Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima na Mumewe wakipiga nyungu na kufanya mazoezi

Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima na Mumewe wakipiga nyungu na kufanya mazoezi

Na wao watuonyeshe wake zao tuone magaga na kilimanjaro zao pamoja midela yao, wivu tu unawasmbua.
Wake zao wabovu hawana elimu wala mbele na nyuma hata wanaume wanaomponda wana cv mbaya tu hawajamkuta huyo mother kabisa
 
Huyo ni mumewe kweli au kaokota tu lijamaa huko wafanye nalo maigizo?

They look very uncomfortable!!
 
Ila waja jamani, mume anaonekana ana furaha kabisa huyo ila sasa mlivyokazana kuwa manabii[emoji119][emoji119][emoji119]

Hebu tulieni bwana, kama yenu yanapumulia mashine sio ya wote.
 
Mimi nadhani Ummy kiutendaji alikuwa bora zaidi ya huyu. Huyu ni type za kina Lugola, huwa mwisho wao sio mzuri.
 
lengo anataka kuelimisha wananchi au kutuonyesha asali wa moyo wake

hivi huyu mama ni ndugu wa gwajima wa uno 😀
 
bado sijaona mapungufu yake ,labda ngoja nianze kumfuatilia kwa ukaribu.naona watu Wana mng'akia kiasi flani.
Utakachogundua haraka ni kuwa mama anaijua vyema wizara ya afya na mapungufu yake ya muda mrefu. Bila shaka amepania kuondoa mapungufu hayo aliyokuwa anabaniwa nyuma kiwadhifa. Lakin kitakachokuduwaza ni utakapogundua ni kama hakuwa na ndoto za cheo alichonacho. Mipasho mingi. Ubabe mwingi. Kujiamin kwingi. Mbwembwe nyingi. Dharau nyingi kwa afisa waandamiz wenzake. Ni kama amelewa hali aliyomo mapema. Amejiamin na kujiaminisha mno. Angekuwa mama yang ningemshaur ajiboreshe kwenye lugha ya mawasiliano kwa ngaz yake. Aishi na kutenda kama wazir wa afya. Tena Daktari. Apunguze mbwembwe za kisiasa aweze kuaminika. Dr kubehave kama comedian si jambo zuri.
 
Utakachogundua haraka ni kuwa mama anaijua vyema wizara ya elim na mapungufu yake ya muda mrefu. Bila shaka amepania kuondoa mapungufu hayo aliyokuwa anabaniwa nyuma kiwadhifa. Lakin kitakachokuduwaza ni utakapogundua ni kama hakuwa na ndoto za cheo alichonacho. Mipasho mingi. Ubabe mwingi. Kujiamin kwingi. Mbwembwe nyingi. Dharau nyingi kwa afisa waandamiz wenzake. Ni kama amelewa hali aliyomo mapema. Amejiamin na kujiaminisha mno. Angekuwa mama yang ningemshaur ajiboreshe kwenye lugha ya mawasiliano kwa ngaz yake. Aishi na kutenda kama wazir wa afya. Tena Daktari. Apunguze mbwembwe za kisiasa aweze kuaminika. Dr kubehave kama comedian si jambo zuri.
Mbona unachanganya sasa mara wizara ya Elimu, mara wizara ya Afya, sasa tushike lipi?
 
Nilitaka kuwa msanii..., yaani muigizaji ila kwa sasa inalipa kweli..., naona soko limekuwa saturated sijui kama tauza....
 
Back
Top Bottom