WAZIRI WA ELIMU & OR-TAMISEMI; Tunaomba Elimu iongozwe na viongozi wenye Elimu kubwa kuanzia Mwalimu mkuu hadi mkuu wa shule Ila Afisa Elimu iwe PhD.

WAZIRI WA ELIMU & OR-TAMISEMI; Tunaomba Elimu iongozwe na viongozi wenye Elimu kubwa kuanzia Mwalimu mkuu hadi mkuu wa shule Ila Afisa Elimu iwe PhD.

Kikwava

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
1,741
Reaction score
1,068
Hili ni pendekezo langu kwenye Dira mpya ya Taifa.

Ninashauri viongozi wa idara na taasisi za Elimu nchini wawe na Elimu kubwa.

Mfano; unaweza kuta mwalimu anayefundisha ana PhD Ila anaongozwa na mtu mwenye degree au

Mwalimu mkuu ana diploma Ila anamuongoza Mwalimu mwenye degree hii haileti taswira nzuri kwa staff na kwa idara nyeti Kama ya Elimu.

Pia viongozi wa Elimu kuanzia ngazi ya Halmashauri mpaka mkoani wawe ni wale wenye PhD.

Nimatumaini yangu kuwa viongozi wa juu wa Elimu watalizingatia hili kwa ustawi wa maendeleo ya Elimu yetu.

Elimu za viongozi wa Idara ya Elimu zikiwa kubwa zitapunguza siasa ndani ya Elimu na taasisi zake.


KAZI IENDELEE
 
Hili ni pendekezo langu kwenye Dira mpya ya Taifa.

Ninashauri viongozi wa idara na taasisi za Elimu nchini wawe na Elimu kubwa.

Mfano; unaweza kuta mwalimu anayefundisha ana PhD Ila anaongozwa na mtu mwenye degree au

Mwalimu mkuu ana diploma Ila anamuongoza Mwalimu mwenye degree hii haileti taswira nzuri kwa staff na kwa idara nyeti Kama ya Elimu.

Pia viongozi wa Elimu kuanzia ngazi ya Halmashauri mpaka mkoani wawe ni wale wenye PhD.

Nimatumaini yangu kuwa viongozi wa juu wa Elimu watalizingatia hili kwa ustawi wa maendeleo ya Elimu yetu.


KAZI IENDELEE
halafu utawalipa nini
 
Haya ndiyo yatakuwa Mapinduzi makubwa kwenye wizara ya ELIMU, nadhani hili likifanyika heshima ya ualimu itarudi kwa kasi Sana pale wanaposikia kuwa maafisa Elimu wote wawe na PhD, walimu wakuu na wakuu wa shule wawe na Master degree,
watu wataona kweli Sasa wizara ya ELIMU imejaa wasomi hii itapunguza siasa ndani ya Elimu Sasa diwani ana degree na mkuu wa shule anadegree hyohyo🤣
Kwasababu unaweza kuona Mkuu wa shule anadegree Ila nusu ya staff wanamasters🤣
 
Haya ndiyo yatakuwa Mapinduzi makubwa kwenye wizara ya ELIMU, nadhani hili likifanyika heshima ya ualimu itarudi kwa kasi Sana pale wanaposikia kuwa maafisa Elimu wote wawe na PhD, walimu wakuu na wakuu wa shule wawe na Master degree,
watu wataona kweli Sasa wizara ya ELIMU imejaa wasomi hii itapunguza siasa ndani ya Elimu Sasa diwani ana degree na mkuu wa shule anadegree hyohyo🤣
Kwasababu unaweza kuona Mkuu wa shule anadegree Ila nusu ya staff wanamasters🤣
Kabisa!
Eti diwani ana degree halafu mwalimu mkuu ana diploma🤣🤣
Elimi inanguvu Sana katika jamii hasa kwenye kufanya maamuzi, wanasema Elimu kubwa ni dawa
 
Haya ndiyo yatakuwa Mapinduzi makubwa kwenye wizara ya ELIMU, nadhani hili likifanyika heshima ya ualimu itarudi kwa kasi Sana pale wanaposikia kuwa maafisa Elimu wote wawe na PhD, walimu wakuu na wakuu wa shule wawe na Master degree,
watu wataona kweli Sasa wizara ya ELIMU imejaa wasomi hii itapunguza siasa ndani ya Elimu Sasa diwani ana degree na mkuu wa shule anadegree hyohyo🤣
Kwasababu unaweza kuona Mkuu wa shule anadegree Ila nusu ya staff wanamasters🤣
Mishahara mikubwa na marupurupu ndiyo huleta heshina ya Kara yoyote ya kiutumishi. Na ndiyo huongeza ushindani wa elimu.
 
Mishahara mikubwa na marupurupu ndiyo huleta heshina ya Kara yoyote ya kiutumishi. Na ndiyo huongeza ushindani wa elimu.
Imagine katika kata diwani anadegree halafu walimu wakuu wote wanadiploma ww unafkr hawa walimu watafanya kazi kwa Uhuru? Ww unafkr Kama ikitokea viongozi wa Elimu wote Wana Elimu kuanzia Masters/PhD siasa itaingia kwenye Elimu? Madiwani watawasumbua walimu wakuu Kama wafanyavyo Sasa kwenye baadhi ya kata?
 
Ili pembetatu iende vizuri inabidi
1.Mkuu msingi awe na certifiaate
2.mkuu sekondari awe na diploma.
3.mratibu awe na degree moja
4.mafisa elimu(taaluma,vifaa nk) wawe na masta
5.bosi( afisa elimu wilaya) awe na phd
6.mkoani wakae ma_associate prof
7. Wazir awe pure prof
 
Back
Top Bottom