Tindikali
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 2,086
- 2,823
Miaka hiyo walikuwepi Kina Jaji Mwalusanya. Lugakingira and the like. Tunataka majaji warudi kama wa enzi hizo
Ni kweli kabisa.
Lugakingira na Mwalusanya walikuwa kimbilio letu.
Sasa Lugakingira na Mwalusanya wamekufa. Tukakwama tena!
Amekuja Paulo Makonda, amekuja Jerry Slaa. Ndio nikauliza, na Slaa akifa na Makonda akifa itakuaje ??????? Na huyo Mama aliyetoa agizo kwa Waziri, na yeye akifa ?
Mwafrika hapo anakwambia unaleta nuksi, unawachulia wenzio kifo. Mwafrika hawazi kwamba hata Rais anaweza kufa. Hata kama yamemtokea, hajifunzi, kichwa kizito.
Haya, hawafi. Vipi kama ni corrupt? Rais corrupt, anaagiza mema Bagamoyo kujikosha, kuwahadaa wanyonge wasio na elimu, lakini anauza Longido kwa Mwarabu. Tunafanyaje ?
Tujenge mifumo!