residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Yaani "sodo" zinakatwa kodi huku mbunge yeye hakatwi kodi!!!Hedhi zetu tu Wanawake tunalipia kwanini wasianzishe na Kodi za wanaume Sasa maana ni too much of kodi
Only in Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani "sodo" zinakatwa kodi huku mbunge yeye hakatwi kodi!!!Hedhi zetu tu Wanawake tunalipia kwanini wasianzishe na Kodi za wanaume Sasa maana ni too much of kodi
Kila mtu anauliwa uchumi kwa style yake😅 bora ile ya jiwe aliwabana matajiri huyu “chemba ya nnya” amekuja kuua uchumi wa kitaa kabisa!Anataka kuua tu uchumi wa individual
Sisi wazalendo tutalipa kodi za serikali. Ya kaizari haya mpe kaizariNashauri waanzishe hata kodi ya kutembea ama kodi ya kulala usiku.
Waweke kodi ya kuvaa nguo, ukivaa nguo tu unalipa kodi. Ama kodi ya kuongea. Ukiongea tu unalipa kodi
Nashauri waweke kodi ya kila kitu.
Chuo kikuu cha 'Mdhumbe' kilichopo Mji kasoro bahari ndicho kilicho mzawadia hiyo pwii hechi dii yake ya TOZO.Natamani sana kukijua Chuo Kikuu kilichompa hiyo 'Doctorate' yake hiyo ili nikidharau kama ninavyomdharau Yeye.
Nashukuru hajasoma Chuo Kikuu changu bora, pendwa na barikiwa cha SAUT Mwanza au hiki cha Dar es Salaam ( School of Graduate Studies ) Msimbazi Center ambacho kinatoa 'Geniuses' tupu nchini Tanzania.
Wapiga dili mnalalamika sana. Lipeni Kodi😅😅Kila mtu anauliwa uchumi kwa style yake😅 bora ile ya jiwe aliwabana matajiri huyu “chemba ya nnya” amekuja kuua uchumi wa kitaa kabisa!
Hahahah sijawahi piga dili mangi 😅😅😅Wapiga dili mnalalamika sana. Lipeni Kodi😅😅
Ukiona awamu hii mpaka wanyonge wanalalamika, ujue kweli kisu kimegusa mfupa! Mwigulu Nchemba , wewe ni waziri wa fedha kweli, au ni waziri wa TOZO?Wapiga dili mnalalamika sana. Lipeni Kodi😅😅
Tutarimia meno aisee, sema bora kodi zipande niachane na JF maana inaniliaga sana muda aiseeKumekucha...
Kama ni Mzumbe University cha Mkoani Morogoro nakisamehe 'Kukidharau' kwa Heshima Kubwa sana ya Marehemu Babu yangu Mpendwa Mzaa Mama mwenye 'initials' za BTA ambaye ndiyo alikuwa Mkufunzi wa Kwanza Mwafrika Kufundisha hapo Kikiwa chini ya Wazungu ( Waingereza ) ambapo kilikuwa Kinaitwa IDM Mzumbe ambapo Marehemu Babu yangu alikubalika sana kutokana na 'Uwerevu' wake wa Kutukuka ambao Wajukuu zake akina GENTAMYCINE na wengineo wengi tu tumeurithi na tunajivunia mno Yeye.Chuo kikuu cha 'Mdhumbe' kilichopo Mji kasoro bahari ndicho kilicho mzawadia hiyo pwii hechi dii yake ya TOZO.
Serikali ya Wanyonge, Upinzani walituchelewesha sana! Fyoko fyoko, fyoko! Hakuna Mbunge wa kijani anayeweza kupinga hapo! Mtakoma shenziWaziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaanzisha ushuru wa huduma za mitandaoni ‘Digital Service Tax’, “hili ni eneo jipya ambalo tunalifanyia kazi, katika bajeti zinazofuata litakuwa ingizo jipya. Mataifa mengi yanageukia kodi hii.”
Kazi na iendelee!
wapiga dili acheni kulalamika lipeni kodiKumekucha...
Katiba mpya wanasema haiko kwenye ilaniivi haya mambo yanayotokea kwenye kodi za tozo ilani yao Ccm yapo ama wameyapanga wenyewe wakiwa bungeni
hawa watu hawana aibu mkuu, usishangae kesho ukasikia kuna kodi mpya ya kulinda mazingira ambapo ili kujamba inabidi ulipe kodiNashauri waanzishe hata kodi ya kutembea ama kodi ya kulala usiku.
Waweke kodi ya kuvaa nguo, ukivaa nguo tu unalipa kodi. Ama kodi ya kuongea. Ukiongea tu unalipa kodi
Nashauri waweke kodi ya kila kitu.
Acha kuweka bando uone kama utagusa pua humu.Tutarimia meno aisee, sema bora kodi zipande niachane na JF maana inaniliaga sana muda aisee
Poleni ila tunalipia ndomHedhi zetu tu Wanawake tunalipia kwanini wasianzishe na Kodi za wanaume Sasa maana ni too much of kodi