mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hamna jema..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi itakuwa inatangazwa waliorecover tu. Ukisikia mgonjwa ni mmoja ama wawili.
Baada ya ile idadi 89 kutangazwa na watu kuanza kumshambulia rais akashtuka na ndiyo lengo LA mkutano wake wa juzi kupiga biti.
Haya yote hayaondoi kasi ya maambukizi na vifo hata serikali ikiendelea kuficha uhalisia. Na hii ni kwa sababu hakuna jipya linalofanywa kuthibiti maambukizi.
Hivyo ni swala la kila RAIA kujipambania..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app