TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,894
- 8,454
Anamiliki nchi kama hii na madini, biashara gesi umeme ashindwe kua na kibanda state kweliJK ana nyumba state? Mwanasiasa si mwenzio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamiliki nchi kama hii na madini, biashara gesi umeme ashindwe kua na kibanda state kweliJK ana nyumba state? Mwanasiasa si mwenzio
Jaribu "kugugo" nduguMkuu hao watu hata wakiwa TZ siwezi kujua kama wapo maana ni mbingu na ardhi ,mimi nipo MINJINGU na JK yupo Kawe/Msoga/Mikocheni ,aweso PAngani/Tanga ni mbingu na ardhi.
Ikulu kuna biashara gani?Anamiliki nchi kama hii na madini, biashara gesi umeme ashindwe kua na kibanda state kweli
Mwamba tender zikiwepo ni alama ya kufunga?Huoni tende hapo?
Sherehe ya birthday imefanyika muda wa FUTURUMwamba tender zikiwepo ni alama ya kufunga?
Ulipo kuna tatizo la mtandao nn?duh aiseee
Wewe unaonaje? Kuna ubaya mzalendo wetu akiwa na ka-jumba tu kakuishi hapa New York?Huyu Rais mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ana nyumba anayo miliki U.S.A ?
Sahihi, gharama za maisha hapa New York ni sawa na DSM Tanzania tuAnamiliki nchi kama hii na madini, biashara gesi umeme ashindwe kua na kibanda state kweli
Kama AY ana nyumba marekani atashindwa mtu aliyekua rais kwa mipaka kumi kwa mshahara wa 45m kwa mwezi!?..kabla ya hapo alikua waziri tangu 1993-2005Hata Samia kama hana atanunua nyumba London au New-York.
AY mbona ana nyumba marekani
Kupanga ni kuchaguaKama AY ana nyumba marekani atashindwa mtu aliyekua rais kwa mipaka kumi kwa mshahara wa 45m kwa mwezi!?..kabla ya hapo alikua waziri tangu 1993-2005
Nyumba ni kitu gani, mwenzako amekuwa Waziri kwa miaka mingi, amekuwa Rais kwa miaka 10, jamani mambo mengine ni madogo sana kuuliza au kushangaa.
Hata Mobutu alikuwa na nyumba Paris,Côte d'Azur .Tatizo Kikwete alijificha enzi za Magufuli hatukuona mapicha kama haya.Kama AY ana nyumba marekani atashindwa mtu aliyekua rais kwa mipaka kumi kwa mshahara wa 45m kwa mwezi!?..kabla ya hapo alikua waziri tangu 1993-2005
AY aliwahi kuwa Rais wa nchi wewe ?,Tatizo si pesa.Aandika nimefuta nimeandika nimefuta
AY mbona ana nyumba marekani
Marais mafisadi ndo walivyo.Huyu Rais mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ana nyumba anayo miliki U.S.A ?