Waziri wa Ardhi azuia mchakato wa kutaka kubomoa nyumba zaidi ya 100 zilizopo Mapinga

Waziri wa Ardhi azuia mchakato wa kutaka kubomoa nyumba zaidi ya 100 zilizopo Mapinga

HATUTAKI HISANI ya maagizo ya Rais. Tunataka sheria na mifumo ifanye kazi.

Ukikubali unusurike kwa nguvu ya maagizo ya Rais itabidi ukubali siku akitumia nguvu hiyo hiyo kuamuru muondoke auze eneo kwa Mwarabu.

Rais Joseph Biden wa Marekani angeweza kujifungia ndani miezi sita wala wasijue na himaya bado ikasimama kwa sababu nchi ile inaendeshwa kwa sheria na mifumo. Na kamwe haingilii migogoro ya ardhi.
Mfumo Upi wa Mahakaman?? Hizi mahakama za Kufunga Mama aloleteaa nyama asijue ni Yann, anafungwa miaka 30 , alafu Mafisadi na mezi yanaachiwa??.


Nchi hiii tunataka watu aina ya Makonda, ambao wanatanguliza Masilahi ya Raia hata km ni Kwa kuvunja Sheria.


Kuna hukumu ngapi zimetolewa na Majaji, hukumu za ovyooo, ambazo zimekaua zinaingizwa kwenye kumbukumbu kama sehem ya Rejea Kwa kesi za mbeleni???.
 
Mfumo Upi wa Mahakaman?? Hizi mahakama za Kufunga Mama aloleteaa nyama asijue ni Yann, anafungwa miaka 30 , alafu Mafisadi na mezi yanaachiwa??.


Nchi hiii tunataka watu aina ya Makonda, ambao wanatanguliza Masilahi ya Raia hata km ni Kwa kuvunja Sheria.


Kuna hukumu ngapi zimetolewa na Majaji, hukumu za ovyooo, ambazo zimekaua zinaingizwa kwenye kumbukumbu kama sehem ya Rejea Kwa kesi za mbeleni???.

Anhaaa, sawa.

Mahakama zimekufa, kimbilio letu ni Makonda.

Na Makonda akifa ????????
 
Ni kituko cha karne amri ya mahakama inazuiliwa mahakamani huko huko. Sio kwa kauli ya waziri. Amri ya mahakama ni lazima itekelezwe na iheshimiwe hata kama ni chungu

Huyu waziri kwa kuingilia na kujaribu kuzuia amri ya mahakama apigwe cotempt of court. Anakuwa kama hajui utawala wa sheria
Magu si alipuuza amri ya mahakama kuu na kubomoa nyumba za kimara kisiasa TU?
 
Kisheria hii imekaaje? Watu wamevamia, wamepelekwa mahakamani na wameshindwa, waziri anakuja kusitisha how?
shida ni kwamba baadhi ya majaji wenyewe huwa hawatendi haki. Na lazima itakuwa kuna kitu Waziri amenusa hapo.
 
Hata kusitisha kwa muda kwa utekelezaji wa hukumu ya Mahakama, Waziri huyo anapaswa aende kufungua Maombi/Kesi ndogo Mahakamani (Stay Execution) ili kuzuia utekelezaji wa hukumu hiyo. Kutoa maagizo yoyote Yale ya kusitisha kwa muda utekelezaji wa hiyo Hukumu ya Mahakama bila ya kufungua Kesi ndogo au bila ya kukata rufaa, inahesabika ni kuingilia Maamuzi ya Mahakama
Hapa kinachofanyika siyo Waziri anazuia utekelezaji wa hukumu ya mahakama. Bali kwa kutumia mamlaka yake anaweka muwala (Harmony).

Mahakama imesema mwenye haki ni Fulani na wengine waondoke kwenye ile Ardhi. Lakini imesema waondokaje!?

Waziri anachofanya nadhani ni sahihi kisheria.
 
Huyo jamaa anabebwa na sifa kuliko uhalisia. Mambo anayofanya mengine mazuri mangine ya hovyo. Mambo yake kama hili hayawezi ku stand the test of time
Sio sifa we kiazi wananchi 100 sio mchezo hapo ni hesabu ya kaya 100 humo Kuna watoto ndugu na jamaa,wapangaji n.k Kwa hesabu ya haraka zaidi ya wananchi 300+ watakosa makazi kisa huyo hakimu kalamba mlungula kajikalia kwenye kiti anaamuo hovyo hovyo.Hujui uchungu wa ujenzi umejikalia Kwa Shemeji Yako unacoment ujinga hapa.Serikali kama Baba lazima aingilie kati kutafuta suruhu Kwa namna yoyote Ile hata Kwa kuvunja Sheria.Kaya 100 sawa na Kijiji eti mtu mmoja avunje Kijiji kizima kisa eneo ni lake.Katiba inaitambua Kuwa Ardhi ni mali ya Serikali na wananchi ni wapangaji.Go slaa go.
 
Sio sifa we kiazi wananchi 100 sio mchezo hapo ni hesabu ya kaya 100 humo Kuna watoto ndugu na jamaa,wapangaji n.k Kwa hesabu ya haraka zaidi ya wananchi 300+ watakosa makazi kisa huyo hakimu kalamba mlungula kajikalia kwenye kiti anaamuo hovyo hovyo.Hujui uchungu wa ujenzi umejikalia Kwa Shemeji Yako unacoment ujinga hapa.Serikali kama Baba lazima aingilie kati kutafuta suruhu Kwa namna yoyote Ile hata Kwa kuvunja Sheria.Kaya 100 sawa na Kijiji eti mtu mmoja avunje Kijiji kizima kisa eneo ni lake.Katiba inaitambua Kuwa Ardhi ni mali ya Serikali na wananchi ni wapangaji.Go slaa go.
Mtko ww.....
 
Ingekuwa Mimi ndiyo nimeshinda kesi,ningezibomoa halafu nione kifuatacho ITV.

BTW:LHRC huwezi kuwasikia kwenye hili labda angekuw Makonda.
 
HATUTAKI HISANI ya maagizo ya Rais. Tunataka sheria na mifumo ifanye kazi.

Ukikubali unusurike kwa nguvu ya maagizo ya Rais itabidi ukubali siku akitumia nguvu hiyo hiyo kuamuru muondoke auze eneo kwa Mwarabu.

Rais Joseph Biden wa Marekani angeweza kujifungia ndani miezi sita wala wasijue na himaya bado ikasimama kwa sababu nchi ile inaendeshwa kwa sheria na mifumo. Na kamwe haingilii migogoro ya ardhi.

Kwanza hawana migogoro ya ardhi, nchi ishapimwa. Na bahari yao pia ishapimwa, kila bonde na jiwe na barafu na the deepest point ndani ya Atlantic Ocean wanajua ilipo. Sisi tumeshindwa kupima nchi kavu. Pimbi wakubwa.
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era
 
kibinadamu inahitajika iwe hivyo japo kisheria hana mamalaka. watu mia moja wote wakati wanavamia na kujenga mwekezaji alikuwa wapi? sijui sheria snaa ila tuwe makini sana

Wakuu naombeni kura zenu

 
Katiba inasema ardhi ni mali ya serikali, mwananchi ni mpangaji tu, waziri ndiye mwenye dhamana ya ardhi, hapo unaonaje? Ahakikishe kuwa hapakuwa na hata chembe ya rushwa.
Rushwa haipo. Mtu una hati miliki na unatumia eneo kwa kadri ya hati wao wanvamia kwa matumizi tofauti. Wananchi wa bagamoyo ndio tatizo la baadhi kuvamia maeneo na kuyauza. Hawafanyi kazi halali. Wengi wamewahi kufungwa na faini kwa kosa hili. Waziri anachofanya ni kuendeleza hao watu wavamie maeneo ya watu.
 
Hizo nyumba 100 hazikujengwa siku moja. Anaejiita Mmiliki wa Ardhi alikuwa wapi wakati makazi ya watu yanajengwa kwenye eneo lake!!

Kubomoa nyumba 100 kwa ajili ya mtu mmoja hapana.

Kama Sheria zetu zinasimamiwa ipasavyo mbona Kuna race hazipo kwenye magereza yetu au wao hawafanyi makosa!

Go on Wazuri.
 
Ni kituko cha karne amri ya mahakama inazuiliwa mahakamani huko huko. Sio kwa kauli ya waziri. Amri ya mahakama ni lazima itekelezwe na iheshimiwe hata kama ni chungu

Huyu waziri kwa kuingilia na kujaribu kuzuia amri ya mahakama apigwe cotempt of court. Anakuwa kama hajui utawala wa sheria
Kumbuka kauli ya Rostam.
Kumbuka kauli ya Magufuli, serikali ina mihimili mitatu, lakini mhimili mmoja una nguvu zaidi. Kiufupi wanaiongoza mahakama wanasikiliza kauli za wanasiasa hata kama wanaingiliwa kazi yao.
Ni Jaji gani anaweza kugomea kauli ya Rais kimahakama?
 
Kumbuka kauli ya Rostam.
Kumbuka kauli ya Magufuli, serikali ina mihimili mitatu, lakini mhimili mmoja una nguvu zaidi. Kiufupi wanaiongoza mahakama wanasikiliza kauli za wanasiasa hata kama wanaingiliwa kazi yao.
Ni Jaji gani anaweza kugomea kauli ya Rais kimahakama?
Miaka hiyo walikuwepi Kina Jaji Mwalusanya. Lugakingira and the like. Tunataka majaji warudi kama wa enzi hizo
 
Back
Top Bottom