Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba awajibu TLS kuhusu Rais Samia Suluhu kuteua Baraza jipya la Mawaziri

Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba awajibu TLS kuhusu Rais Samia Suluhu kuteua Baraza jipya la Mawaziri

Sio tu tatizo, ni tahahira kabisa!! hawa ndio aina ya wasomi walienda shule si kuelimika, bali wasome ili wapate ajira,na sio kuelimika!!??

Mwenzio kajibu hoja tena kwa kunukuu vifungu vya Katiba, lkn wewe mpuuzi mmoja hujaona hilo ila umeona yeye ni zaidi ya tatizo. Nawe ulienda shule eti!
 
uko sahihi Mhe. Mwigulu waziri wa Katiba Na Sheria.
hao TLS wamekosa kabisa utu wanaanza kuanzisha mjadala wa mgawanyo wa madaraka?!
wakati sisi watanzania bado tuna majonzi!!
Pumzika kwa Amani JPM

Mbona Rais ameapishwa wakati tuna majonzi si tungesubiri tumalize kuzika kwanza akiwa kaimu Rais. Tumefanya hivo sababu ya katiba na sheria. Hatuwezi kuacha kufuata katiba na sheria za nchi ati sababu tuna majonzi. Hivi kuna aliyejiuliza kwanini tunaomboleza siku 21 inamaana baada ya hapo hatutakuwa na majonzi jibu ni sababu ya katiba imeweka hivo. Hivo tuache kuongozwa na emotional
 
Mwenzio kajibu hoja tena kwa kunukuu vifungu vya Katiba, lkn wewe mpuuzi mmoja hujaona hilo ila umeona yeye ni zaidi ya tatizo. Nawe ulienda shule eti!
Peleka ujinga wako kwa bwana wako mwigulu! boya wewe!! We ni miongoni mwa mijitu inayoishi kwa kujipendekeza!! boya mmoja!
 
Mwigulu anatoa maoni yake kutokana na emotions. TLS wametazama katiba. Hakuna sheria iliyowahi kuzingatia emotions!! Ni kweli ni msiba mkubwa lakini kama emotions zingetumika, hata SSH asingeapishwa basi. Aliapishwa kukishi matakwa ya sheria/ katiba.

Ikiwa tunataka emotions na mambo ya namna hiyo kupatiwa nafasi kwanza, katiba isingetaja habari za siku. Hata isingesema maombolezo ya siku 21. Nani anaweza kusema kuwa baada ya siku 21 uchungu wa kupotelewa na Magufuli utakuwa umekwisha??

Kutaka emotions zitawale ndio chanzo cha watu kuja baadae na kusema “tunafanya hili kumuenzi fulani na fulani”. Na tujiandae, hili litatumika sana!!!

Kama nchi tutasonga mbele katika uchungu na furaha, shida na taabu. Tutasonga mbele!!!

Aliyetoa bandiko la TLS ni kilaza mmoja, kama TLS nzima basi wamedhalilisha Taaluma zao.
Wanashindwaje kutofautisha Rais mteule, na Rais kwa sababu za kiafya au kifo.
 
Yaani wapinzani kulalamika ni jadi yao! Mnadhani kuna kupumua hapa? Magu spirit will prevail
Wakiendeleza Magu spirit wajue watafuatana kwa foleni kwa sababu manung'uniko yetu hayotumuacha salama Mungu ameshawakasirikia kwa ishara kuu

Sio korona, sio moyo wala malaria ... ni ishara ya Mungu mkuu alie hai wajuzi wanaelewa
 
Yaani wapinzani kulalamika ni jadi yao! Mnadhani kuna kupumua hapa? Magu spirit will prevail
Wakiendeleza Magu spirit wajue watafuatana kwa foleni kwa sababu manung'uniko yetu hayotumuacha salama Mungu ameshawakasirikia kwa ishara kuu

Sio korona, sio moyo wala malaria ... ni ishara ya Mungu mkuu alie hai wajuzi wanaelewa
 
Mwenzio kajibu hoja tena kwa kunukuu vifungu vya Katiba, lkn wewe mpuuzi mmoja hujaona hilo ila umeona yeye ni zaidi ya tatizo. Nawe ulienda shule eti!
Hujaona vifungu walivyoanisha TLS?? au uko hapa kumtetea mwigulu ili upate chakula cha wanao? jinga kabisa wewe!! ishi kwa kumtegemea Mungu si mwanadamu, imeandikwa "amtegemeae mwanadamu amelaniwa" hivyo wewe una laana ya ujinga!!
 
Mwigulu katafuta vifungu vya sheria kaishia njiani kahamia kwenye busara na utu.
Hapa inazungumzwa katiba na sheria za nchi. Tukienda sijui utu na ubinadamu mbona nchi haitaenda
 
Dah! Mwigulu kama anajua tupo kwenye msiba mzito ametoa wapi nguvu ya kuandika haya? Hapa ninachokiona ni namna ya kujipigia debe ili asiachwe kwenye baraza lijalo. Hakuna chochote cha msingi alichokiongea. TLS wametoa mwanga kuhusu issue nzima ya kikatiba kuhusu hali iliyopo, sasa hapa Mwigulu hata haieleweki anaongea nini.
Nani aliwaomba kutoa mwongozo kwa jambo hili?
Kwani muhimili wa sheria haupo mpaka TLS wadandie treni kwa mbele?
Je wameona wao wanajua zaidi ya serikari?
Raisi anweza asifanye mabadiliko yoyote na kuidhinisha lililopo sasa hao TLS watamlazimisha?
 
Hawa akina mwigulu kujikomba komba na kutoa sifa zitakoma..Mama sio mpenz wa matakata hayo..
 
Tu
Nimememwelewa mwigulu, Raisi alitakiwa kutoa taarifa Kwa Baraza , ni Baraza lipi? Kwa mazingira yake hlo Baraza lilikuwepo , na hivyo busara aliyotumia Raisi ya kusitiri mwili Kwanza zen maswala ya kuvunja Baraza yaendelee ipo poa tuuu...anyway naweza kosolewa mana sio mtaalam wa Sheria Na katiba ....
Ili kufunga mjadala huu, tutajie Kifungu cha Sheria kinachosema kuwa baada ya kuapa, Rais ataenda kutoa taarifa kwa Baraza la Mawaziri.
 
Ni wapi katiba imesema raisi akifariki dunia,makamu wa Raisi atakayeapishwa kuwa Raisi inabidi aunde baraza lake la mawaziri?

Sasa Rais ataongoza nchi kwa kutumia baraza gani kama haundi baraza lake, hao si waliapa kumtii Magufuli sasa unataka Rais Samia arithi kiapo cha Magufuli. Kwanini huyu Rais anataka kunyimwa hata haki ya kuunda baraza lake la mawaziri ili awajibike nalo kwa utendaji wake na siyo hizo sababu za njaa za watu waliokuwa kwenye baraza la Magufuli? TLS wametoa ushauri mzuri sana wa kisheria. Hizo zingine porojo tu.
 
Back
Top Bottom