KERO Waziri wa Elimu, tunaomba msaada wako. Shule binafsi bweni hawataki tuone watoto

KERO Waziri wa Elimu, tunaomba msaada wako. Shule binafsi bweni hawataki tuone watoto

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Lambardi

Platinum Member
Joined
Feb 7, 2008
Posts
18,813
Reaction score
21,830
Salaam na heshima kwako Mh Waziri Elimu Prof Mkenda.

Awali ya yote nawapa pongezi sana kwa jitihada zenu kuboresha elimu tangu msingi hadi sekondari..hongera sana awamu hii pongezi kwa Mama Samia.

Wazazi tuna malalamiko hasa kwa shule binafsi za bweni shulw msingi na sekondari....kwa nini hawataki na wamefuta utaratibu kutembelea watoto mwisho mwezi ? Kwa kitu gani wanachosoma iwe hakuna ruhusa kuona watoto kujua afya zao na maendeleo yao ?

Naomba Mh Waziri ingilia kati suala hili tumeongea na shule binafsi bila mafanikio naona kila shule wanajiamulia tu, ni haki ya wazazi kuwaona watoto wao mwisho mwezi hata masaa machache.

Asante nakutakia kazi njema
MZAZI
 
Salaam na heshima kwako Mh Waziri Elimu Prof Mkenda.

Awali ya yote nawapa pongezi sana kwa jitihada zenu kuboresha elimu tangu msingi hadi sekondari..hongera sana awamu hii pongezi kwa Mama Samia.
Wazazi tuna malalamiko hasa kwa shule binafsi za bweni shulw msingi na sekondari....kwa nini hawataki na wamefuta utaratibu kutembelea watoto mwisho mwezi ? Kwa kitu gani wanachosoma iwe hakuna ruhusa kuona watoto kujua afya zao na maendeleo yao ?

Naomba Mh Waziri ingilia kati suala hili tumeongea na shule binafsi bila mafanikio naona kila shule wanajiamulia tu...ni haki ya wazazi kuwaona watoto wao mwisho mwezi hata masaa machache.

Asante nakutakia kazi njema
MZAZI
mtoe mtoto wako kabla hajaharibiwa
 
Waziri aingilie kati vipi wakati umeshasema ni shule binafsi? Kila shule ina utaratibu wake, unadhani wakiruhusu hivyo kila mzazi kumtembelea mtoto wake anavyo jisikia kutakuwa na shule tena hapo? Na vipi kuhusu yule mtoto ambaye hato tembelewa huoni kwamba atakuwa anajisikia unyonge? Kama kuna tatizo hasa wasiliana na uongozi watakujuza maendeleo ya mtoto wako, ila ukiona umeshindwa huo utaratibu unaweza kumhamisha mtoto wako bila kusumbua watu wengine.
 
Waziri aingilie kati vipi wakati umeshasema ni shule binafsi? Kila shule ina utaratibu wake, unadhani wakiruhusu hivyo kila mzazi kumtembelea mtoto wake anavyo jisikia kutakuwa na shule tena hapo? Na vipi kuhusu yule mtoto ambaye hato tembelewa huoni kwamba atakuwa anajisikia unyonge? Kama kuna tatizo hasa wasiliana na uongozi watakujuza maendeleo ya mtoto wako, ila ukiona umeshindwa huo utaratibu unaweza kumhamisha mtoto wako bila kusumbua watu wengine.
Kwamba haujui taasisi zote za elimu zipo chini ya uangalizi wa serikali/wizara?You're a trouble maker!Ngoja aje monta/monitor wa darasa.
 
Wanakomaa sanaa eti darasa zima iwe Div 1 chiniya 9.....so what...biasharazao wanatesa watoto kisaikolojia
Mtoto yupo sekondari unataka kumuona kila mwezi?
Kama ni primary nakuunga mkono lakini wa sekondari mkubwa huyo umuone kila mwezi ili iweje?
Labda kuwe na dharara. Na baadho ya shule huwa kuna siku maalum ya visiting. Ila sio kila mwezi
 
Waziri aingilie kati vipi wakati umeshasema ni shule binafsi? Kila shule ina utaratibu wake, unadhani wakiruhusu hivyo kila mzazi kumtembelea mtoto wake anavyo jisikia kutakuwa na shule tena hapo? Na vipi kuhusu yule mtoto ambaye hato tembelewa huoni kwamba atakuwa anajisikia unyonge? Kama kuna tatizo hasa wasiliana na uongozi watakujuza maendeleo ya mtoto wako, ila ukiona umeshindwa huo utaratibu unaweza kumhamisha mtoto wako bila kusumbua watu wengine.
bila shaka huyu ni mkuu wa shule..ahasante kwa kumpatia majibu.
 
Mtoto yupo sekondari unataka kumuona kila mwezi?
Kama ni primary nakuunga mkono lakini wa sekondari mkubwa huyo umuone kila mwezi ili iweje?
Labda kuwe na dharara. Na baadho ya shule huwa kuna siku maalum ya visiting. Ila sio kila mwezi
.....hadi tumefikia kusema hayo tumeona mengi sana...kuna mzazi mwenzetu nusura apoteze mtoto kisa ameugua wakampeleka dispensary jirani na shule wakamuacha anatibiwa hapo....siku 6 mtoto amekaa mwenyewe hospital bila wazazi kujua .....msg ikaja ya bill mtoto akiwa anapewa rufaa ....mzazi anastuka anaenda shule mtoto hayupo.....amepewa tena rufaa....kwa nini hawatoi taarifa ? Kosa kutowaona kabisa kama jela au wapi !!
 
Salaam na heshima kwako Mh Waziri Elimu Prof Mkenda.

Awali ya yote nawapa pongezi sana kwa jitihada zenu kuboresha elimu tangu msingi hadi sekondari..hongera sana awamu hii pongezi kwa Mama Samia.
Wazazi tuna malalamiko hasa kwa shule binafsi za bweni shulw msingi na sekondari....kwa nini hawataki na wamefuta utaratibu kutembelea watoto mwisho mwezi ? Kwa kitu gani wanachosoma iwe hakuna ruhusa kuona watoto kujua afya zao na maendeleo yao ?

Naomba Mh Waziri ingilia kati suala hili tumeongea na shule binafsi bila mafanikio naona kila shule wanajiamulia tu...ni haki ya wazazi kuwaona watoto wao mwisho mwezi hata masaa machache.

Asante nakutakia kazi njema
MZAZI
Dawa ni kuondoa watoto wenu badala ya kulalamika mbona wataacha hizo mambo maana wanataka pesa yenu.
Kuna shule hasa za masisita unampeleka mtoto ukijua kabisa kumwona ni kipengele bado unampeleka, hizo ni akili au matope.
Hawa watu wana roho mbaya wanachojali ni matokeo. WAnaweza kukuficha kuwa mtoto anaumwa na hapewi huduma za msingi unakuja pewa taarifa mtoto yuko hoi anakaribia kufa. Kuna matokio mengi watu wamepoteza watoto kwa sababu shule ilikataa kuwaona au kuwachukua watoto wao.
 
Waziri aingilie kati vipi wakati umeshasema ni shule binafsi? Kila shule ina utaratibu wake, unadhani wakiruhusu hivyo kila mzazi kumtembelea mtoto wake anavyo jisikia kutakuwa na shule tena hapo? Na vipi kuhusu yule mtoto ambaye hato tembelewa huoni kwamba atakuwa anajisikia unyonge? Kama kuna tatizo hasa wasiliana na uongozi watakujuza maendeleo ya mtoto wako, ila ukiona umeshindwa huo utaratibu unaweza kumhamisha mtoto wako bila kusumbua watu wengine.
Utaratibu wa kutembelea watoto unawekwa kwa siku moja. Lets say jumamosi ya mwisho wa mwezi husika. Hakuna suala la kumtembelea mtoto kila mzazi anapojisikia. Pia kama watoto wengine hawatotembelewa si suala la jumuiya.

Ni suala binafsi. Mbona hujawaza kuwa hata ada iondolewe kwa kuwa kama kuna watoto ambao hawalipiwi ada kwa wakati je watajisikiaje wenzao wanapolipiwa kwa wakati? Upo kilaza sana hujui kujenga hoja. Nadhani hukuwa ukipendwa na wazaz wako walienda kukutupa boarding.

Mimi ngetembelea na siku ambayo wangekataa nisimwone mtoto ndo siku ambayo ngeondoka naye
 
Utaratibu wa kutembelea watoto unawekwa kwa siku moja. Lets say jumamosi ya mwisho wa mwezi husika. Hakuna suala la kumtembelea mtoto kila mzazi anapojisikia. Pia kama watoto wengine hawatotembelewa si suala la jumuiya.

Ni suala binafsi. Mbona hujawaza kuwa hata ada iondolewe kwa kuwa kama kuna watoto ambao hawalipiwi ada kwa wakati je watajisikiaje wenzao wanapolipiwa kwa wakati? Upo kilaza sana hujui kujenga hoja. Nadhani hukuwa ukipendwa na wazaz wako walienda kukutuoa boarding.

Mimi ngetembelea na siku ambayo wangekataa nisimwone mtoto ndo siku ambayo ngeondoka naye
hakuna utaratibu kuwaona kabisa sijui kama unaelewa
 
Utaratibu wa kutembelea watoto unawekwa kwa siku moja. Lets say jumamosi ya mwisho wa mwezi husika. Hakuna suala la kumtembelea mtoto kila mzazi anapojisikia. Pia kama watoto wengine hawatotembelewa si suala la jumuiya.

Ni suala binafsi. Mbona hujawaza kuwa hata ada iondolewe kwa kuwa kama kuna watoto ambao hawalipiwi ada kwa wakati je watajisikiaje wenzao wanapolipiwa kwa wakati? Upo kilaza sana hujui kujenga hoja. Nadhani hukuwa ukipendwa na wazaz wako walienda kukutupa boarding.

Mimi ngetembelea na siku ambayo wangekataa nisimwone mtoto ndo siku ambayo ngeondoka naye
Kumbe na wewe upo?
 
Back
Top Bottom