Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Naunga mkono hojaHedhi zetu tu Wanawake tunalipia kwanini wasianzishe na Kodi za wanaume Sasa maana ni too much of kodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaHedhi zetu tu Wanawake tunalipia kwanini wasianzishe na Kodi za wanaume Sasa maana ni too much of kodi
Huyo ras jeff kapita ni kijana mtiifu wa CCM wale wanaofaa kazi za wasiojulikana. Chata zake pale Mbeya town zinazubaa kila chocho anaonekana mtu wa vijiweni huyuMwigulu Nchemba waziri wa fedha wa hovyo kabisa kutokea tangu tupate Uhuru.
Mwigulu Nchemba original Ni msukuma na yupo, anajulikana.
Alipochana bungeni bajeti ya kambi rasmi ya upinzani akathibitisha kwa mara nyingine.
Funika bovu ni pale alipoanza kujiandika kwenye mawe na majabali nchi nzima kwamba yeye Ni raisi.
Kupiga chata alifanya ras jeff kapita enzi zile akiwa kijana mdogo, chini ya miaka 18
Ni ujinga kuleta ushuru kwenye hizo zinazoitwa digital service na wakati wameshindwa kuboresha huduma za kupokea malipo kimtandao kutoka mataifa mengine.Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaanzisha ushuru wa huduma za mitandaoni ‘Digital Service Tax’, “hili ni eneo jipya ambalo tunalifanyia kazi, katika bajeti zinazofuata litakuwa ingizo jipya. Mataifa mengi yanageukia kodi hii.”
Kazi na iendelee!
Alipewa PhD kwa kisiasa.Natamani sana kukijua Chuo Kikuu kilichompa hiyo 'Doctorate' yake hiyo ili nikidharau kama ninavyomdharau Yeye.
Nashukuru hajasoma Chuo Kikuu changu bora, pendwa na barikiwa cha SAUT Mwanza au hiki cha Dar es Salaam ( School of Graduate Studies ) Msimbazi Center ambacho kinatoa 'Geniuses' tupu nchini Tanzania.
Kodi ni aibu tupu vile tumeshindwa kutumia rasilimali nyingi tutoke kwenye umaskini.Naunga mkono hoja
Taulo za wanawake zingetakiwa ziwe bure kwa wanawake maana ni kila mwezi na ni lazima kondomu ni options na hutolewa burePoleni ila tunalipia ndom
Yani we acha kabisa ubunifu huwa zero kwenye kutumia rasilimaliYaani "sodo" zinakatwa kodi huku mbunge yeye hakatwi kodi!!!
Only in Tanzania.
Tunanunua piaTaulo za wanawake zingetakiwa ziwe bure kwa wanawake maana ni kila mwezi na ni lazima kondomu ni options na hutolewa bure
Kondomu sio muhimu wewe ka taulo za kikeTunanunua pia
Poleni pazeni sautiKondomu sio muhimu wewe ka taulo za kike
Nashauri waanzishe hata kodi ya kutembea ama kodi ya kulala usiku.
Waweke kodi ya kuvaa nguo, ukivaa nguo tu unalipa kodi. Ama kodi ya kuongea. Ukiongea tu unalipa kodi
Nashauri waweke kodi ya kila kitu.
Bila kusahau kodi ya kupumua na machangamsho ya chakula cha usiku.Nashauri waanzishe hata kodi ya kutembea ama kodi ya kulala usiku.
Waweke kodi ya kuvaa nguo, ukivaa nguo tu unalipa kodi. Ama kodi ya kuongea. Ukiongea tu unalipa kodi
Nashauri waweke kodi ya kila kitu.
Kondomu sio muhimu wewe ka taulo za kike
😀Tutarimia meno aisee, sema bora kodi zipande niachane na JF maana inaniliaga sana muda aisee