Mwaka ambao Hayati kaingia rasmi kwny Siasa za majukwaani kamkuta Mjukuu wa Akida tayari kamtoa kamasi Muasisi kwny kinyang'anyiro cha kutafuta Mgombea Urais kuanzia Kamati kuu, Halmshauri kuu na hata Mkutano mkuuMagufuli amka uje uliokua unawaaminia vijana wako Leo wanalishana na Mzee ulietamani kumnyoosha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watuuu khaaahYule mwanamke wake mwenye jipua kubwa hakwenda naye huko?
Hii inakuwaje mkuu.....wenye ujuvi watudadavulie.OMG bichwa komwe umetumia code ngumu mno. Nchi ina mazito hii. Yaani mpaka Mchonga khaaa?! Kumbe anaishi jamani? Na huenda akawa deep state member kwa sasa
kawaida sana kwa wanasiasa wa africa.JK ana nyumba state? Mwanasiasa si mwenzio
kile kitendo tu cha lissu kusema watoto wake wanasoma nje ya nchi,baadhi ya mihafidhina ya sisiemu mpaka leo inatoa mapovu.Ila wanasiasa wengine wakiwa na makazi nje ya nchi ndio kosa, sivyo?
Keep on struggling..Dah wengne sis n wasindikizaj tu
Yule aliamini duniani sote ni wasafiri, hivyo hakuona ulazima wa kuwekeza.Ulisikia Nyerere ana nyumba nje ya nchi?
Hapo ni Msoggar au ndio mnaita New York?Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.
NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba
View attachment 2565319
View attachment 2565320
View attachment 2565321
Chizi weweHapo ni Msoggar au ndio mnaita New York?
Serikali ya CCM imesheheni WAPIGA DILI watupu, kwa koti la uzalendoMaskini tozo zetu na bwana maji
Mbona mbowe Ana nyumba dubai,afrika kusini,na hata marekani inasemekana Ana nyumbaSerikali ya CCM imesheheni WAPIGA DILI watupu, kwa koti la uzalendo
Mbowe amewahi kuwa Rais wa nchi hii wewe phunga? Amewahi kuwa na mamlaka ya kukusanya kodi zetu na kuzipangia matumizi atakavyo?Mbona mbowe Ana nyumba dubai,afrika kusini,na hata marekani inasemekana Ana nyumba
Acheni kasumba kumiliki nyumba nje ni jambo la kawaida kama mtu uko kwenye mfumo na uwezo wa kifedha
Ova
CAG amethibitishaSerikali ya CCM imesheheni WAPIGA DILI watupu, kwa koti la uzalendo
Kwani Mbowe amewahi kuwa mtumishi wa ummaMbona mbowe Ana nyumba dubai,afrika kusini,na hata marekani inasemekana Ana nyumba
Acheni kasumba kumiliki nyumba nje ni jambo la kawaida kama mtu uko kwenye mfumo na uwezo wa kifedha
Ova
Ilibidi awe mvumilivu kwani matusi yote aliyokuwa anatukanwa yalikuwa ya kweli!! Aliuza nchi kwa wamanga wa HOME SHOPPING CENTRE!Miaka kadhaa iliyopita, hakuna mtu aliyekuwa anatamani kuonekana na JK wa pili.
Unaweza kudhani walikatazwa nà yule mzee, wote walikuwa wakiziponda tawala zilizopita, sana sana utawala wa JK. Huyu mzee alikuwa mvumilivu sana.