Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani


Kwann awe na nyumba huko huku akituhimiza uzalendo
 
Usikute hata wana uraia pacha hawa. Hawa si wenzetu.
Wanasiasa wote ni washenzi tuu ,haipaswi kutumia mda wako eti kumtetea mwanasiasa,ajitete mwenyewe maana ndio anafaidi..

Kiufupi kama unanufaika nae mtetee kinyume na hapo unakuwa mpumbavu..

Si umeona kina Lisu ,Lema,Nyalandu nk wote familia zao ziko Nje ya Nchi eti wanakuja kujifanya wanawapigania , rubbish
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…