Waziri wa fedha ingilia kati sakata la uboreshaji wa mashine za EFD, kamishna wa TRA ataleta balaa kubwa

Waziri wa fedha ingilia kati sakata la uboreshaji wa mashine za EFD, kamishna wa TRA ataleta balaa kubwa

Muda uliotolewa wa kuboresha Mashine za EFD wa mwezi mmoja (kuanzia desemba 7 hadi Januari 7) hautoshi, kwa sababu mawakala wanaofanya kazi hiyo wamezidiwa na kazi hiyo kutokana na wingi wa mashine hizo na tayari wameomba kuongezewa muda wa kufanya marekebisho hayo ya ghafla yaliyosababishwa na TRA wenyewe kutokana na sababu zisizofahamika.

Tayari Kamishna wa TRA amekataa kuongeza muda na ameahidi kuwaadhibu wafanyabiashara walioshindwa kuboresha machine zao za EFD kwa muda uliopangwa , hapa analenga kuwakamua pesa wafanyabiashara ambao tayari wana hali mbaya kutokana na kuzorota kwa biashara nchini.

Sasa kwa hali hii kamishna haondoi Tatizo bali anaharibu zaidi, ikumbukwe kwamba wafanyabiashara wenye EFD hawajakataa kuboresha mashine zao bali mawakala wenye dhamana hiyo wameshindwa kumaliza kazi kwa wakati, wako ambao mashine zao ziko kwa mawakala mpaka sasa zikisubiri foleni ya kuboreshwa, sasa kamishna anapokataa kuongeza muda halisaidii Taifa bali ataleta mkanganyiko zaidi.

Namuomba Waziri wa fedha aingilie kati jambo hili ili kuokoa biashara za watu kwa Manufaa ya Taifa.
Bora wangechagua "saccos" haya yasingetokea
 
ITV waliweka hiyo clip ya malalamiko kutoka kwa wafanyabiashara kwenye YouTube channel yao naona imefutwa kwa sababu wazijuazo wao.

Ilikuwa inaonyesha hadi tarehe 6 January kuna wafanyabiashara wengi walikuwa hawajui wanatakiwa kubadili system za mashine zao wamepokea txt tarehe sita ikiwaonya tarehe 7 mwisho, yaani wana masaa 24 ya ku update mashine ama fines.

In short ni chaos ukiangalia ile clip kuanzia communication za TRA kwa wafanyabiashara hadi kwenye uratibu wa zoezi zima kutokana na uwezo wa mdogo wa makampuni yanayotakiwa kufanya update given demand and their daily capacity.
 
Muda uliotolewa wa kuboresha Mashine za EFD wa mwezi mmoja (kuanzia desemba 7 hadi Januari 7) hautoshi, kwa sababu mawakala wanaofanya kazi hiyo wamezidiwa na kazi hiyo kutokana na wingi wa mashine hizo na tayari wameomba kuongezewa muda wa kufanya marekebisho hayo ya ghafla yaliyosababishwa na TRA wenyewe kutokana na sababu zisizofahamika.

Tayari Kamishna wa TRA amekataa kuongeza muda na ameahidi kuwaadhibu wafanyabiashara walioshindwa kuboresha machine zao za EFD kwa muda uliopangwa , hapa analenga kuwakamua pesa wafanyabiashara ambao tayari wana hali mbaya kutokana na kuzorota kwa biashara nchini.

Sasa kwa hali hii kamishna haondoi Tatizo bali anaharibu zaidi, ikumbukwe kwamba wafanyabiashara wenye EFD hawajakataa kuboresha mashine zao bali mawakala wenye dhamana hiyo wameshindwa kumaliza kazi kwa wakati, wako ambao mashine zao ziko kwa mawakala mpaka sasa zikisubiri foleni ya kuboreshwa, sasa kamishna anapokataa kuongeza muda halisaidii Taifa bali ataleta mkanganyiko zaidi.

Namuomba Waziri wa fedha aingilie kati jambo hili ili kuokoa biashara za watu kwa Manufaa ya Taifa.
ikumbukwe machine hizi ni za TRA weneyewe na nyingi zilizoletwa wakati huo tunaambiwa ni ndogo haziwezi kufanyiwa mabadiliko mawakala wanasema mtu anunue machine mpya na TRA wanawatupia tena mzigo wafanyabiashara.Mazingira yamekua magumu kuliko nyakati zozote za biashara nchini.
 
ikumbukwe machine hizi ni za TRA weneyewe na nyingi zilizoletwa wakati huo tunaambiwa ni ndogo haziwezi kufanyiwa mabadiliko mawakala wanasema mtu anunue machine mpya na TRA wanawatupia tena mzigo wafanyabiashara.Mazingira yamekua magumu kuliko nyakati zozote za biashara nchini.
Mungu ibariki Tanzania
 
Tra wanachekesha wao ndio walianzisha mfumo wa risiti kutumia efd na watu wakanunua halafu haohao wanaleta sababu nyingine mashine ziwe upgrade tena kwa gharama za wenye mashine ngoja watu wachoke waanze kufunga biashara
 
Muda uliotolewa wa kuboresha Mashine za EFD wa mwezi mmoja (kuanzia desemba 7 hadi Januari 7) hautoshi, kwa sababu mawakala wanaofanya kazi hiyo wamezidiwa na kazi hiyo kutokana na wingi wa mashine hizo na tayari wameomba kuongezewa muda wa kufanya marekebisho hayo ya ghafla yaliyosababishwa na TRA wenyewe kutokana na sababu zisizofahamika.

Tayari Kamishna wa TRA amekataa kuongeza muda na ameahidi kuwaadhibu wafanyabiashara walioshindwa kuboresha machine zao za EFD kwa muda uliopangwa , hapa analenga kuwakamua pesa wafanyabiashara ambao tayari wana hali mbaya kutokana na kuzorota kwa biashara nchini.

Sasa kwa hali hii kamishna haondoi Tatizo bali anaharibu zaidi, ikumbukwe kwamba wafanyabiashara wenye EFD hawajakataa kuboresha mashine zao bali mawakala wenye dhamana hiyo wameshindwa kumaliza kazi kwa wakati, wako ambao mashine zao ziko kwa mawakala mpaka sasa zikisubiri foleni ya kuboreshwa, sasa kamishna anapokataa kuongeza muda halisaidii Taifa bali ataleta mkanganyiko zaidi.

Namuomba Waziri wa fedha aingilie kati jambo hili ili kuokoa biashara za watu kwa Manufaa ya Taifa.
Chatu anahitaji kunenepeshwa haraka.
 
Muda uliotolewa wa kuboresha Mashine za EFD wa mwezi mmoja (kuanzia desemba 7 hadi Januari 7) hautoshi, kwa sababu mawakala wanaofanya kazi hiyo wamezidiwa na kazi hiyo kutokana na wingi wa mashine hizo na tayari wameomba kuongezewa muda wa kufanya marekebisho hayo ya ghafla yaliyosababishwa na TRA wenyewe kutokana na sababu zisizofahamika.

Tayari Kamishna wa TRA amekataa kuongeza muda na ameahidi kuwaadhibu wafanyabiashara walioshindwa kuboresha machine zao za EFD kwa muda uliopangwa , hapa analenga kuwakamua pesa wafanyabiashara ambao tayari wana hali mbaya kutokana na kuzorota kwa biashara nchini.

Sasa kwa hali hii kamishna haondoi Tatizo bali anaharibu zaidi, ikumbukwe kwamba wafanyabiashara wenye EFD hawajakataa kuboresha mashine zao bali mawakala wenye dhamana hiyo wameshindwa kumaliza kazi kwa wakati, wako ambao mashine zao ziko kwa mawakala mpaka sasa zikisubiri foleni ya kuboreshwa, sasa kamishna anapokataa kuongeza muda halisaidii Taifa bali ataleta mkanganyiko zaidi.

Namuomba Waziri wa fedha aingilie kati jambo hili ili kuokoa biashara za watu kwa Manufaa ya Taifa.
jamani naombeni elimu. Efd machine hata kwenye Duka la mangi? au
 
Muda uliotolewa wa kuboresha Mashine za EFD wa mwezi mmoja (kuanzia desemba 7 hadi Januari 7) hautoshi, kwa sababu mawakala wanaofanya kazi hiyo wamezidiwa na kazi hiyo kutokana na wingi wa mashine hizo na tayari wameomba kuongezewa muda wa kufanya marekebisho hayo ya ghafla yaliyosababishwa na TRA wenyewe kutokana na sababu zisizofahamika.

Tayari Kamishna wa TRA amekataa kuongeza muda na ameahidi kuwaadhibu wafanyabiashara walioshindwa kuboresha machine zao za EFD kwa muda uliopangwa , hapa analenga kuwakamua pesa wafanyabiashara ambao tayari wana hali mbaya kutokana na kuzorota kwa biashara nchini.

Sasa kwa hali hii kamishna haondoi Tatizo bali anaharibu zaidi, ikumbukwe kwamba wafanyabiashara wenye EFD hawajakataa kuboresha mashine zao bali mawakala wenye dhamana hiyo wameshindwa kumaliza kazi kwa wakati, wako ambao mashine zao ziko kwa mawakala mpaka sasa zikisubiri foleni ya kuboreshwa, sasa kamishna anapokataa kuongeza muda halisaidii Taifa bali ataleta mkanganyiko zaidi.

Namuomba Waziri wa fedha aingilie kati jambo hili ili kuokoa biashara za watu kwa Manufaa ya Taifa.
Huyo jamaa nimemwona hana busara kichwani! Hekima na vyeti vya shule ni vitu viwili tofauti kabisa!
 
Tra wanachekesha wao ndio walianzisha mfumo wa risiti kutumia efd na watu wakanunua halafu haohao wanaleta sababu nyingine mashine ziwe upgrade tena kwa gharama za wenye mashine ngoja watu wachoke waanze kufunga biashara
Inaonekana kabisa hata mkifunga biashara they dont care. Thats it.
Wao hawategemei kodi. Wanategemea fines hasa za mabara barani
 
Muda uliotolewa wa kuboresha Mashine za EFD wa mwezi mmoja (kuanzia desemba 7 hadi Januari 7) hautoshi, kwa sababu mawakala wanaofanya kazi hiyo wamezidiwa na kazi hiyo kutokana na wingi wa mashine hizo na tayari wameomba kuongezewa muda wa kufanya marekebisho hayo ya ghafla yaliyosababishwa na TRA wenyewe kutokana na sababu zisizofahamika.

Tayari Kamishna wa TRA amekataa kuongeza muda na ameahidi kuwaadhibu wafanyabiashara walioshindwa kuboresha machine zao za EFD kwa muda uliopangwa , hapa analenga kuwakamua pesa wafanyabiashara ambao tayari wana hali mbaya kutokana na kuzorota kwa biashara nchini.

Sasa kwa hali hii kamishna haondoi Tatizo bali anaharibu zaidi, ikumbukwe kwamba wafanyabiashara wenye EFD hawajakataa kuboresha mashine zao bali mawakala wenye dhamana hiyo wameshindwa kumaliza kazi kwa wakati, wako ambao mashine zao ziko kwa mawakala mpaka sasa zikisubiri foleni ya kuboreshwa, sasa kamishna anapokataa kuongeza muda halisaidii Taifa bali ataleta mkanganyiko zaidi.

Namuomba Waziri wa fedha aingilie kati jambo hili ili kuokoa biashara za watu kwa Manufaa ya Taifa.
Remote ipo dom au chato watanzania tutafulai
 
Hili jambo wanaliona labda ni dogo lakini kuna manung'uniko makubwa ndani ya mioyo ya wafanya biashara kwa sababu jambo hili lingepewa muda lifanyike vizuri. Nenda pale ' web technologies ' pale Fire, Kariakoo kuna msongamano mkubwa sana usio wa lazima ambao hata unaweza kuleta madhara mengine na hasa kutokana na hali ilivyo huko duniani kwa sababu hatuwezi kujua nani kaja jana au juzi na huko alikutana na watu gani.

Kwa sababu kodi inalipwa na imekuwa ikilipwa ni swala la kufanya 'upgrading' tu,basi lipewe muda lifanyike kwa ufasaha bila madhara au manung'uniko na kuanza kuisema vibaya serikali kwa sababu tunajua lengo ni zuri kutokana na hili zoezi. Tunaomba hata ikibidi Rais alisikie hili na kulitolea tamko ili muda wa zoezi hili uongezwe.
On upgrading of EFD:Kuna tatizo upande wa Wakala wa Permagon Mwanza Nyerere Road wanalazimisha wafanya biashara kununua betri mpya kwa ajili ya EFD ili hali zilizokuwepo zinafanya kazi. Hoja eti mfumo mpya ili ufanye kazi vizuri lazima uweke betri mpya. This technicality is nonsense Mamlaka ziangazie hili. Ni usumbufu na inaongeza gharama
 
Back
Top Bottom