Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #21
Kuna mtu kasema kama madawati tu shule nyingine hazina, ndiyo sehemu ya kuacha hayo madaftari itakuwepo??Kwann wasiache mikoba shule?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu kasema kama madawati tu shule nyingine hazina, ndiyo sehemu ya kuacha hayo madaftari itakuwepo??Kwann wasiache mikoba shule?
Huyo ndo ana elimu kichwaniComments nyingi zimelaumu ila wewe umetoa na njia moja wapo ya namna ya kurekebisha.
Bas wachukue daftari husika...mbona daftari 6 si nyingi?Kuna mtu kasema kama madawati tu shule nyingine hazina, ndiyo sehemu ya kuacha hayo madaftari itakuwepo??
Ndiyo hoja ya mada. Lakini inasemwa waalimu huwa hawafuati Ratiba za masomo shuleni.Bas wachukue daftari husika...mbona daftari 6 si nyingi?
Hata wafuate wasifuate daftari hazizidi kumiNdiyo hoja ya mada. Rakini inasemwa waalimu huwa hawafuati Ratiba za masomo shuleni.
Suluhisho lake ni lipi?Hiii Tabia ya kubeba madaftari siipendi
Fanya uchunguzi utagundua zinazidi hizo pamoja na "Notes" , vitabu vya kiada na rejea na vyote wanafunzi hulazimishwa kuwa navyo wakati wote.Hata wafuate wasifuate daftari hazizidi kumi
Na utakuta ni counter booksFanya uchunguzi utagundua zinazidi hizo pamoja na "Notes" , vitabu vya kiada na rejea na vyote wanafunzi hulazimishwa kuwa navyo wakati wote.
Hapo No3 si kweli,Elimu ya siku hizi imekua ya hovyo.... mambo yasiyo na mantiki ni mengi
1. Hilo ulilosema, watoto kubeba madaftari kama makuli
2. Watoto kulazimishwa kukaa boarding umri mdogo.
3. Kufutwa kwa masomo ya stadi za kazi na michezo.
Tunazalisha watoto wajinga, wakati ulimwengu huu wa fujo na teknolojia, malezi inabidi yatiliwe mkazo na ubunifu mwingi kuliko sisi vijana wa early 90s tulivyolelewa
Hii ya locker, japo ni wazo zuri, lakini ni vigumu kutekelezeka kutokana na baadhi madarasa kuwa na wanafunzi wengi na miundombinu haitoshelezi. Kwa shule za miji mikubwa unaweza kuta darasa moja lina wanafunzi 100.Nadhani tuliowengi humu tumesoma St.Kayumba na tunafahamu kuwa walimu ni nadra sana kufuata ratiba ya darasa mathalani unakuta mwalimu wa somo la siku husika hajafika shule hivyo itampasa mwalimu/walimu waliopo waje kuwafundisha darasani ili mradi tu isipite siku bila kufundishwa angalau somo lolote lile.
My take kwa wizara wangetengeneza LOCKER kama wenzetu Ulaya na kila mwanafunzi angekuwa na locker yake itakayoweza kuwa maalamu kwakuhifadhi vitabu na vitu vingine vya mwanafunzi.
Namba mbili ni wazazi wenyewe kujitakiaElimu ya siku hizi imekua ya hovyo.... mambo yasiyo na mantiki ni mengi
1. Hilo ulilosema, watoto kubeba madaftari kama makuli
2. Watoto kulazimishwa kukaa boarding umri mdogo.
3. Kufutwa kwa masomo ya stadi za kazi na michezo.
Tunazalisha watoto wajinga, wakati ulimwengu huu wa fujo na teknolojia, malezi inabidi yatiliwe mkazo na ubunifu mwingi kuliko sisi vijana wa early 90s tulivyolelewa
Mtoto miaka mi3 ushampeleka shuleNamba mbili ni wazazi wenyewe kujitakia
Tena "Quire 2" au "Quire 3" ambayo ya kwanza ina kurasa 192 na hiyo ya pili ina kurasa 288. Kama ziko kumi ni kati ya kilo 2 mpaka 3.Na utakuta ni counter books
Hadi nimechekaTena "Quire 2" au "Quire 3" ambayo ya kwanza ina kurasa 192 na hiyo ya pili ina kurasa 288. Kama ziko kumi ni kati ya kilo 2 mpaka 3.
Basi ni baadhi ya shule... sababu la saba wengi waliohitimu binafsi nnaowaona kitaa hawana any special skill waliyojifunza shuleHapo No3 si kweli,
Somo la stadi za kazi lipo.
Kuna mdau mdau @ Chief wingia kashauri vizuri shule ziwe na kabati za kuhifadhi madaftari kumpunguzia mtoto mzigo,japo ni masomo sita tu ndio yanafundishwa kwa madarasa ya tatu hadi la saba.
Ina maana walimu nchi nzima hawafati ratibaNadhani tuliowengi humu tumesoma St.Kayumba na tunafahamu kuwa walimu ni nadra sana kufuata ratiba ya darasa mathalani unakuta mwalimu wa somo la siku husika hajafika shule hivyo itampasa mwalimu/walimu waliopo waje kuwafundisha darasani ili mradi tu isipite siku bila kufundishwa angalau somo lolote lile.
My take kwa wizara wangetengeneza LOCKER kama wenzetu Ulaya na kila mwanafunzi angekuwa na locker yake itakayoweza kuwa maalamu kwakuhifadhi vitabu na vitu vingine vya mwanafunzi.
Wazazi wa siku hizi wanadhani shule nayo ni mzazi. Kumbe Mwalimu hata awe mzuri vipi hawezi kuchukua nafasi ya mzazi.Mtoto miaka mi3 ushampeleka shule
Wamwachie mlizi😂Kwann wasiache mikoba shule?
Somo kuwepo na kufundishwa ni mambo mawili tofauti. Jee maudhui ya somo lenyewe yanalingana na lengo la kumfanya mtoto awe anajitegemea na siyo tegemezi wa stadi.Basi ni baadhi ya shule... sababu la saba wengi waliohitimu binafsi nnaowaona kitaa hawana any special skill waliyojifunza shule