Mmmh, mihemko mingi mnoo. Tafuteni pesa, shule kubwa zote visiting ni siku moja tu ndan ya nusu mhula. Ina maana, ndan ya miez mitatu visiting ni moja tu. Hakuna shule bora inayoshindwa kuwazingatia wanafunzi wake kwa utuo.
Badala ya kumpeleka mtoto shule yenye hadhi ya jela kisa boarding ya bei rahisi, mpeleke tu st Kayumba maisha yaendelee. Kujimwambafy kungine ni ujinga. Tafuteni pesa wenenu waende shule zinazojielewa.
Personally nilienda boarding darasa 4, visiting once in a mid term. Secondary visiting ipo mhula wa 1 n 2 tu. Kote familia ilitulia maana shule inajieleea. Mdogoangu kamalizia ahmes, hatujawai kuwa n hofu.
Tutafuteni pesa, ukiwa n pesa basi hata mwanao atakuwa n uhakika wa maisha bora. Kufosi kwingi huja na madha ya short n long term