Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 651
- 1,244
Wala sio kujitakia.... kuna watu wapo karibu na shule nzuri zote wana huo mfumo (binafsi nna machaguo so sio ishu hata mwanangu akifika la saba wala hatoenda boarding ntatafuta tu utaratibu muda ukifika).Namba mbili ni wazazi wenyewe kujitakia
Kuna vitu huwa vinaanza kwa shule chache then wengine wanaiga, vitu vingine ni wizara ya elimu kuingilia kati isiwe lazima. Mzazi anaetaka mwanae akae boarding ampeleke na sisi tusiotaka tukae nao nyumbani.
Kulazimisha watoto wa primary wakae boarding ni unyanyasaji kwakweli na inachochea kulea taifa la watoto wajinga wasiovalue makuzi ya familia in the future