Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

Watu watatu wamekunja mikono😅😅chezea kufika nyumbani kwa tajiri weye🏃jk ana nyumba USA sijajua nchi nyingine ulaya,urahisi mtamu bana
Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.

NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba

View attachment 2565319

View attachment 2565320
View attachment 2565321
 
Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.

NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba

View attachment 2565319

View attachment 2565320
View attachment 2565321


Mkuu, Hivi umekusudia kutuonyesha birthday party ya Uweso au umekusudia kutujulisha kwamba JK anayo nyumba New york au kuna kitu kingine kimejificha katika hizo picha ndicho msingi wa hii mada yako!??, kwasababu Birthday party sio jambo la ajabu sana wala sio ajabu kwa mtu kama JK kwa hadhi yake kuwa na nyumba Ulaya na hata sehemu yoyote ya dunia.
 
Mkuu, Hivi umekusudia kutuonyesha birthday party ya Uweso au umekusudia kutujulisha kwamba JK anayo nyumba New york au kuna kitu kingine kimejificha katika hizo picha ndicho msingi wa hii mada yako!??, kwasababu Birthday party sio jambo la ajabu sana wala sio ajabu kwa mtu kama JK kwa hadhi yake kuwa na nyumba Ulaya na hata sehemu yoyote ya dunia.
Furaha ni kufurahi na marafiki ndugu
 
Back
Top Bottom