA DAWA?
1.KWENYE PHARMACY ZA JUMLA NA REJA REJA.
(i)Kwakua maduka haya ni makubwa na yana dawa nyingi, pawepo na Wafamasia ambao kazi zao ni kuhifadhi na kusambaza dawa kwenda kwa wauzaji au watoa dawa na siyo wao kuuza dawa kwa wagonjwa moja kwa moja maana wao hawana taaluma ya magonjwa.

(ii) Kuwepo na nesi au tabibu kwa ajili ya kutoa dawa kwa wagonjwa walioandikiwa kwenye vyeti au wawasikilize na kisha kubaini wanaumwa nini na kisha watoe dawa. Hizi ndizo kazi zao hasa kwenye maduka ya rejareja. Mfamasia hana utaalam wa kubaini ugonjwa, anaweza kuleta matatizo kwa mgonjwa.

(iii) Dawa zisitolewe bila cheti cha daktari katika duka lolote na ukaguzi wa kila mara ufanyike. Maana anaweza kutoa dawa mtu ambaye hana taaluma ya magonjwa ikiwa mgonjwa hana cheti na kuleta madhara makubwa.

2.MADUKA YA DAWA MUHIMU
Kwakua maduka haya mengi yapo sehemu ambazo ziko mbali na huduma za afya, wataalam wenye taaluma za kubaini mgonjwa anaumwa nini kupitia dalili waachwe wauze au watoe dawa. Hawa ndio waliosomea Magonjwa,dalili pamoja na kutibu. Hapa anaweza kukaa daktari au nesi akauza dawa. Kumwambia Mfamasia akae dukani auze dawa wakati hajasomea dalili wala kubaini magonjwa ni kutaka kuleta madhara makubwa kwa wagonjwa.

Kwakua maduka haya hayana dawa nyingi, uhifadhi unaweza kufanywa na daktari au nesi mwenye stoo maana pia wamefundishwa kipengele hicho.

HITIMISHO
Nishsuri tuwe na chombo cha ukaguzi wa maduka ya dawa ambacho kitahusisha wanataaluma wa Famasia,Udaktari na Uuguzi ili ifanye kazi ya kusimamia maduka ya madawa na isifanywe na Barazaa Famasia wala TMDA. Hatutaanza sisi, mataifa ya wenzetu wanafanya hivi na wamefanikiwa sana wala hawana migogoro kama hii ya kwetu.

Baraza la Famasia libakie kazi yake kudhibiti taaluma na siyo kukagua maduka ya dawa.TMDA wanamajukumu makubwa wabakie kukagua dawa zinazoingia nchini na vifaa tiba na kukakua ubora wa madawa viwandani huko zinakotengezwa, kwenye maduka ya dawa kiundwe chombo maalumu kijitegemee.

Prof Patrick Koboko(MD,MMED, PhD in Human anatomy)

Umeanza vizuri ila ulivyofika kwenye Kazi za mfamasia ukakosea kabisa ukaanza kuandika utopolo tu. Anyway, Acheni kuingilia maamuzi ya waziri na hizo porojo zenu.

Wewe ni profesa mandazi tu. Eti prof Koboo Koboko my Diiiick.
Acheni kuchafua taaluma za watu.

Hakuna kitu kama hicho ulichokiandika. Wewe na form four yako unahisi hutawezi kukutambua.
 
Unataka tuanze kupimanaaa kwa maswali???[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Well kama ni health management kwa upana wake kwangu hakuna shida kama ni clinal issues kwa baadhi ya magonjwa sina shida pia but not all the medical conditions.

Hilo ni swali ninla clinical na wewe unasema unafahamu dawa za kuwapa wagonjwa. Hiyo ni
handover note mimi nailewa kwa sababu report yenyewe huyo kilaza nilimuandikia mimi.

Sasa ndio nataka kujua ingekuwa wewe ungeanza na nini kipimo au dawa na kwanini; vinginevyo huyo mgonjwa ukichelewa anaweza ondoka kwa handover notes hiyo.
 
WAZIRI UMMY MWALIMU, USIPOTOSHWE NA WAFAMASIA KUHUSU ADDO, MTAANGAMIZA AFYA ZA WATANZANIA.

Na Prof Patrick Koboko(MD,MMED,PhD)

Salaam Mhe Waziri!

Kwanza kabisa nikupe pole na hongera nyingi sana kwa majukumu iliyonayo ya ujenzi wa taifa hususani dhamana kubwa uliyopewa ya kushikilia afya za watanzania. Maana wewe ukitetereka na afya za watanzania zinatetereka.

Mhe Waziri Ummy Mwalimu umekua ni miongoni mwa wanasiasa wanamama wanaofanya kazi kubwa sana na nzuri sana katika kulijenga taifa hili na hii ndiyo maana ulirejeshwa katika katika wizara iliyopo hivi sasa.

Lakini nikushauri Mama yangu kuna watu wanekuzunguka usipokua makini watakuharibia kazi, wanatumia mwanya kwa sababu wewe siyo Mtaaluma katika fani ya Afya. Katika hili swala la ADDO umepotoshwa na msipoangalia mnaenda kuliangamiza taifa, titatolea sababu hapa chini.

ADDO NI MRADI WA NANI?
Mhe waziri, tunashukuru kwamba mmesitisha mpango wa kutoa mafunzo kwa watoa dawa za binadamu ambao hawana taaluma ya famasia almaarufu kama ADDO. Huu ulikua ni mradi ambao ulibuniwa na baadhi ya wachumia tumbo wachache ambao walitaka kujitengenezea namna flani ya kula pesa za watanzania wenye taaluma za afya hasa wauguzi na matabibu kwa madai kwamba hawana taaluma za famasia(Sijui kuna uhusiano gani hapa). Huu ulikua ni upigaji wa pesa za watanzania tena walitoza pesa nyingi sana kuanzia shilingi 250,000 na kuendelea. Kuondoa ADDO ni kuwandolea ulaji wachumia tumbo hawa ambao hawakua na maslahi kwa taifa.

Maana vyeti vilitolewa kwa rushwa nyingi sana na hata walipewa wasiokua na taaluma za afya ndiyo maana tuliona yanayotokea kwenye baadhi ya maduka, mtu ana cheti cha ADDO lakini taaluma ya Afya hana. Niwe muwazi mradi huu uliratibiwa na baraza la famasia Tanzania, hata leo ukaguzi ukifanyika yatagundulika Madudu mengi sana na ningeomba mamlaka za serikali kama vile PCCB na CAG walichunguze baraza la famasia Tanzania mtajionea mengi.

KATI YA MFAMASIA, NESI NA DAKTARI NANI ATOE DAWA KWA MGONJWA? WAZIRI UMEPOTOSHWA!

1.MFAMASIA KAZI YAKE NI IPI?
Kwa bahati mbaya sana Mhe waziri sijui lengo lako la kusitisha mafunzo ya ADDO ni kudhibiti mianya ya Rushwa au mnalenga kazi hii ifanywe na wafamasia pekee? Kama lengo ni wafamasia watoe dawa kwa wagonjwa basi umepotoshwa vibaya sana mnataka kuangamiza Afya za wananchi.

✓Kazi ya Mfamasia ni kutunza na kuhifadhi dawa,kusambaza maeneo yenye uhitaji pamoja na kutengeneza dawa viwandani na siyo kutoa dawa moja kwa moja kwa mgonjwa . Kwahiyo kazi yake siyo drugs Administration, hii ni kazi ya watu wengine. Mfamasia hajasomea Magonjwa wala wadudu wanaosababisha maradhi, hajasomea dalili za magonjwa. Hivi anapoenda mgonjwa kwenye duka la dawa na hana cheti cha daktari, Mfamasia anajua Diagnosis ya ugonjwa wake? Amesomea dalili? Ni maduka mangapi yanayotoa dawa kwa vyeti vya madaktari nchini? Hivi mnajua kua mnataka kuliangamiza taifa kwa maslahi ya wachache?

2.DAKTARI NA NESI KWENYE UTOAJI WA DAWA
Sihitaji kutoa utetezi katika taaluma hizi kwa sababu mimi ni mwanataaluma pia lakini huu ndio ukweli na Mhe waziri nitoe somo hapa ili ukatae wale waliokupotosha.

✓ Daktari yeye amesomea magonjwa na dalili zake hivyo, mgonjwa anapoumwa tayari anajua anaumwa kitu gani na anajua ampe dawa gani maana dalili za ugonjwa husika anazijua, sasa unaposema Mfamasia akae dukani auze dawa, akija mgonjwa bila cheti atanisaidia nini? Atatambuaje ugonjwa husika na kwa taaluma gani?

✓Nesi hana tofauti sana na daktari maana naye anasomea magonjwa na dalili zake pamoja kutoa dawa moja kwa moja kwa mgonjwa na yeye amejikita zaidi katika kumwangalia mgonjwa anapopata matibu. Kiutaratibu Nesi ndiye anayeenda na cheti cha daktari katika dirisha la dawa na atapewa dawa na Mfamasia kisha ataenda kumpa mgonjwa dawa maana anajua anatoa dawa ipi kwa mgonjwa na kwa ugonjwa upi. Ndiye anayepokea maagizo ya daktari kisha aende kwa mhifadhi dawa ambaye ni Mfamasia ampatie ili akampe mgonjwa.

Halafu kuna kikundi cha watu wachache wanaanzisha miradi wakaupa jina la ADDO ili manesi na madaktari wasomee kisha wakauze dawa.Mbona mahospitalini manesi na madaktari wanatoa dawa hawasomi ADDO? Utapeli mtupu!

USHAURI: NINI KIFANYIKE KATIKA UTOAJI WA DAWA NCHINI KWENE MADUKA YA DAWA?
1.KWENYE PHARMACY ZA JUMLA NA REJA REJA.
(i)Kwakua maduka haya ni makubwa na yana dawa nyingi, pawepo na Wafamasia ambao kazi zao ni kuhifadhi na kusambaza dawa kwenda kwa wauzaji au watoa dawa na siyo wao kuuza dawa kwa wagonjwa moja kwa moja maana wao hawana taaluma ya magonjwa.

(ii) Kuwepo na nesi au tabibu kwa ajili ya kutoa dawa kwa wagonjwa walioandikiwa kwenye vyeti au wawasikilize na kisha kubaini wanaumwa nini na kisha watoe dawa. Hizi ndizo kazi zao hasa kwenye maduka ya rejareja. Mfamasia hana utaalam wa kubaini ugonjwa, anaweza kuleta matatizo kwa mgonjwa.

(iii) Dawa zisitolewe bila cheti cha daktari katika duka lolote na ukaguzi wa kila mara ufanyike. Maana anaweza kutoa dawa mtu ambaye hana taaluma ya magonjwa ikiwa mgonjwa hana cheti na kuleta madhara makubwa.

2.MADUKA YA DAWA MUHIMU
Kwakua maduka haya mengi yapo sehemu ambazo ziko mbali na huduma za afya, wataalam wenye taaluma za kubaini mgonjwa anaumwa nini kupitia dalili waachwe wauze au watoe dawa. Hawa ndio waliosomea Magonjwa,dalili pamoja na kutibu. Hapa anaweza kukaa daktari au nesi akauza dawa. Kumwambia Mfamasia akae dukani auze dawa wakati hajasomea dalili wala kubaini magonjwa ni kutaka kuleta madhara makubwa kwa wagonjwa.

Kwakua maduka haya hayana dawa nyingi, uhifadhi unaweza kufanywa na daktari au nesi mwenye stoo maana pia wamefundishwa kipengele hicho.

HITIMISHO
Nishsuri tuwe na chombo cha ukaguzi wa maduka ya dawa ambacho kitahusisha wanataaluma wa Famasia,Udaktari na Uuguzi ili ifanye kazi ya kusimamia maduka ya madawa na isifanywe na Barazaa Famasia wala TMDA. Hatutaanza sisi, mataifa ya wenzetu wanafanya hivi na wamefanikiwa sana wala hawana migogoro kama hii ya kwetu.

Baraza la Famasia libakie kazi yake kudhibiti taaluma na siyo kukagua maduka ya dawa.TMDA wanamajukumu makubwa wabakie kukagua dawa zinazoingia nchini na vifaa tiba na kukakua ubora wa madawa viwandani huko zinakotengezwa, kwenye maduka ya dawa kiundwe chombo maalumu kijitegemee.

Prof Patrick Koboko(MD,MMED, PhD in Human anatomy)

Kuuliza au kuwa na uelewa mdogo sio kosa kosa ni kujifanya unajua wakati hata hujui inamaana hata umeshindwa kuuliza mfamasia anasoma mambo gani kuanzia first year hadi fourth year? Unaidhalilisha hiyo kada uliyosomea kama kweli ww ni MD
 
Nimekuambia wanayojifunza ni basics tu kwa ajili ya therapeutics na sito kubaini magonjwa. Kozi 99% imejikita kwenye utengenezaji na uhifadhi wa dawa. Kujipa kazi ya biashara ya dawa ni Tanzania tuu kutafuta ulaji ila kwa wenzetu haya hayapo.
Therapeutics imekamilika.

Kajisomee kitabu cha Applied Therapeutics, Koda-Kimble uone jinsi Mfamasia anavyojifunza kutengeneza dawa na kuhifadhi kama unavyodai
 
Kwanza kabisa pamoja kubeza elimu yangu na kunitukana sana, nikiri kusema tu kwamba Wafamasia nchini Tanzania ni MZIGO KWA TAIFA.
Sijajua wanaobisha humu ni wafamasia kweli au wengine ni Mafundi sanifu wa dawa na Dispensers ambao kimsingi mjadala huu is beyond their capacities.

NISIKIKIZENI KWA UFUPI PENFINGINE HAMSOMI ANDIKO LANGU LOTE.
Nimesema hivi.......

1.Pamoja na kwamba wafamasia wanasoma anatomy,microbiology, Physiology nk, hivi ni basic knowledge pale wanapotakiwa kusoma therapeutics, mechanisms of actins za dawa kwa wadudu mwilini. Hii siyo knowledge ya kumfanya Mfamasia ajue mgonjwa anaumwa nini, yeye siyo daktari anayeweza kufanya Diagnosis.

2.Nimesema kwa nchi za Wenzetu hata hapa SA 80% of pharmacists wako viwandani kutengeneza dawa na wengine kwenye Godowns za kuhifadhia dawa and rest of them 20% wako mahospitali kusaidiana na madaktari kwenye kufadhi na kutoa dawa. Kwakua Tanzania hatuna viwanda vya vya kutosha vya kutengeneza, Wafamasia wengi hawana kazi wapo kwa ajili ya kuuza vyeti vyao kwa wale wanaotaka kufungua madawa, hata hizi ADDO ni kwa sababu wengi hawana kazi za kufanya wanatafuta kupiga tu pesa. Wanapoona nesi au daktari ana kufika cha dawa basi wanachanganyikiwa na kupanic wanaona kama wanaporwa ulaji wao.

3.Nimesema kua kazi ya Daktari ni kusoma magonjwa na kuyabaini, anasoma Pathophysiology jinsi ugonjwa unavyoingia na kuenea mwilini kwa dalili pamoja na kutibu either kwa dawa au Upasuaji. Sawa unaposema Mfamasia atoe dawa kwa mgonjwa moja kwa moja bila cheti cha daktari l, amesomea wapi magonjwa na dalili zake? Anatomy and physiology ndio zinawafanya waweze kutibu?
-Mfamasia anaweza hata kuchoma sindano?
-Mfamasia anaweza kupasua hata jipu na anajua baada ya upasuaji ni dawa gani itolewe?
-Nesi yupo zaidi kwenye kutoa dawa na uangalizi wa mgonjwa anayetibiwa.

Sasa kama mfamasia ndiye anayejua zaidi elimu ya dawa na umekiri hilo sasa unadhan hatoweza kujua pathophysiology .Unadhani hio dawa imezalishwa basi kuelewa ugonjwa ? Lazima uhujue kwanza ugonjwa ndipo uangalia possible solution za kucombat hilo tatzo.

Nenda hata kwenye drug discovery angalia pharmaceutical chemistry utajua atoms fulani ziwepo iliziwezeshe hii dawa ipite sehem fulan iwez kufany kaz inayotakiwa.Lazima ujue nature ya mdudu mfano membran yake content ni ipi ilidawa ipenye au anakitu gan kinawez sabab resistanc au kuongeza spectrum.
 
Therapeutics imekamilika.

Kajisomee kitabu cha Applied Therapeutics, Koda-Kimble uone jinsi Mfamasia anavyojifunza kutengeneza dawa na kuhifadhi kama unavyodai
Mimi nadhani labda "Professor" anatumia curriculum ya South Africa. Inabidi afanye mchakato wa kupitia upya mtaala wa Famasi wa Tanzania kisha ajiridhishe na hoja zake kuhusu majukumu ya Mfamasia katika Hospital setting hapa Tanzania
 
Well kama ni health management kwa upana wake kwangu hakuna shida kama ni clinal kwa baadhi ya magonjwa sina but shida.

Hilo ni swali la clinical na wewe unasema unafahamu dawa za kuwapa mgonjwa. Hiyo handover note mimi nailewa kwa sababu report yenyewe huyo kilaza nilimuandikia mimi.

Sasa ndio nataka kujua ingekuwa wewe ungeanza na nini kipimo au dawa; vinginevyo huyo mgonjwa ukichelewa anaweza ondoka kwa handover notes hizo.
Vipimo
Electrolytes conce.. FBP
Glucose level
Urinalysis check Ketone..Protein

Confirm ketoacidosis start management of ketoacidosis chap while administer soluble insulin..

Kwenye emergency deparent hizi protocal zimebandikwa kabisaa hadi mambo ya CPR yapo ila sasa huwezi fanya yote haya bila Majibu la Lab ambayo kiufupi Dr ndo anaandika mtu afanyiwe so Hata wew Dr huwezi fanya chochote bila majibu ya maabara maana kumanage vital sign tu haitoshi... mwisho wa siku mfamasia unajua vingi ila sema ndo sio vimbelembeleee... Ila saaa dr anaonahata Famasi anatakiwa akae yeyeee... kwanini hamtaki kusafisha Vidondaa na kubadilisha mashuka??? Kwani vile hmuweziii[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mimi nadhani labda "Professor" anatumia curriculum ya South Africa. Inabidi afanye mchakato wa kupitia upya mtaala wa Famasi wa Tanzania kisha ajiridhishe na hoja zake kuhusu majukumu ya Mfamasia katika Hospital setting hapa Tanzania
Hapo ndio kosa lake lilipo, anatoa hoja bila kufanya utafiti wa eneo husika. South na Tz mambo ni tofauti kabisa.

Kila nchi ina muongozo na sheria zake za kuzifuata kwa kila jambo lake
 
Kuuliza au kuwa na uelewa mdogo sio kosa kosa ni kujifanya unajua wakati hata hujui inamaana hata umeshindwa kuuliza mfamasia anasoma mambo gani kuanzia first year hadi fourth year? Unaidhalilisha hiyo kada uliyosomea kama kweli ww ni MD

Kwa msaada hizi ni baadhi ya masomo anayosoma mfamasia akiwa chuo
1.Human Anatomy
2.Physiology
3.Biochemistry
4.Basic pharmacology ambayo MD husoma
4.clinical pharmacology
5.clinical pharmacy & clerkship
6.Pharmaceutical microbiology
7.Pharmacognosy
8.Pharmaceutical/medicinal chemistry
9.Immunology
10.Pharmacy practice
11.Basic microbiology & molecular biolody
12. Principe of community health and epidemology
13.Pharmaceutics
14.pharmacy management and pharmacoeconomics
15.Geberal and systemic pathology
16. Biostatistics and research methodology
17.Biotechnology
18. Principe of therapeutics
19.Toxicology and forensic pharmacy
Nk....

Hayo ni baadhi ya masomo anayosoma mfamasia ndani ya kipindi chake cha masomo kupitia summary hiyo rudia tena kuandika ili andiko lako liwe na weledi
 
Stereotype na wivu wa MDs ni upumbavu wanawivu sana na sasa hivi ndio wanatumika kuua watanzania kwa kuwandikia madawa ya kuwaua ili tu stock za dawa ziishe, nina hasira na hawa MD wanaandikia watu dawa ili ziwaue nenda private hospitals huko wanaua sana watu na hii NHIF ndio hatari wanakomoa ili wapate pesa nyingi wanatoa dawa za kuua na kuwapa ukilema watu, katika watu hawana huruma na vifo ni hawa MD. Waziri Ummy komesha huu uchuro wa MDs ni wachawi wa afya zetu.
Acha upuuzi kijana kama hujui kitu nyamaza, kwa taarifa yako NHIF kadri unavyoandika dawa nyingi ndio unajiweka kwenye hatar ya kukatwa pesa zaidi.

Kada ya afya Kuna watu hawatak kuukubali uhalisia ila ukweli utabaki pale pale na ndio maana kuna wengine wanasoma miaka 6 na wengine mi4 kamwe hamtofanana.
 
Vipimo
Electrolytes conce.. FBP
Glucose level
Urinalysis check Ketone..Protein

Confirm ketoacidosis start management of ketoacidosis chap while administer soluble insulin..

Kwenye emergency deparent hizi protocal zimebandikwa kabisaa hadi mambo ya CPR yapo ila sasa huwezi fanya yote haya bila Majibu la Lab ambayo kiufupi Dr ndo anaandika mtu afanyiwe so Hata wew Dr huwezi fanya chochote bila majibu ya maabara maana kumanage vital sign tu haitoshi... mwisho wa siku mfamasia unajua vingi ila sema ndo sio vimbelembeleee... Ila saaa dr anaonahata Famasi anatakiwa akae yeyeee... kwanini hamtaki kusafisha Vidondaa na kubadilisha mashuka??? Kwani vile hmuweziii[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
DKA is important lakini utakaa tu unasubiri results bila ya ku stabilise hali ya mgonjwa? Hatua zipi unadhani zinafaa za awali.

Besides inaweza isiwe DKA (hiyo ni precautionary test tu) ana dalili zingine pia ambazo zinafanana na DKA ambazo Dr anadhani ndio tatizo; clue hizo umewekewa either way stabilisation ya kisukari ndio priority yako matibabu yepi ungependekeza au test gani zingine za haraka ili uanze immediate intervention?
 
Back
Top Bottom