Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima na Mumewe wakipiga nyungu na kufanya mazoezi

Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima na Mumewe wakipiga nyungu na kufanya mazoezi

Nilikuwa simjui Mr wake

Ila kwa mwonekano jamaa anakaa tu hamna namna

Hapa kinahitajika Chama cha Wababa Tanzania (CHAWABATA)

Jamaa inaonesha kabisa kawekwa mtu kati
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kwani mnataka wanawake wapole kama mke wa nabii Tito? Wanaume acheni uoga kazini na nyumbani kuna utofauti mkubwa, msioe wasomi oeni ngumbalu wapo kibao, mmewe Dr gwajima kaoa chuma mpeni hongera zake na pongezi zake![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa wenye umri mkubwa kuanzia 60 mazoezi ni muhimu sana ya kudungwa chanjo
Sio mimi Bali wataalamu wanasema
 
Huyu baba mvumilivu sana, anyway, tufanye hayo na tutakuwa salama, bila kusahau mazoezi, hakuna Corona atatia mguu nchini Tanzania. Chanjo tunawaachia manyani na mapanya ya majaribio
Uvumilivu wa kitu gani?
 
Wanajiandaa na kili Marathon itakuwa hawa.....wadownload na strava kabisa tuone Pace...
 
Wanajiandaa na kili Marathon itakuwa hawa.....wadownload na strava kabisa tuone Pace...
 
Wataalamu wa afya ya akili wanasema yule mama yetu ana dalili zote za kichwa chake kupata moto, kama sio kichaa cha kurithi basi kichaa cha msongo wa mawazo ya kimaisha ndio kinakuwaga vile.

Yote kwa yote kwa sasa nasikia yupo kwenye tiba(sina uhakika), hopeful atatulia fresh.

Mtu yoyote inaweza kumpata hiyo hali, hivyo tusimlaumu yeye. Shida iko kwa yule aliyemteua, vetting haikufanyika fresh, maana wangefukua mafaili ya afya yake ya akili yamkini wangeona kitu na kuepusha taifa kwenye hii kadhia.

Kama huamini hayo, jipe muda utakuja hapa hapa JF kurejea. It is a serious matter. Kile kichwa ni mental case!
Vetting ilifanyika,kichaa kamteua kichaa mwenzake
 
Huyu mama alipaswa kujifunza kwa kangi lugola....alikuwa na mbwembwe Kama hivi!! Shauri yake...
Halafu eti ndio daktari.
 
Hii picha ya mwisho inaujumbe kuhusu Maisha yao hawa Watu.
Mmmh
 
Back
Top Bottom