Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu: Wagonjwa 37 wamethibitishwa kupona virusi vya Corona na wameruhusiwa kwenda nyumbani

Hamna jema..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi ya ajabu sana hii kuwahi kutokea..

Me nadhani wananchi ndio wenye nchi hivyo wapewe updates zote zinazohusu huu Ugonjwa bila hivyo ni utumiaji m'baya wa madaraka..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rafiki yangu aligundulika ana corona siku 7 zilizopita ila hali yake kwa sasa ni njema kabisa,hana dalili zozote za ugonjwa japokuwa bado yupo hospitali na vipimo vya kuthibitisha kupona bado havijachukuliwa.Ila yupo fit nashukuru mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesema tuwe na kiwango cha ujinga,kikizidi ni tatizo!Kwahiyo unaamini kabisa wamefukizwa hospitalini ndio maana wamepona?So juzi Rais kaongea,Jana wakafukizwa na leo wamepona na kuachiwa,akili zenu mnazijua wenyewe!
Maneno mengi uelewa mdogo, nilichoandika hujaelewa sasa unakuja na litmus test za akili zetu, sijui zangu na za nani.
Kufukiza ni medical treatment ipo, usivurugwe na hilo neno la Kiswahili. Ikiitwa humidifier, nebulizer vipi?!
 
Waziri alitakiwa awe na standard format ya kutolea hizi taarifa. Kitaalamu ni muhimu kueleza wagonjwa wapya ni wangapi hata kama hakuna kwa wakati huo.

Hiki ndio kipimo kikubwa cha jinsi ugonjwa unavyo endelea nchini. Taarifa ya vifo ni muhimu pia. Karantini wako wangapi ni indicator nyingine muhimu pamoja na waliopona. Kutokutoa taarifa muhimu ni sawa na kupotosha umma.
 
Magufuli alisema wamepona 100 mbona waziri kasema wamepona 37 na sio 100!! Tumuamini nani kati yao?
Mkuu ungesema wewe hivyo ungeambiwa unapika data, unapotosha umma nani mchochezi. Wakubwa hawadanganyi yaani si waongo bali hukosea. Wewe na mimi ndio waongo na .......
 
Maneno mengi uelewa mdogo, nilichoandika hujaelewa sasa unakuja na litmus test za akili zetu, sijui zangu na za nani.
Kufukiza ni medical treatment ipo, usivurugwe na hilo neno la Kiswahili. Ikiitwa humidifier, nebulizer vipi?!
Wewe umedakia mambo kwa juu juu tu!Ushauri wa kidaktari uliotolewa ni kuwa kufukiza moshi wa joto sio sahihi!Hakuna anayeweza kuhimili hewa ya 100 °C iingie kwenye pua zake ili zikaue virus kwenye mapafu!Tumia akili!

Ushauri wa kidaktari so far ni kula mlo kamili pamoja na matunda kuuoa mwili uwezo wa kupambana!Sasa ninyi mnakuja na bla blah zisizo na maana hapa!
 
Kwa hiyo mpaka hapo tumebakiwa na wagonjwa 155 tu.
 
Mkuu, kiwango cha ujinga kilichoruhusiwa na TBS ni kiasi gani? Natania🥰😀😀
Ujinga usizidi 10%!Sasa ikiwa balanced 50% hapo ndio tunaona matatizo kama ya huyo mchangiaji!
Natania tu!
 
Taarifa za kumfurahisha Mchato zimeanza kutoka
 
Kumbe ni kweli rais wetu alikuwa sahihi na wataalam wetu walikuwa ama wrong au walikuwa bado wana hakiki uponaji wa wagonjwa.....Unajibu maombi×3 twakushukuu baba🎼🎼 Ewe Mungu tusaidie iwe ni kweli.
 
Una uhakika na wewe hukurukia mambo juu juu na vipimo vyako vya akili?! Kwenye eneo hili uelewa wangu naamini si haba. Acha mass judgements.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…