cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
wapiga dili acheni kulalamika lipeni kodi
Duh!!!! Hongera kwa kumjibu Cocochanel.
Pokea tuzo 😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapiga dili acheni kulalamika lipeni kodi
So usipolipia hupati Hedhi!!! Pole sana Dada, so hiyo ya wanaume inakuwa kodi ya kitu gani ?kodi ya kubemba mbupu ?😅Hedhi zetu tu Wanawake tunalipia kwanini wasianzishe na Kodi za wanaume Sasa maana ni too much of kodi
Kila kitu kinachomhusu anayejiita Mwigulu Nchemba ni feki...jina, elimu, uwezo, hekima, busara na hata akili vyote ni feki. Bahati yake ni CCM, jumba linalolea na kuhifadhi vyote hivyo. Adui mkubwa wa taifa la Tanzania ni CCM.Mwigulu Nchemba waziri wa fedha wa hovyo kabisa kutokea tangu tupate Uhuru.
Mwigulu Nchemba original Ni msukuma na yupo, anajulikana.