Waziri wa Ardhi azuia mchakato wa kutaka kubomoa nyumba zaidi ya 100 zilizopo Mapinga

Katiba inasema ardhi ni mali ya serikali, mwananchi ni mpangaji tu, waziri ndiye mwenye dhamana ya ardhi, hapo unaonaje? Ahakikishe kuwa hapakuwa na hata chembe ya rushwa.
Kwanza katiba inasema ardhi ni mali ya umma
Na katiba inasema : Mahakama ni moja ya mhimili wa umma, haitakiwi iingiliwe kwenye uamuzi wake....
Kama mtu hajaridhika na maamuzi ni akakate rufaa katika mahakama ya Juu...

Kuchunguza rushes mahakamani siyo kazi ya Waziri.
 
Unaweza ona huruma...
Ila kama walivamia eneo la mtu ,sheria ifuatwe.....

Tatizo ndani ya hii nchi ,watu tunadhani tunaweza jenga kila sehemu, mwishowe haya ndiyo yanatukuta.
 
Mimi nazani hao hao wenye viwanja ndio hua wa panga mpango na wenyeviti. Kuwatapeli wananchi. Kwaakili yakawaida nyumba aiyoti kama uyoga
Kuna mazingira una kuta hata mwenye kiwanja hajui, kinachoendelea labda yupo mbali, anakuja tapeli anakiuza hicho kiwanja, tena anapata back up ya uongozi wa eneo kuwa ndio mwenye kiwanja halisi na wanaandika hati!! Unajenga maisha yanaendelea, ndipo anaibuka mwenye mali halisi!! Mwenye kiwanja akikiuza kiwanja mala mbili ni rahisi ku deal naye, kuliko unapouziwa na tapeli
 
Ni sawa ila kuna mazingira mengine lazima busara lazima itumike!! Wewe una eneo lako, umeliacha watu wamejenga hadi nyumba zimefikia 500,watu wanaishi, ndipo unakuja kuibuka kuwa eneo ni lako, na kweli kisheria ni lako lakini hawa watu wote wakati wanajenga ulikuwa wapi??! Kinachofanyika ni hao watu kukulipa kulingana na kila mmoja na ukubwa wa kiwanja chake, tu.
 
Wakae waongee kwa mamlaka ipi wakati uamuzi ulishatolewa.....🤣🤣🤣
Kwahyo ili aje na uamuzi mwingine...
Hukumu inaweza kutolewa na watu wakaongea na kutengeneza settlement deed/deed of settlement. Ikakubaliwa na mahakama na ikawa registered.
Bila kutumia waziri au mjumbe wa nyumba kumi, just lawyers to draft it.
Hujui hilo?
 
Hajatengua hukumu, bali ameahirisha utekelezaji ili wakae waongee waone kama kunaweza kuwa na nusura.
Yeye ni sehemu ya utekelezaji (execution) mahakama haitekelezi, kwa hiyo muwe na subra.
kisheria naruhusiwa kufanya hivyo? lakini hapo inaonekana yeye sio mtekelezaji wka sababu sio mvamizi
 
kisheria naruhusiwa kufanya hivyo? lakini hapo inaonekana yeye sio mtekelezaji wka sababu sio mvamizi
Waziri = wizara= Rais = Executive ( vrb. Execution).
Unaruhusiwa mradi wote muwe watu wazima wenye akili timamu bila shuruti. Hukumu ni kwamba inakupa upperhand ili mtu mbishi akitaka aje kukupigia magoti na wewe ukikubali basi hamna noma.
 
Waziri = wizara= Rais = Executive ( vrb. Execution).
Unaruhusiwa mradi wote muwe watu wazima wenye akili timamu bila shuruti. Hukumu ni kwamba inakupa upperhand ili mtu mbishi akitaka aje kukupigia magoti na wewe ukikubali basi hamna noma.
Sijaelewa vizuri mkuu ina maana hao uliowataja wapo juu ya sheria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…