Waziri wa Elimu: Shule zinazoongoza kwa ufaulu za binafsi haziruhusu mikutano ya wazazi

Waziri wa Elimu: Shule zinazoongoza kwa ufaulu za binafsi haziruhusu mikutano ya wazazi

Kwan mkuu si umuhamishe ?
Naonaga ni utaratibu wa ajabu wa baadhi ya watu, umekuta shule inafaulisha, unawapa mtoto, then unataka ubadili sheria zao,

Peleka mtoto, kama unaona hutak mtoto wako awahi kuamka sepeshe mtoto wako, pesa yako kwanin uteseke, huko kusoma sana ndio kunawatofautisha na hao unao ona hawafaulu sana
 
Back
Top Bottom