Waziri wa fedha ingilia kati sakata la uboreshaji wa mashine za EFD, kamishna wa TRA ataleta balaa kubwa

Waziri wa fedha ingilia kati sakata la uboreshaji wa mashine za EFD, kamishna wa TRA ataleta balaa kubwa

Hiyo ndio hoja ya TRA walitoa hizo info in advance ila kwenye mkutano wao na wafanyabiashara Kagera kupitia ITV asilimia kubwa ya wafanyabiashara wanadai hawakuwa na hizo taarifa.

Sina shaka TRA wanasema ukweli walitoa notice a month in advance ila issue how did they communicate that message kwa wafanyabiashara wote nchini. Kwa ivyo sina shaka pia kuna wafanyabiashara wengi hawakua na taarifa maana wengi kilichowaogopesha fines, kwa maana hiyo wangejua wangetii.

Mbona walituma text kwa wengi siku ya mwisho kwanini awakufanya ivyo siku ya kwanza.

Changes kubwa kama hizo zinataka using various communication channels to reach your audience na sidhani kama mwezi unatosha kuanzia tangazo mpaka mabadiliko. TRA wenyewe wanakiri capacity ya kampuni zinazofanya upgrade ya hizo machine ni ndogo to meet the deadline wameruhusu watu watoe paper receipts.

Kwa kifupi zoezi alikuandalia vizuri awajajifunza tu jinsi ya kufanya mabadiliko kupitia kwa Makamba wakati anatoa zuio la mifuko ya plastic. Mbona Ummy Mwalimu somo kalielewa vitu vingine vinahitaji kuwapa watu habari na reasonable time.
Kwanza nikupongeze kwa kujua kudiscuss. Kitu kistaarabu sio Kama hawa wengine kitu hakijui anakurupuka tu kuongea
Mimi nachojua mkuu kwanza tra walitoa waraka
Pili waliblock mashine zote.kama unavojua efd yako ikiwa na shida immediately unatakiwa ureport.sasa Kama mashine umezimiwa tuassume huna taarifa ya kuupgrade mashine then umefanyeje biashara mwezi mzima bila mashine??
 
Kwanza nikupongeze kwa kujua kudiscuss. Kitu kistaarabu sio Kama hawa wengine kitu hakijui anakurupuka tu kuongea
Mimi nachojua mkuu kwanza tra walitoa waraka
Pili waliblock mashine zote.kama unavojua efd yako ikiwa na shida immediately unatakiwa ureport.sasa Kama mashine umezimiwa tuassume huna taarifa ya kuupgrade mashine then umefanyeje biashara mwezi mzima bila mashine??
Block nadhani imeanza tarehe 7 January kwa wale niliwaona mimi kwenye mkutano inaonekana walikuwa wakitumia hizo machine mpaka tarehe 5 siku iliyofuata wakapokea txt message tarehe 7 mwisho ndio taharuki ilipoanzia.

Kwa kifupi ni kwamba zoezi alikuratibiwa vizuri. Hakuna tofauti na sakata la vitambulisho vya NIDA au simu inazimwa. Watu wanatoa matangazo bila ya capacity planning na kwenye hili la TRA jumlisha na poor communication strategy too.
 
Block nadhani imeanza tarehe 7 January kwa wale niliwaona mimi kwenye mkutano inaonekana walikuwa wakitumia hizo machine mpaka tarehe 5 siku iliyofuata wakapokea txt message tarehe 7 mwisho ndio taharuki ilipoanzia.

Kwa kifupi ni kwamba zoezi alikuratibiwa vizuri. Hakuna tofauti na sakata la vitambulisho vya NIDA au simu inazimwa. Watu wanatoa matangazo bila ya capacity na kwenye hili la TRA poor communication strategy too.
Tatizo labda elimu pia watanzania tuna uzembe wa kutojali vitu
 
Tatizo labda elimu pia watanzania tuna uzembe wa kutojali vitu
Hiyo ni popote duniani binadamu wengi tu wazembe ndio maana mabadiliko yanaendana raising awareness campaigns; kitu ambacho TRA awakufanya apparently.
 
Hiyo ni popote duniani binadamu wengi tu wazembe ndio maana mabadiliko yanaendana raising awareness campaigns; kitu ambacho TRA awakufanya apparently.
Kingine ni kwamba kuna gharama ya marekebisho hayo zinazolipwa na Mfanyabiashara binafsi , na kuna baadhi ya mashine hazikubali hiyo software , hivyo ni lazima huyo mfanyabiashara anunue mashine mpya , jambo kama hili katika biashara hizi za sasa unawezaje kuweka muda wa siku 30 ?
 
TRA wameshindwa ku maintain website tu.

Wiki nzima ya kwanza ya 2021 website yao ilikuwa down.

Huko kwenye mitandao ya kulipa kodi wakiharibu sishangai.
 
Una mashine?
Kwa mwekezaji mkubwa kama mimi ninayemiliki viwanda kadhaa nakosaje mashine kwenye nchi hii ambayo mashine ni lazima ? Halafu kingine unachopaswa kukijua ni kwamba mtu mmoja aweza kuwa hata na mashine 15 au zaidi kutokana na mtandao wa biashara zake nchi nzima , sasa angalia jinsi ilivyo
 
Kwa mwekezaji mkubwa kama mimi ninayemiliki viwanda kadhaa nakosaje mashine kwenye nchi hii ambayo mashine ni lazima ? Halafu kingine unachopaswa kukijua ni kwamba mtu mmoja aweza kuwa hata na mashine 15 au zaidi kutokana na mtandao wa biashara zake nchi nzima , sasa angalia jinsi ilivyo
Mbona kwa wenye viwanda program ya kuupdate ilianza toka mwezi wa kumi?? Au wewe kiwanda chako cha wapi?? Watu wa chadema Kila kitu mnapinga nchi hii. Tuache tulipe kodi
 
Kingine ni kwamba kuna gharama ya marekebisho hayo zinazolipwa na Mfanyabiashara binafsi , na kuna baadhi ya mashine hazikubali hiyo software , hivyo ni lazima huyo mfanyabiashara anunue mashine mpya , jambo kama hili katika biashara hizi za sasa unawezaje kuweka muda wa siku 30 ?
Rarely they consider thing which might go wrong kabla ya kuweka deadlines zao.
 
Mbona kwa wenye viwanda program ya kuupdate ilianza toka mwezi wa kumi?? Au wewe kiwanda chako cha wapi?? Watu wa chadema Kila kitu mnapinga nchi hii. Tuache tulipe kodi
Kiukweli mimi nimepata taarifa mwezi huu wakati tra waliposem hawataongeza muda. Yaani kumbe deadline ilishaisha
 
Biashara yangu mimi, wewe inakuhusu nini? Ndiyo majungu hayo unataka kutafuta umaarufu kupitia mtandao wa JF - Aibu!
Wacha1. Wewe ni mkongwe ndungu yangu.
Sihitajiki kubishana na wewe
 
Back
Top Bottom