Mwenzangu huyu hajakulia kwenye makaba yetu....au pengine anatokea vijiji vinavyopakana Sana na Njombe!Gwajima ya mumewe yes, yaan nilichoka kabisaa nilipoona hiyo habari, hadi nikahisi km kweli ni mngoni bas hajakulia kwetu songea. Yupo tofauti kabisa na uhalisia wetu.
Na ndo mawazo yangu yalipokua nkawa nawaza itakua kakulia mpakani na njombe huyu.Mwenzangu huyu hajakulia kwenye makaba yetu....au pengine anatokea vijiji vinavyopakana Sana na Njombe!
Pengine ndio lengo lake, wanawake wajanjaAisee aibu nimeona mimi, sijui kwanini hata!
Cha msingi hayo matunda na iyo alkasusu ya Nimri waliyokunywa hapo vitababisha jamaa mnara utasoma 5G+ atashuhulika kweri-kweri.
Maana sio kwa ubandidu huo....Na ndo mawazo yangu yalipokua nkawa nawaza itakua kakulia mpakani na njombe huyu.
Haya mambo ya kukimbia na kitambaa kipo begani hakidondoki ina hitajika sayansi mambo ya Ulaya hayaπππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mumewe nae heeeh sijui walikutana wapi, na walianzaje kutongozana. KhaaaaahMaana sio kwa ubandidu huo....
Next time atampa na earphones asikilize ile nyimbo ya sukari akiwa ana kimbia mambo π₯π₯π₯[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kupatwa kwa wakili msomi......ninecheka hapo anampa alkasusu akapiga na kagoti kidogo......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mumewe nae heeeh sijui walikutana wapi, na walianzaje kutongozana. Khaaaaah
Yaan wee acha tyuuh, afu kinachonisikitisha zaidi eti huyu mama ni mngoni mwenzangu wa kutoka home Songea, nliona mahali wanasema hilo, sijui ni kweli maana mbona sie hatupo vile km yeye.
utama kwaku nikupala sanaYaan wee acha tyuuh, afu kinachonisikitisha zaidi eti huyu mama ni mngoni mwenzangu wa kutoka home Songea, nliona mahali wanasema hilo, sijui ni kweli maana mbona sie hatupo vile km yeye.
Watanzania hamfai[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Next time atampa na earphones asikilize ile nyimbo ya sukari akiwa ana kimbia mambo [emoji91][emoji91][emoji91]
Hata sio mngoni ana asili ya uchaga flani ila kakulia singidaYaan wee acha tyuuh, afu kinachonisikitisha zaidi eti huyu mama ni mngoni mwenzangu wa kutoka home Songea, nliona mahali wanasema hilo, sijui ni kweli maana mbona sie hatupo vile km yeye.
wewe ni mngoni mmmhHata sio mngoni ana asili ya uchaga flani ila kakulia singida
πππππππHaya mambo ya kukimbia na kitambaa kipo begani hakidondoki ina hitajika sayansi mambo ya Ulaya haya
Hahaha Una nini lakini fundi25πππππNext time atampa na earphones asikilize ile nyimbo ya sukari akiwa ana kimbia mambo π₯π₯π₯
Sio mngoni kabisa kakulia singida hukowewe ni mngoni mmmh
Unaweza yale mambo au mngoni jina?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aibu tupu yaanKupatwa kwa wakili msomi......ninecheka hapo anampa alkasusu akapiga na kagoti kidogo......
Yaani full drama
Mimi sio mngoni hata wakusingiziwawewe ni mngoni mmmh
Unaweza yale mambo au mngoni jina?
Nene nivi kumbwani mlongo.utama kwaku nikupala sana