Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani huyu mama, ni zaidi ya mpuuzi!Sababu ya kujirekodi ni nini hasa ???
Part 2 ni faraghaHakuna part 2?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nilikuwa simjui Mr wake
Ila kwa mwonekano jamaa anakaa tu hamna namna
Hapa kinahitajika Chama cha Wababa Tanzania (CHAWABATA)
Jamaa inaonesha kabisa kawekwa mtu kati
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Sababu ya kujirekodi ni nini hasa ???
una maana ganHapo kuna kijana wa kuonewa huruma na sio mzee!!
Uvumilivu wa kitu gani?Huyu baba mvumilivu sana, anyway, tufanye hayo na tutakuwa salama, bila kusahau mazoezi, hakuna Corona atatia mguu nchini Tanzania. Chanjo tunawaachia manyani na mapanya ya majaribio
Kuhamasisha Wana Chato wafanye mazoezi msituniSababu ya kujirekodi ni nini hasa ???
KhaPart 2 ni faragha
Vichaa wawili,jamaa mwehu mke chiziMazoezi ni muhimu
Mazoezi ni Afya
Mhesh Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto leo Februari 7, 2021 ameshiriki mazoezi pamoja na Mumewe Wakili Gwajima.
View attachment 1696989
Vetting ilifanyika,kichaa kamteua kichaa mwenzakeWataalamu wa afya ya akili wanasema yule mama yetu ana dalili zote za kichwa chake kupata moto, kama sio kichaa cha kurithi basi kichaa cha msongo wa mawazo ya kimaisha ndio kinakuwaga vile.
Yote kwa yote kwa sasa nasikia yupo kwenye tiba(sina uhakika), hopeful atatulia fresh.
Mtu yoyote inaweza kumpata hiyo hali, hivyo tusimlaumu yeye. Shida iko kwa yule aliyemteua, vetting haikufanyika fresh, maana wangefukua mafaili ya afya yake ya akili yamkini wangeona kitu na kuepusha taifa kwenye hii kadhia.
Kama huamini hayo, jipe muda utakuja hapa hapa JF kurejea. It is a serious matter. Kile kichwa ni mental case!