Hawa wanamiliki kwa kodi zetuMbona na wao wa US wanamiliki vitalu bongo 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wanamiliki kwa kodi zetuMbona na wao wa US wanamiliki vitalu bongo 😀
Mkuu, Hivi umekusudia kutuonyesha birthday party ya Uweso au umekusudia kutujulisha kwamba JK anayo nyumba New york au kuna kitu kingine kimejificha katika hizo picha ndicho msingi wa hii mada yako!??, kwasababu Birthday party sio jambo la ajabu sana wala sio ajabu kwa mtu kama JK kwa hadhi yake kuwa na nyumba Ulaya na hata sehemu yoyote ya dunia.
Kama waliokuwa wasaidizi wake tu wana manyumba huko itakuwa yeyeHawa wanamiliki kwa kodi zetu
Hawa wenzetu Wana nyumba Nchi ngapi ngapi kwani?Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.
NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba
View attachment 2565319
View attachment 2565320
View attachment 2565321
Kwa kiasi ulicho shangaa jk kuwa na nyumba state, ndo kiasi hichohicho ningeshangaa Kama asingekua na nyumba huko.JK ana nyumba state? Mwanasiasa si mwenzio
atawaachia watoto wake au atakodisha. watoto wa Ally Sykes wanafaidi kodi ya nyumba aliyoiacha huko uingerezaKuwa na nyumba US wakati una miaka 80 ina faida gani? Au kwa faoda ya Rizwani? Sii angejenga hata hoteli hapa tz watu wakapata kazi ?
Walamba kodi zetuKama waliokuwa wasaidizi wake tu wana manyumba huko itakuwa yeye
Ila uzuri ni kwamba hata awe na nyumba Kila pande ya Dunia atakula chakula hiki hiki tunachokula sie kama matembele,machungwa,nyama,magarage nkJK ana nyumba state? Mwanasiasa si mwenzio
Anakopa trillion 50 ndani ya miaka miwili halafu akose nyumba USA?.Hata Samia kama hana atanunua nyumba London au New-York.
Ni kweli, ila sa kwanini unatamani kuwa na ukwasi kama yeye why?Ila uzuri ni kwamba hata awe na nyumba Kila pande ya Dunia atakula chakula hiki hiki tunachokula sie kama matembele,machungwa,nyama,magarage nk
"Watu wazuri hawafi"Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.
Wanasiasa wote ni washenzi tuu ,haipaswi kutumia mda wako eti kumtetea mwanasiasa,ajitete mwenyewe maana ndio anafaidi..Usikute hata wana uraia pacha hawa. Hawa si wenzetu.
Wewe ni mshamba
We unafikiri hyo nyumba huko ameanza kuwa nayo leo
Ova
Zito alishasema usimwamini MwanasiasaDah wengne sis n wasindikizaj tu
Wako Newyork Kuna Mkutano wa issue za maji hukoHuko New Yokuuu au wapo hapo bagamoyo mzee, new yokuu hata mazingira ya nje hayaonekania