Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo kuna kijana wa kuonewa huruma na sio mzee!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo kuna kijana wa kuonewa huruma na sio mzee!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bila shaka kesho jioni wanaume tutakuwa na kikao cha kujadili huu uvumilivu wa mwamba na tutamkabidhi tuzo ya ushujaa.
Tupe wabongo picha tukuandikie habari..... sasa dada Dorothy kaleta video kabisa tunaandika kitabu😂😂😂😂Nimezitama hizo picha na kugundua haya:
1. Lengo sio kufanya mazoezi, lengo hapo ni kupiga picha. It is a staged photo.
2. Muonekano unaonyesha kuwa sio watu wa mazoezi.
3. Body language inaonyesha hawana ule muunganiko wa kimapenzi baina ya mke na mume au mtu na rafiki yake wa
karibu. Hakuna chemistry baina yao.
4. Mama inaonekana anamburuza mwenzake.
HITIMISHO LANGU.
Uhusiano wao huenda una shida kubwa mahali fulani na hili ni jaribio la kutafuta kufunika shida isije ikaonekana.
USHAURI WANGU KWA DR. GWAJIMA
-Achana kabisa na mtindo wa maisha yako binafsi kuyaleta mbele ya kamera, gharama yake ni kubwa huko mbele ya safari.
-Ukiamua kuwa mwanasiasa basi jifunze kuishi kama mwanasiasa. Usitamani kuishi kama mtu maarufu wakati bado unajifunza kuwa mwanasiasa.
Wanataka wanawake ambao hawajasoma ili wawaburuze Kama wajinga.Tatizo mnakariri ukiona huyu anashida basi wote hapana, wanaume niwasumbufu sana tena hawa wasomi ni mbuzi tosha hutumia usomi wao kuwaburuza wake zao sema wanawake huamua kuvumilia tu ,
Nimemkumbuka ummy walahi....kipindi kile Corona imepamba Moto lkn alikuwa very professionalMie hapo nachoka kabisaa yaaan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila shaka alikubali picha yake iwekwe public,acha wana nzengo wamjadili kinaga ubaga.
Sasa cha ajabu ummy mtaalamu wa sheria ila alihudumu vizuri wizara ya Afya, huyu mtaalamu wa Afya wizara husika inamleta tafrani lol.Nimemkumbuka ummy walahi....kipindi like Corona imepamba Moto lkn alikuwa very professional
Aki ya nani jf ina mambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Huyo ni mumewe kweli au kaokota tu lijamaa huko wafanye nalo maigizo?
They look very uncomfortable!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Tupe wabongo picha tukuandikie habari..... sasa dada Dorothy kaleta video kabisa tunaandika kitabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapo kupiga ramli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Ila waja jamani, mume anaonekana ana furaha kabisa huyo ila sasa mlivyokazana kuwa manabii[emoji119][emoji119][emoji119]
Hebu tulieni bwana, kama yenu yanapumulia mashine sio ya wote.
Yaani mama anaheka heka kamtia heka heka Hadi mumewe...utafikiri wale wamama wauswazi wanaoleta matarumbeta na vigoma mtaani kisa mpangaji anayemdai anahama..Sasa cha ajabu ummy mtaalamu wa sheria ila alihudumu vizuri wizara ya Afya, huyu mtaalamu wa Afya wizara husika inamleta tafrani lol.
Yaan wee acha tyuuh, afu kinachonisikitisha zaidi eti huyu mama ni mngoni mwenzangu wa kutoka home Songea, nliona mahali wanasema hilo, sijui ni kweli maana mbona sie hatupo vile km yeye.Yaani mama anaheka heka kamtia heka heka Hadi mumewe...utafikiri wale wamama wauswazi wanaoleta matarumbeta na vigoma mtaani kisa mpangaji anayemdai anahama..
Asingesoma sijui angekuwa nani
Tobaaah!! Kumbe ni mngoni mwenzetu? Mi nikifikiri muha huyu..so gwajima ni jina la mume sio? Anatufedhehesha wangoni buanaYaan wee acha tyuuh, afu kinachonisikitisha zaidi eti huyu mama ni mngoni mwenzangu wa kutoka home Songea, nliona mahali wanasema hilo, sijui ni kweli maana mbona sie hatupo vile km yeye.
Gwajima ya mumewe yes, yaan nilichoka kabisaa nilipoona hiyo habari, hadi nikahisi km kweli ni mngoni bas hajakulia kwetu songea. Yupo tofauti kabisa na uhalisia wetu.Tobaaah!! Kumbe ni mngoni mwenzetu? Mi nikifikiri muha huyu..so gwajima ni jina la mume sio? Anatufedhehesha wangoni buana
Hahaha kumbe mjukuu wa ShakaZuluYaan wee acha tyuuh, afu kinachonisikitisha zaidi eti huyu mama ni mngoni mwenzangu wa kutoka home Songea, nliona mahali wanasema hilo, sijui ni kweli maana mbona sie hatupo vile km yeye.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu mama anatuaibisha sana watu wa bondeni.Hahaha kumbe mjukuu wa ShakaZulu