Waziri wa Ardhi azuia mchakato wa kutaka kubomoa nyumba zaidi ya 100 zilizopo Mapinga

Waziri wa Ardhi azuia mchakato wa kutaka kubomoa nyumba zaidi ya 100 zilizopo Mapinga

Miaka hiyo walikuwepi Kina Jaji Mwalusanya. Lugakingira and the like. Tunataka majaji warudi kama wa enzi hizo

Ni kweli kabisa.

Lugakingira na Mwalusanya walikuwa kimbilio letu.

Sasa Lugakingira na Mwalusanya wamekufa. Tukakwama tena!

Amekuja Paulo Makonda, amekuja Jerry Slaa. Ndio nikauliza, na Slaa akifa na Makonda akifa itakuaje ??????? Na huyo Mama aliyetoa agizo kwa Waziri, na yeye akifa ?

Mwafrika hapo anakwambia unaleta nuksi, unawachulia wenzio kifo. Mwafrika hawazi kwamba hata Rais anaweza kufa. Hata kama yamemtokea, hajifunzi, kichwa kizito.

Haya, hawafi. Vipi kama ni corrupt? Rais corrupt, anaagiza mema Bagamoyo kujikosha, kuwahadaa wanyonge wasio na elimu, lakini anauza Longido kwa Mwarabu. Tunafanyaje ?

Tujenge mifumo!
 
Na chanzo cha yote haya ni ccm kupitia viongozi wao wa serikali za mitaa!! Kwa imeshakuwa kama sheria kuwa kila ardhi isyopimwa ikiuzwa lazima wapate chao!! Likitokea la kutokea wanakimbia!! Hapo mala nyingi ni busara zaidi ndio hutumika, watu wana miaka 15,hapo na kuna nyumba zaidi ya mia, muda wote huo mlikuwa wapi walipokuwa wakijenga??
Mimi nazani hao hao wenye viwanja ndio hua wa panga mpango na wenyeviti. Kuwatapeli wananchi. Kwaakili yakawaida nyumba aiyoti kama uyoga
 
Waziri piga kazi.mahakama za tz ni uchafu mtupu.zinapendelea watu wenye pesa tu.mahakama zetu uchwara zinanuka rushwa.
 
Watu tunaweza Ku comment kirahisi sana kwa kuwa hatuko kwenye position ya hao watu 100 ambao familia zao zitakosa makazi. Siamini kama hao watu kila mtu alijijia tu akajenga. Ni lazima waliuziwa. May be na matapeli kama ni kweli kiwanja cha huyo alieshinda kesi.
Kibinadamu tu, unawezaje kumbomolea mwenzio nyumba iliyomgharimu mamilioni tena usikute ya mkopo kisa ardhi mali yako. Nafikiri ni vyema serikali ingekaa na pande zote ili waone kila upande unanufaikaje.

Kiukweli Mimi sina hiyo nyumba ila nafeel maumivu wanayopitia hawa watu. Dunia tunapita. Imenikumbusha kipindi watu wanabomolewa kwa kuvamia eneo la yule mama mchungaji, aisee kuna baba anatoka job anakuta vyombo na familia wako nje, nyumba ishaanguka, alianguka na kupoteza fahamu, kuja kuzinduka ni machozi. Mwanaume kulia si jambo dogo. Leo hii mama mchungaji yuko ndani ya ardhi, ardhi na vilivyoko juu yake kaviacha. Kweli ilikuwa ni mali yake, ila asingepungukiwa kuwaachia wale maskini kisehemu tu katika eneo kubwa alilonalo, mbaya zaidi wao walitapeliwa na walikuwa tayari kumlipa vile viwanja.

..jamaa aliyeshinda kesi atafutiwe eneo lingine na serikali ili kuwanusuru hao wavamizi.
 
Kisheria hii imekaaje? Watu wamevamia, wamepelekwa mahakamani na wameshindwa, waziri anakuja kusitisha how?
Busara itumike .. hadi nyumba 100 zinajengwa mwenye ardhi ulikuwa wapi ?
 
Sio sifa we kiazi wananchi 100 sio mchezo hapo ni hesabu ya kaya 100 humo Kuna watoto ndugu na jamaa,wapangaji n.k Kwa hesabu ya haraka zaidi ya wananchi 300+ watakosa makazi kisa huyo hakimu kalamba mlungula kajikalia kwenye kiti anaamuo hovyo hovyo.Hujui uchungu wa ujenzi umejikalia Kwa Shemeji Yako unacoment ujinga hapa.Serikali kama Baba lazima aingilie kati kutafuta suruhu Kwa namna yoyote Ile hata Kwa kuvunja Sheria.Kaya 100 sawa na Kijiji eti mtu mmoja avunje Kijiji kizima kisa eneo ni lake.Katiba inaitambua Kuwa Ardhi ni mali ya Serikali na wananchi ni wapangaji.Go slaa go.
Tena kwa kipindi hiki cha uchaguzi wa serikali za mitaa... Kura moja vs kura 300 .. huyu mama aliyeshinda awe na uchungu basi aingie na huruma nyumba 100 ni nyingi sana .. atazikwa ataacha hiyo ardhi
 
Tena kwa kipindi hiki cha uchaguzi wa serikali za mitaa... Kura moja vs kura 300 .. huyu mama aliyeshinda awe na uchungu basi aingie na huruma nyumba 100 ni nyingi sana .. atazikwa ataacha hiyo ardhi
Umenena vyema Mkuu Kuna member anaitwa ras jeff kapita anapambana na Mimi Kwa matusi tu kisa kumuunga mkono Slaa😄😄Ardhi tutaiacha jamani tuwe na huruma.
 
Hapana mimi ni mume pia nina maslahi ya kuibutuo zero yako kama nilivyoibutua jana
Upo kwenye siku zako wewe au unatafuta mabwana hapa?acha kushobekea wanaume wenzio.Sasa mwambie huyo landlord wako tumepiga stop na hakuna kitu atafanya.
 
Ingekuwa Mimi ndiyo nimeshinda kesi,ningezibomoa halafu nione kifuatacho ITV.

BTW:LHRC huwezi kuwasikia kwenye hili labda angekuw Makonda.
Unakuta mmiliki naye anajua alipitia michakato michafu hivyo amasitasita licha ya kushinda kesi. Nyumba zaidi ya 80 hiyo issue sio mchezo unazungumzia watu 16 (mke na mume watoto excluded) na assume kila nyumba ina mke na mume. Ni serikali ya kijinga tu inaeeza kukaa kimya na isotie neno
 
Unajuwa nazo Mahakama zetu chini ya Jaji Mkuu Prof Ibrahim Juma ziko CORRUPT.

Naamini ni nguvu ya fedha ndiyo imetembea hadi kufikia maamuzi hayo.

Mahakama palikuwa ni mahali pa haki enzi za Nyerere hadi Mkapa kwa kiasi kikubwa. Wakati wa JK kidogo tu ziliyumba.

Lakini alipokuja Mwendazake Mahakama ziligeuka kuwa "kangaroo courts"

Ngoja tutulie tusikie nini kitajiri
Ukweli usemwe....
Mahakama imekuwa kichinjio cha haki kwa baadhi ya kesi kwa miaka mingi tangu enzi za Nyerere.
Mahakama haijawahi kuwa safi kwa 100/%.
 
kibinadamu inahitajika iwe hivyo japo kisheria hana mamalaka. watu mia moja wote wakati wanavamia na kujenga mwekezaji alikuwa wapi? sijui sheria snaa ila tuwe makini sana

Wakuu naombeni kura zenu

Hajatengua hukumu, bali ameahirisha utekelezaji ili wakae waongee waone kama kunaweza kuwa na nusura.
Yeye ni sehemu ya utekelezaji (execution) mahakama haitekelezi, kwa hiyo muwe na subra.
 
Watu tunaweza Ku comment kirahisi sana kwa kuwa hatuko kwenye position ya hao watu 100 ambao familia zao zitakosa makazi. Siamini kama hao watu kila mtu alijijia tu akajenga. Ni lazima waliuziwa. May be na matapeli kama ni kweli kiwanja cha huyo alieshinda kesi.
Kibinadamu tu, unawezaje kumbomolea mwenzio nyumba iliyomgharimu mamilioni tena usikute ya mkopo kisa ardhi mali yako. Nafikiri ni vyema serikali ingekaa na pande zote ili waone kila upande unanufaikaje.

Kiukweli Mimi sina hiyo nyumba ila nafeel maumivu wanayopitia hawa watu. Dunia tunapita. Imenikumbusha kipindi watu wanabomolewa kwa kuvamia eneo la yule mama mchungaji, aisee kuna baba anatoka job anakuta vyombo na familia wako nje, nyumba ishaanguka, alianguka na kupoteza fahamu, kuja kuzinduka ni machozi. Mwanaume kulia si jambo dogo. Leo hii mama mchungaji yuko ndani ya ardhi, ardhi na vilivyoko juu yake kaviacha. Kweli ilikuwa ni mali yake, ila asingepungukiwa kuwaachia wale maskini kisehemu tu katika eneo kubwa alilonalo, mbaya zaidi wao walitapeliwa na walikuwa tayari kumlipa vile viwanja.
Mapinga Bagamoyo ni sehemu yenye utapeli mkubwa sana wa ardhi.

Pata picha umenunua eneo lako na una hati au document zote halali, wanakuja matapeli (Mmoja maarufu kule anaitwa Mwanahamisi) anawauzia watu kitapeli wanajenga.

Wewe ungefanyaje?
 
Kwahiyo waziri amezuia amri ya mahakama?

Mgeni sana wewe mjini, siku hizi hati feki kibao na mnapelekwa mahakamani na mwenye hati feki anashinda kesi sbb ana fedha na mnabomolewa nyumba zenu kwa amri ya mahakama, kumbe ni fedha imetembea na mahakama ina binadamu sio malaika, majaji ni binafamu, hivyo sio kila hukumu ya mahakama imetoa haki sahihi, kuna hukumu nyingine unajua na kushuhudia haki amepewa asiye sahihi sbb ya rushwa tupu, acheni upuuzi, hamjasikia bungeni hadi Waziri Silaa kamtaja yuko Jaji mmoja anashirikiana na matapeli ya ardhi anakina Msama alafu anatoa hukumu kwa kupewa rushwa..!! Na kasema atapeleka jina lake kwa viongozi wa juu ili wamchunguze na Waziri ana ushahidi

So sio kila hukumu imetoa haki, nyingine inabidi Serikali ingalie upya kuona haki iko wapi ili ikibidi rufaa inakatwa ili kesi irudi upya mahakamani.
 
Unajuwa nazo Mahakama zetu chini ya Jaji Mkuu Prof Ibrahim Juma ziko CORRUPT.

Naamini ni nguvu ya fedha ndiyo imetembea hadi kufikia maamuzi hayo.

Mahakama palikuwa ni mahali pa haki enzi za Nyerere hadi Mkapa kwa kiasi kikubwa. Wakati wa JK kidogo tu ziliyumba.

Lakini alipokuja Mwendazake Mahakama ziligeuka kuwa "kangaroo courts"

Ngoja tutulie tusikie nini kitajiri
Lakini bado waziri hana mamlaka ya kuingilia uamuzi wa Mahakama....
Sheria ni msumeno.
 
Mgeni sana wewe mjini, siku hizi hati feki kibao na mnapelekwa mahakamani na mwenye hati feki anashinda kesi sbb ana fedha na mnabomolewa nyumba zenu kwa amri ya mahakama, kumbe ni fedha imetembea na mahakama ina binadamu sio malaika, majaji ni binafamu, hivyo sio kila hukumu ya mahakama imetoa haki sahihi, kuna hukumu nyingine unajua na kushuhudia haki amepewa asiye sahihi sbb ya rushwa tupu, acheni upuuzi, hamjasikia bungeni hadi Waziri Silaa kamtaja yuko Jaji mmoja anashirikiana na matapeli ya ardhi anakina Msama alafu anatoa hukumu kwa kupewa rushwa..!! Na kasema atapeleka jina lake kwa viongozi wa juu ili wamchunguze na Waziri ana ushahidi

So sio kila hukumu imetoa haki, nyingine inabidi Serikali ingalie upya kuona haki iko wapi ili ikibidi rufaa inakatwa ili kesi irudi upya mahakamani.
Hatakama Kuwe na Rushwa ama lah, Waziri hana mamlaka ya kuingia hukumu ya mahakama....
 
Hajatengua hukumu, bali ameahirisha utekelezaji ili wakae waongee waone kama kunaweza kuwa na nusura.
Yeye ni sehemu ya utekelezaji (execution) mahakama haitekelezi, kwa hiyo muwe na subra.
Wakae waongee kwa mamlaka ipi wakati uamuzi ulishatolewa.....🤣🤣🤣
Kwahyo ili aje na uamuzi mwingine...
 
Back
Top Bottom