Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima na Mumewe wakipiga nyungu na kufanya mazoezi

Mi si mtaalam wa afya ya akili lakin niseme tu huyu mama si suala la umachepele. kwa tukio la bungen na mengine, KUNA KITU HAKIKO SAWA KWENYE CONTROL BOX.
Control box haipeleki signal kwenye sensor za aibu 😁 wala kwenye Vocal Filter sensor😁
 
Safiiii haaa, couple nzuri sana hii, wanafanana alafu kama twins.. Ila Field Marshal mie namkubali. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Hapa Mh. Rais kapata jembe kweli kweli.. Hapa ndio utajua kumbe Ummy ilikuwa sio kabisa ktk wizara hii ya Afya, hakuenea, maana Field Marshal anashuka jumla jumla, alafu Katibu Mkuu Wizara ya Afya ni Prof Mchembe, yaani vichwa vitupu, wizara imenyooka hiyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nawaza hii couple mume lazima atakuwa submissive tu kwa Field Marshal..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Field marshal kwenye ubora wake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpaka mdudu corona aishe tutaona mengi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipumzishe basi mkuu,nimechoka kucheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haki jf hii ina mambo.
Poa poa muda huu yupo ana download Snapchat mta mkoma!
Jaribu kusema kwa ile sauti yake asalaamu leko bwana yesu asifiwe
 

You are so subjective, tena negatively.. You failed to be objective.
 
Sana tu. Naona anapelekeshwa kiaina. Ila siasa za kick bhana zina raha yake kwa kweli.
Tatizo lake hukawilii kuuza utu, unadhani before uwaziri credibility ya huyu mama ilikuwaje? Kuna mtu alijua kwamba anaweza akawa mpumbavu mpumbavu namna hii?
 
Akamuitia na wapiga picha a kamwambia na style ya kusimama[emoji23]
unasahau kwamba yeye ni kiongoz na anahitah
jika kuhamasisha mazoez. ni saihi kwa hali ya sasa mazoez ya kuchoma oxygen ni muhim.oxidation aerobic na vitu kama hivo.
hapo anahamasisha kama kiongoz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…