Waziri wa fedha ingilia kati sakata la uboreshaji wa mashine za EFD, kamishna wa TRA ataleta balaa kubwa

Me nilipeleka tar 10 fasta tu nikaondoka nayo
 
Kuna mtu kitu kama hajawahi kuona anasema hakipo.
Tunazindua lini 2021 rafiki yangu tukae hotelini hata siku mbili tudiscuss biashara zitaendaje mwaka huu maana lazima kupambana kweli kweli
 
Kwanza ilibidi hao mawakala wapite kwenye maduka wanakuwekea hiyo software alafu wanaondoka,sio kwenda kurundika machine kule pergamon,
 
Mkuu mimi mbona mashine yangu bado inafanya kazi mpaka leo na sijaipeleka bado,kuna jirani yangu hapa kaipeleka yake wiki inaisha sasa hawajamrudishia,wateja wakija anashindwa kutoa risit.
Ngoja wakukamate na hizo risiti zako ni valid ukimuuzia mtu wa vat kitu hawezi claim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…