chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Nilitegemea mngemchallange yeye wazir na wizara yake,Cha ajabu mnamjadili mzee wa watu na ndoa yake...akipita humu akaona yanayoendelea,atakuwa disappointed Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila level ina vetting yake. Ikiwa leo mimi ni Afisa, nitafanyiwa vetting, ikiwa leo nataka kupewa ukurugenzi, nitafanyiwa vetting kubwa zaidi, ikiwa na kuingizwa kwenye temptation za hela, mapenzi na nk.
Wakati mwingine wanaweza taka jua, mke wako ana mental strength kiasi gani , so wanakuja ma HB wanamtokea, na akiwa na akili ndogo akiingia analiwa kama kawa, wanazidi kukujua, hizo ni Level za juu.
Vetting za Waziri huwa ni kubwa zaidi no matter what , sasa issue ya medical ni ndogo sana kujua na afya yake kwa ujumla. Huwezi kusema Waziri hakufanyiwa vetting vizuri, ni kosa na ukosefu wa akili timamu. Eti anatumia dawa, yaani that guy is not serious. Waziri ni muwakilishi wa rais, anaingia baraza la mawaziri huyo mama then unasema hakufanyiwa vetting vyema
nilitegemea mngemchallange yeye wazir na wizara yake,Cha ajabu mnamjadili mzee wa watu na ndoa yake...akipita humu akaona yanayoendelea,atakuwa disappointed Sana.
Na wao watuonyeshe wake zao tuone magaga na kilimanjaro zao pamoja midela yao, wivu tu unawasmbua.Wamezidi kumnanga mama wa watu na personal issue zake angekuwa anachemka kiutendaji kwa kufanya madudu hapo sawa tungemsema, Ila bado hajaharibu huko why judge her. Better tumkosoe kiutendaji hapo ameonyesha mfano umuhimu wa mazoezi kujifukiza shida iko wapi, wengi wa mnanga tu KWA chuki wamwache mama gwajizo
Ukizunguka sana kwa Waganga, akili huruka. (Sina uhakika na hili) ila nimeshuhudia sana watu wenye mishe za kiganga kuwa kama wagonjwa wa akili.Wataalamu wa afya ya akili wanasema yule mama yetu ana dalili zote za kichwa chake kupata moto, kama sio kichaa cha kurithi basi kichaa cha msongo wa mawazo ya kimaisha ndio kinakuwaga vile.
Yote kwa yote kwa sasa nasikia yupo kwenye tiba(sina uhakika), hopeful atatulia fresh.
Mtu yoyote inaweza kumpata hiyo hali, hivyo tusimlaumu yeye. Shida iko kwa yule aliyemteua, vetting haikufanyika fresh, maana wangefukua mafaili ya afya yake ya akili yamkini wangeona kitu na kuepusha taifa kwenye hii kadhia.
Kama huamini hayo, jipe muda utakuja hapa hapa JF kurejea. It is a serious matter. Kile kichwa ni mental case!
Inashangaza sana hawa watu, maisha yake binafsi ya nini, yaani yeye aendelee kuchapa kazi tu asiwasikilize kina Abdulnilitegemea mngemchallange yeye wazir na wizara yake,Cha ajabu mnamjadili mzee wa watu na ndoa yake...akipita humu akaona yanayoendelea,atakuwa disappointed Sana.
Wanajamvi kwani Nyungu inapigwa umevaa nguo hivyo😄😄 Zanzibar-ASPMazoezi ni muhimu
Mazoezi ni Afya
Mhesh Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto leo Februari 7, 2021 ameshiriki mazoezi pamoja na Mumewe Wakili Gwajima.
View attachment 1696989
Hahahahahaaaaa.....Yaaani umenichekesha saaana...Kuhamasisha Wana chato wafanye mazoezi msituni
bado sijaona mapungufu yake ,labda ngoja nianze kumfuatilia kwa ukaribu.naona watu Wana mng'akia kiasi flani.Mi si mtaalam wa afya ya akili lakin niseme tu huyu mama si suala la umachepele. kwa tukio la bungen na mengine, KUNA KITU HAKIKO SAWA KWENYE CONTROL BOX.
Kwanini asiwe naye? [emoji3] Ikiwa mama Samia anaye! Unajua ndiyo wale unaolewa na Mme akiwa na degree 1 lakini anajiendeleza mpaka PhD na kuwa professor, lakini mke ana form four yake felia mpaka anaulizwa ulioa vipi mke asiye soma? Kumbe wametoka mbali!Sikujua Kama ana Mume eti
Wewe mama wa nyumbani au muajiriwa unamishe yako kama mnavyosema wenyewe, unachakarika kuna leo kuna kesho siyo ?Tatizo mnakariri ukiona huyu anashida basi wote hapana, wanaume niwasumbufu sana tena hawa wasomi ni mbuzi tosha hutumia usomi wao kuwaburuza wake zao sema wanawake huamua kuvumilia tu ,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siyo tukakimbie twende nikukimbize kidogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaah lolmwanamke ana sura ngumu kama ana constipation?
Mie hapo nachoka kabisaa yaaanHuyu mama alipaswa kujifunza kwa kangi lugola....alikuwa na mbwembwe Kama hivi!! Shauri yake...
Halafu eti ndio daktari.