Mwaka ambao Hayati kaingia rasmi kwny Siasa za majukwaani kamkuta Mjukuu wa Akida tayari kamtoa kamasi Muasisi kwny kinyang'anyiro cha kutafuta Mgombea Urais kuanzia Kamati kuu, Halmshauri kuu na hata Mkutano mkuuMagufuli amka uje uliokua unawaaminia vijana wako Leo wanalishana na Mzee ulietamani kumnyoosha
Waswahili wanasema '…kuiba ngoma ya kijiji sio kazi ngumu, …ugumu wake ni wapi utaitumia kwa amani? '