Waziri wa Kilimo, zao la bangi ni muhimu sana kwa maendeleo ya haraka

Wanachojali ni kuongeza idadi ya magari mapya kila uchao. Hawezi kupitia uzi huu kujifunza
Hayo ya magari na matumizi ya kifahari yatawageukia vibaya sana siku moja.

Huwezi kuwa unakopa pesa halafu unajaza magari ya anasa. Ni ujinga wa hali ya juu huo.

Magari ya anasa inatakiwa pale bajeti yetu tumekidhi wenyewe na pesa za miradi ya maendeleo imetosha, ile surplus, no problem ukizifanyia fahari.

Siyo kwa hali yetu ya sasa.

Wanafikiri wanatupenda sana wanaotukopesha? Au ni kuwa sisi wajanja sana au tuna uwezo sana wak kulipa ndiyo watukopesha. Hapana, ni chambo kile, wanatuvulia nacho wazima wazima.

Ni wakati sasa tusimame kabisa kukopa, iwe kwa mradi wa maendeleo au kwa chochote kile. Kama kipato chetu hakitoshi ku balance, tishushe matumizi, mpaka tukidhi nayo kwa kipato chetu hicho hicho.

Tusijiingize wenyewe kwenye ndoano ya madeni
 
Hapo ndio na kukubali dadake, sijui kwanin mama akuvuti ktk serikali kama alivyo fanya kwa kina zuhura๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ™
Kusishauri serikali na kuwatumikia Watanzania siyo lazima kuwa serikalini.

AlhamduliLlah ni nature yangu tu.
 
Yes. Hiyo ni baadhi tu ya mifano hai. Wapo waliokufa kabisa(RIP) kutokana na kunywa kupitiliza konyagi, Jogoo, Visungura na vilevi vikali na halali vya aina hiyo.
 
Hilo nalo wazo.

Mimi naona kwanza ni kufunguliwa kituo cha utafiti, halafu wakati huo huo wakulima wachache kila mkoa wapewe vibali vya kuzalisha mbegu zinazofaa kwa aina fulani ya matumizi. Kwa sababu mimea ya bangi "hemp" ipo aina nyingi.

Kuruhusu matumizi binafasi ni sawa, lakini mbegu zipi zinazoruhusiwa? Hilo ndiyo muhimu.

Hata Hollanda walioanza kuruhusu miaka mingi sana iliyopita, wameruhusu aina fulani za mbegu na kiwango fulani na wauzaji wanapewa leseni kihalali kabisa.
 
Maisha yanaenda kasi sana sana
 
Yes exactly. Inabidi kuwepo na Uthubutu na kufanya maamuzi ya maksudi.
 
Pia bangi inaweza kutengeza karatasi, inaweza kutengeza mbao, inaweza kutengeza, "vigae" vya kuezekea, "boards" mbali mbali za kujengea na kuundia fanicha, inaweza kutengeza bodi za magari ambazo ni bora kuliko za mabati.
kutoka Bangi mpaka Mbao... ushauri huu hakika Waziri ataukataa ni uwongo
 
Hapana, Mwenyezi Mungu hajaumba haramu, isipokuwa kuna vitu alivyoviharamisha na kuna vitu vya halali kabisa lakini tunaviharamisha wenye kwa kuvitumia vibaya mpaka vinakuwa na madhara kwetu.

Kiislam hata wali kama unakudhuru ni haramu kwako.

Upo hapo ulipo?
 
Tena ilizidi kweli kweli, mpaka leo tunamuona wa magharibi ana maana kuliko sisi wenyewe, wakati hana maana yoyote kwetu. Anatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.
 
Bangi inatakiwa ihalalishwe tutumie ili vijana tutumie
 
Serikali ikiruhusu hii mambo narudi shamba kuwekeza
Hilo zao moja likianzishwa linaweza kutowa ajira za zaidi ya million mbili haraka sana. Kinachotakiwa ni kuanza na kituo kimoja tu cha utafiti wa kina.

Hemp Reseach and Development Centre.

Kila mwenye ubunifu wake aende hapo akapate elimu ya aina ya mbegu, kuotesha kwa faida na matumizi yake kwa kila aina ya mbegu.

Ni very simple. Wala haihitaji "rocket science", tuna wasomi wengi wanaoweza kufanya huo utafiti kiulaini kabisa.
 
Kama Kenya inavyonufaika na miraa/mirungi
 
Hili zao liruhusiwe tu nipande hata hapa home kwa matumizi binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ