Kupanga ni kuchagua...Marehemu Baba wa Taifa Nyerere, alikuwa na Nyumba Marekani ??...[emoji57][emoji848]
Ushangaa yeye kuwa na nyumba US wakati 95 yeye na rafiki walikuwa na uwezo wa kukodi ndege ya kwenda kuomba ruhusa ya kugombea uraisMimi nimeuliza kuhusu Rais mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ili nipewe uhakika wa swali langu.
Tena Muasisi akiwa bado haiUshangaa yeye kuwa na nyumba US wakati 95 yeye na rafiki walikuwa na uwezo wa kukodi ndege ya kwenda kuomba ruhusa ya kugombea urais
Yule jamaa alikuwa mpaka na ofisi paris wakati haitumii, siasa tamu sana, mimi piga uwa lazima nije nile asali ya hii nchiHata Mobutu alikuwa na nyumba Paris,Côte d'Azur .Tatizo Kikwete alijificha enzi za Magufuli hatukuona mapicha kama haya.
Mishahara ya Watumishi wa Rais .mstaafu inalipwa kupitia kodi ya vyanzo mbalimbali ikiwemo ya yule Mama Mlima Tumbaku Kule TaboraYule jamaa alikuwa mpaka na ofisi paris wakati haitumii, siasa tamu sana, mimi piga uwa lazima nije nile asali ya hii nchi
Hapo JK unakuta analipa kila mwezi mishahara ya watumishi wa house keeping !!!
Sijaishi wala kukanyaga US lakini ninafuatilia kidogo mambo ya real estate, nasikia New York bila usd 1 million hupati apartment kaliMarekani hata mtanzania mwenye mln 300,400 Ana nunua nyumba huko
Akitaka
Ova
Watu wanavitender uchwara mtaani huku wanasumbua kwa kujenga ma appartmnts ndio itakuwa rais wa nchi tena nchi yenyewe tz kumiliki nyumba US 😄Tena Muasisi akiwa bado hai
yaani kile kolabo la JK, EL na Rosta. itachukua karne moja kupata vile vichwa …sasa hivi ukipepesa macho nawaona kina Mwigulu, sijui Kigwangala sijui Nape…wepesi sana
Basi maisha mazuri sana, kila siku tunasema jk hazeeki,hata ningekuwa yeye nisingezeeka !!!Mishahara ya Watumishi wa Rais .mstaafu inalipwa kupitia kodi ya vyanzo mbalimbali ikiwemo ya yule Mama Mlima Tumbaku Kule Tabora
ndio Sayansi ya Siasa na uzuri wake hicho kipengele hakigusiki hata ikija Katiba mpya
Ana watoto wake wako kule kitambo tu,kina miraji,salama.wanakaa kule muda mwingiKuwa na nyumba US wakati una miaka 80 ina faida gani? Au kwa faoda ya Rizwani? Sii angejenga hata hoteli hapa tz watu wakapata kazi ?
Darasani Mwalimu ana uwezo wa kuhoji Wanafunzi na wanafunzi hawana uwezo wa kumhoji Mwalimu japo wote wana fursa sawa ya kuulizana maswali na kupatiana majawabuSwali kuu ni kwamba aliinunua TSH ngapi??.........na pesa aliitoa wapi?.....tuulizane Tu kirafiki kama wanavyouliza TRA Kodi ya Kwanza ulianza kulipa lini? Na je Una Mali ya kiasi gani? Baadaya kuingia kwenye 18 zao
Tena Muasisi akiwa bado hai
yaani lile kolabo la JK, EL na Rosta. itachukua karne moja kupata vile vichwa …sasa hivi ukipepesa macho nawaona kina Mwigulu, sijui Kigwangala sijui Nape…wepesi sana
Khaaaaaah,na kasri kule Kawe beach
Jamaa alijipanga vyema sana kabla ya kustaafuBasi maisha mazuri sana, kila siku tunasema jk hazeeki,hata ningekuwa yeye nisingezeeka !!!
Bavicha ya kina Yericko ilitukaririsha eti Jamaa ni mweupe sana kichwani na Gentle man degree yake …kumbe masikini ya Mungu alikuwa kawapa kazi isiyo na ujira ya kumchafua Mgombea wao wa Urais wa baadaeIla JK akili yake sio ya sisi watanzania
Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.
NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba
View attachment 2565319
View attachment 2565320
View attachment 2565321
Kwa niaba ya wabongo Im sorry jk Tanzania inakumiss. Enzi za bibi cheka watu walikuita babu cheka hawakujua KUWA nyakati zinakuja na kusepa. Walivunga KUWA unapenda Sana Bata na kiki kama makonda za wasafi kuwafataKumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.
NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba
View attachment 2565319
View attachment 2565320
View attachment 2565321
Kabisa,ila kwa JK hizo ni hela za chumvi tu.Sijaishi wala kukanyaga US lakini ninafuatilia kidogo mambo ya real estate, nasikia New York bila usd 1 million hupati apartment kali