Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Waziri/serikali ione hili jambo kwenye yale mafaili ambayo hawalali wanayasoma/bukua.Itengwe jumamosi na jumapili ya mwisho wa mwezi kama visiting day (hii iwe lazima kwa shule zote za bweni).
cc;Profesa Adolph Mkenda kwa ukamilishaji zoezi.