Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 278
- 255
Du!Hiki ndicho alichokimaanisha mkuu wa mkoa wa dodoma.
Huyu ni mtoto wa waziri wa tamisemi anayesimamia elimu ngazi ya msingi na sekondari na hapa akiwa amevalia uniform ya international school. Inshort hata waziri hana imani na shule za serikali unafikiri ndio atakuwa na uchungu na mwanao anayesoma shule ya kata?
View attachment 1852747
I stand with Antony mtaka!
Jamii ikaelimika tutawatoa tu hakuna namna, hata sahivi hawaongozi kwa amani kama miaka 20 iliyopita wana pressure sn... hiyo ndio inaitwa the ruling class Chief! Kuiondoa ili kurudisha madaraka kwa wananchi sio lelemama! Shida zaidi ni mbumbumbu waliotengenezwa makusudi "kuiabudu" the ruling class.
Mie nimeamua biashara nafanyia kwenye gari tu 😆😆😆 na meza! Haya mambo ya fremu hapana hayafai kwa uchumi huu wa solidarity TaxSikatai mkuu tuna bambikwa kodi huku balaa mara unalazimishwa VAT huku mtaji wa kuunga unga
Mkuu Yule jamaa ambaye ameshaenda zake kuna waziri katika Serikali yake angeweza kuwa na msuli wa Kumbishia ?... alivyokubali kuandika "historia mpya" ya Tanzania anayoijua yeye na aliyemtuma nilimdharau mazima. Ingekuwa ni issue ya maana asingeruhusu mchakato ufutwe baadaye. Hii inaonesha ni mtu asiye na msimamo na asiyesimamia taaluma badala yake ni fuata upepo mradi madaraka yapo! Halafu utasikia wakipayuka majukwaani "vijana mkajiajiri" wakati wao wanalilia 70+.
Manispaa watatunga sheria ndogo watakubana hakuna namna ni suala la muda mkuuMie nimeamua biashara nafanyia kwenye gari tu 😆😆😆 na meza! Haya mambo ya fremu hapana hayafai kwa uchumi huu wa solidarity Tax
... basi leo wasimame hadharani waseme walitishwa tutawasamehe kinyume chake ndio hao hao wanaendekeza upumbavu wa legacy; tuwaeleweje? Mbona Dr. Diallo kaeleza yake na waTz wamemwelewa vizuri sana?Mkuu Yule jamaa ambaye ameshaenda zake kuna waziri katika Serikali yake angeweza kuwa na msuli wa Kumbishia ?
Kweli Tanzania ni nchi ya ajabu kama ulivyosema ndio maana huelewi kuwa hata shule za binafsi za english medium zinasimamiwa na wizara ya elimu! Pia unaelezea watoto wa Ndalichako kusoma hizo shule za english medium kwa kudhania tu bila kuwa na uhakika ana watoto wangapi na wanasoma shule zipi lakini umeandika uzushi kuwaaminisha watu kitu usichokifahamu. Tatu unazungumzia enzi ya Nyerere miaka ya sitini, sabini na themanini wakati hakukuwepo hizo shule unazoziita english medium.Heshima sana wanajamvi,
Tanzania pengine ni nchi pekee duniani yenye maajabu yasiyoweza kulinganisha au kufananishwa na nchi nyingine.
Ni jambo la ajabu waziri wa elimu msimamizi wa elimu yenu na mustakabali wetu wa siku zijazo.Waziri wetu huyu watoto wake hawasomi katika shule za umma,wapo katika zile shule zetu "english medium" binafsi. Ikiwa Waziri hana imani na shule zetu za Kata au ukipenda St Kayumba na wakati huo huo yeye ni msimamizi na mwangalizi au ukipenda mlezi mkuu hapeleki watoto wake huko maana yake nini ?.
Mwl Nyerere watoto wake walisoma Tabora,Bunge,Tambaza. Waziri wake wa Elimu aliyajua matatizo yote ya elimu kwakuwa hata watoto wao walisoma shule hizo hizo.Watoto wake walikwenda JKT,walipigana vita vya Uganda hapakuwepo ubaguzi wa aina yoyote kama tunavyoona leo.
Ifike mahali uzalendo usisitizwe katika nyanja kama hizi,ukibahatika kupata nafasi ya kuongoza wizara ya Viwanda basi wewe kama Waziri lazima uonyeshe mfano wa kununua bidhaa za Tanzania mfano thamani za maofisini,nguo. Ukibahatika kuongoza Wizara ya Elimu lazima watoto wako wasome shule za kata wakutane na changamoto za ukosefu wa waalimu,vitabu madarasa,matundu ya choo na nk.Hii itasaidia Wizara kupanga mipango ambayo italenga kuondoa kero zote zinazozikumba shule za umma.
Ni aibu kwa jamii iliyostaharabika kuhubiri jambo ambalo kwa hakika wewe mwenyewe huliamini unalitilia shaka,unalionea aibu,hulipendi hauko tayari jamii yako ya karibu kwa maana ya watoto wako wasilishiriki.
Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.
Mzee... Naona umewaamulia leo[emoji23][emoji23]... Punch after punchHii nchi itaendelea kuwepo tu na watu wenye madaraka wataendele kumenya tu!
Kwa hali ilivyo ngumu halafu mtu anashabika elimu wakati hela hana kmmmk inashangaza sana! Maskini mnapigwa tag ya uzalendo na kulipishwa kodi wao wanabunya tu na kutembelea ma V8 yale!
Solidarity Tax ndio italeta maendeleo wananchi tukaze mkanda tujenge madarasa na kuweka miundombinu ya umeme na maji [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah niko slim ka ShadyMzee... Naona umewaamulia leo[emoji23][emoji23]... Punch after punch
Mtanzania yeyote mwenye pesa lazima atampeleka mwanae/ wanae shule za private ( english medium) hata wewe unayelialia humu ni kwa sababu huna hela vinginevyo wanao umgewasomesha private.Mawaziri wote wanatakiwa watoto wao wasome shule za umma
Tuanze na Mtaka atuambie watoto wake wanasoma shule za wapi na nchi ganiHeshima sana wanajamvi,
Tanzania pengine ni nchi pekee duniani yenye maajabu yasiyoweza kulinganisha au kufananishwa na nchi nyingine.
Ni jambo la ajabu waziri wa elimu msimamizi wa elimu yenu na mustakabali wetu wa siku zijazo.Waziri wetu huyu watoto wake hawasomi katika shule za umma,wapo katika zile shule zetu "english medium" binafsi. Ikiwa Waziri hana imani na shule zetu za Kata au ukipenda St Kayumba na wakati huo huo yeye ni msimamizi na mwangalizi au ukipenda mlezi mkuu hapeleki watoto wake huko maana yake nini ?.
Mwl Nyerere watoto wake walisoma Tabora,Bunge,Tambaza. Waziri wake wa Elimu aliyajua matatizo yote ya elimu kwakuwa hata watoto wao walisoma shule hizo hizo.Watoto wake walikwenda JKT,walipigana vita vya Uganda hapakuwepo ubaguzi wa aina yoyote kama tunavyoona leo.
Ifike mahali uzalendo usisitizwe katika nyanja kama hizi,ukibahatika kupata nafasi ya kuongoza wizara ya Viwanda basi wewe kama Waziri lazima uonyeshe mfano wa kununua bidhaa za Tanzania mfano thamani za maofisini,nguo. Ukibahatika kuongoza Wizara ya Elimu lazima watoto wako wasome shule za kata wakutane na changamoto za ukosefu wa waalimu,vitabu madarasa,matundu ya choo na nk.Hii itasaidia Wizara kupanga mipango ambayo italenga kuondoa kero zote zinazozikumba shule za umma.
Ni aibu kwa jamii iliyostaharabika kuhubiri jambo ambalo kwa hakika wewe mwenyewe huliamini unalitilia shaka,unalionea aibu,hulipendi hauko tayari jamii yako ya karibu kwa maana ya watoto wako wasilishiriki.
Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.
Hili lingewekwa kwenye katiba ama kigezo cha uongozi uone kama watu watakimbilia huko walikoMawaziri wote wanatakiwa watoto wao wasome shule za umma
Acha ukasuku tutajie mtoto wa Waziri anayesoma nje ya nchi au kwenye english medium.Heshima sana wanajamvi,
Tanzania pengine ni nchi pekee duniani yenye maajabu yasiyoweza kulinganisha au kufananishwa na nchi nyingine.
Ni jambo la ajabu waziri wa elimu msimamizi wa elimu yenu na mustakabali wetu wa siku zijazo.Waziri wetu huyu watoto wake hawasomi katika shule za umma,wapo katika zile shule zetu "english medium" binafsi. Ikiwa Waziri hana imani na shule zetu za Kata au ukipenda St Kayumba na wakati huo huo yeye ni msimamizi na mwangalizi au ukipenda mlezi mkuu hapeleki watoto wake huko maana yake nini ?.
Mwl Nyerere watoto wake walisoma Tabora,Bunge,Tambaza. Waziri wake wa Elimu aliyajua matatizo yote ya elimu kwakuwa hata watoto wao walisoma shule hizo hizo.Watoto wake walikwenda JKT,walipigana vita vya Uganda hapakuwepo ubaguzi wa aina yoyote kama tunavyoona leo.
Ifike mahali uzalendo usisitizwe katika nyanja kama hizi,ukibahatika kupata nafasi ya kuongoza wizara ya Viwanda basi wewe kama Waziri lazima uonyeshe mfano wa kununua bidhaa za Tanzania mfano thamani za maofisini,nguo. Ukibahatika kuongoza Wizara ya Elimu lazima watoto wako wasome shule za kata wakutane na changamoto za ukosefu wa waalimu,vitabu madarasa,matundu ya choo na nk.Hii itasaidia Wizara kupanga mipango ambayo italenga kuondoa kero zote zinazozikumba shule za umma.
Ni aibu kwa jamii iliyostaharabika kuhubiri jambo ambalo kwa hakika wewe mwenyewe huliamini unalitilia shaka,unalionea aibu,hulipendi hauko tayari jamii yako ya karibu kwa maana ya watoto wako wasilishiriki.
Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.
Kwani watoto wa Mataka wanasoma wapi?Heshima sana wanajamvi,
Tanzania pengine ni nchi pekee duniani yenye maajabu yasiyoweza kulinganisha au kufananishwa na nchi nyingine.
Ni jambo la ajabu waziri wa elimu msimamizi wa elimu yenu na mustakabali wetu wa siku zijazo.Waziri wetu huyu watoto wake hawasomi katika shule za umma,wapo katika zile shule zetu "english medium" binafsi. Ikiwa Waziri hana imani na shule zetu za Kata au ukipenda St Kayumba na wakati huo huo yeye ni msimamizi na mwangalizi au ukipenda mlezi mkuu hapeleki watoto wake huko maana yake nini ?.
Mwl Nyerere watoto wake walisoma Tabora,Bunge,Tambaza. Waziri wake wa Elimu aliyajua matatizo yote ya elimu kwakuwa hata watoto wao walisoma shule hizo hizo.Watoto wake walikwenda JKT,walipigana vita vya Uganda hapakuwepo ubaguzi wa aina yoyote kama tunavyoona leo.
Ifike mahali uzalendo usisitizwe katika nyanja kama hizi,ukibahatika kupata nafasi ya kuongoza wizara ya Viwanda basi wewe kama Waziri lazima uonyeshe mfano wa kununua bidhaa za Tanzania mfano thamani za maofisini,nguo. Ukibahatika kuongoza Wizara ya Elimu lazima watoto wako wasome shule za kata wakutane na changamoto za ukosefu wa waalimu,vitabu madarasa,matundu ya choo na nk.Hii itasaidia Wizara kupanga mipango ambayo italenga kuondoa kero zote zinazozikumba shule za umma.
Ni aibu kwa jamii iliyostaharabika kuhubiri jambo ambalo kwa hakika wewe mwenyewe huliamini unalitilia shaka,unalionea aibu,hulipendi hauko tayari jamii yako ya karibu kwa maana ya watoto wako wasilishiriki.
Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.
Unataka kuwalipia ada?Tuanze na Mtaka atuambie watoto wake wanasoma shule za wapi na nchi gani
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Nalo nenoTuanze na Mtaka atuambie watoto wake wanasoma shule za wapi na nchi gani
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app