Waziri wa Maji fuatilia bili za DAWASA, wanawaibia watu na kuwafanya wananchi wamchukie Rais

Waziri wa Maji fuatilia bili za DAWASA, wanawaibia watu na kuwafanya wananchi wamchukie Rais

Kwako ndugu Waziri mwenye dhamana ya mambo ya maji.

Iko hivi:
Bili ambazo watu wa DAWASA wanawatumia wananchi siyo bili za kweli, haziakisi matumizi halisi ya maji ya wateja. Ni bili za kupikwa.

Haiwezekani bili yako kwa miezi ya nyuma iwe ni shilingi X halafu ghafla bin vuup bili inaamza kuja mara tatu ya ulivyokuwa ukitumia.

Ndugu Waziri, DAWASA na wizara ya maji isituone sisi wananchi ni Wapumbavu. Tunajua kuwa Unit Moja ya maji ni Lita 1000. Na Tunajua kuwa bei ya Maji kwa Unit Moja ni around shilingi 1670 hivi. Unapomletea mtu bili ya Maji ya Shilingi laki moja kwa mwezi maana yake ni kuwa katumia Unit 59.9 kwa mwezi ambayo ni sawa na Lita 59900! Hii inawezekanaje wakati Matumizi ni ya kawaida, kupikia, kuoga, kufua na maji hayatumiki kibiashara wala kwa kilimo na WALA HAKUNA LEAKAGE YOYOTE?

Ndugu Waziri nataka nikueleze ukweli, Familia nyingi zinatumia Chini ya Unit moja au maximum Unit moja kwa siku, lakini cha ajabu bili zinakuja zikiwa inflated sana.

Ndugu waziri,
Ninafahamu, kuwa kuna uhuni katika usomaji wa mita, wakati mwingine wale vijana hawazunguuki kusoma hizo mita wanakadiria!

Wakati mwingine kuna uhuni unafanyika kwenye kutuma meseji ya kiwango ambacho mtu anadaiwa, Sometime Message ya malipo haitaji Units ambazo mtu kazikuta mwanzo wa mwezi na mwisho wa mwezi anatajiwa Pesa tu. Yote hii ni kuficha traces ili wananchi wawe gizani kama billing imefanyika kwa haki au la

Ndugu Waziri,
Kisingizio kikuu ambacho DAWAS hutoa ni kwamba kuna leakage, lakini keakage wananchi tunaijua, kama kuna leakage basi Mita lazima itakuwa inazunguuka hata kama mtu hatumii maji!- Hapa kuna magumashi hapa

Ndugu Waziri,
Athari za kubambikiza watu kodi ya Maji ni watu kumchukia rais.
Kwa kuwa nchi hii hii power na mamlaka in reality ziko kwa rais( achilia mbali wananchi), basi madhila na maumivu yao lawama na manung'uniko haya ya bili za kubambika za maji wanamtupia rais. Na kwa kuwa maji yanagusa watu wote ndani ya familia, basi kitendo cha mlipa bili kumnung'unikia rais mbele ya familia nzima kunaifanya familia nzima isimuelewe rais.

Rai yangu:
1. Timiza wajibu wako kwa kuchunguza hizi bili feki za DAWASA
2. Vijana wavivu wasiokwenda site kusoma bili ila wanakaa kwenye computer kuzitengeneza fukuza kazi.
3. Toeni tamko la kuelezea kinagaubaga juu ya hili jambo linaloikwaza jamii
4. Shirikisheni wananchi kwenye kusoma mita. Mkisoma mita acheni kipande cha fomu kuwa mlikuja saa ngapi kusoma hiyo mita, mmekuta unit ngapi na mumtake mteja akahakiki. Siyo mnakuja kimyakimya kama wachawi. Hatuwaamini sisi!
Umeshaenda Ofisini kwao mkuu?
Dawasa ni watu pia
 
Prepaid wala si Kukimbia tatizo.....
Ni one way Ya kuzuia Non Revenue Water. ( faida kwa Mamlaka).
Mteja hana malalamiko tena.
Tumia as umenunua. ( faida kwa mteja )
Mwisho wa Siku mamlaka zote zitatumia prepaid.
Iringa washaanza 2021 zaidi ya wateja 5000 walikuwa washaunganishwa. ( kwa mujimu wa Katibu mkuu wa wizara wakati huo, Eng Sanga ).
Hata ukiweka pre paid kama hujakagua mifumo yako ya maji itakuwa kazi bure.

Kwa ukawaida mabomba hayatakiwi kufukiwa kabla ya maji kupita, ila watu wengi hufukia kabla ya maji, kama fundi alikosea lazima yatavuja na hutajua
 
Kwako ndugu Waziri mwenye dhamana ya mambo ya maji.

Iko hivi:
Bili ambazo watu wa DAWASA wanawatumia wananchi siyo bili za kweli, haziakisi matumizi halisi ya maji ya wateja. Ni bili za kupikwa.

Haiwezekani bili yako kwa miezi ya nyuma iwe ni shilingi X halafu ghafla bin vuup bili inaamza kuja mara tatu ya ulivyokuwa ukitumia.

Ndugu Waziri, DAWASA na wizara ya maji isituone sisi wananchi ni Wapumbavu. Tunajua kuwa Unit Moja ya maji ni Lita 1000. Na Tunajua kuwa bei ya Maji kwa Unit Moja ni around shilingi 1670 hivi. Unapomletea mtu bili ya Maji ya Shilingi laki moja kwa mwezi maana yake ni kuwa katumia Unit 59.9 kwa mwezi ambayo ni sawa na Lita 59900! Hii inawezekanaje wakati Matumizi ni ya kawaida, kupikia, kuoga, kufua na maji hayatumiki kibiashara wala kwa kilimo na WALA HAKUNA LEAKAGE YOYOTE?

Ndugu Waziri nataka nikueleze ukweli, Familia nyingi zinatumia Chini ya Unit moja au maximum Unit moja kwa siku, lakini cha ajabu bili zinakuja zikiwa inflated sana.

Ndugu waziri,
Ninafahamu, kuwa kuna uhuni katika usomaji wa mita, wakati mwingine wale vijana hawazunguuki kusoma hizo mita wanakadiria!

Wakati mwingine kuna uhuni unafanyika kwenye kutuma meseji ya kiwango ambacho mtu anadaiwa, Sometime Message ya malipo haitaji Units ambazo mtu kazikuta mwanzo wa mwezi na mwisho wa mwezi anatajiwa Pesa tu. Yote hii ni kuficha traces ili wananchi wawe gizani kama billing imefanyika kwa haki au la

Ndugu Waziri,
Kisingizio kikuu ambacho DAWAS hutoa ni kwamba kuna leakage, lakini keakage wananchi tunaijua, kama kuna leakage basi Mita lazima itakuwa inazunguuka hata kama mtu hatumii maji!- Hapa kuna magumashi hapa

Ndugu Waziri,
Athari za kubambikiza watu kodi ya Maji ni watu kumchukia rais.
Kwa kuwa nchi hii hii power na mamlaka in reality ziko kwa rais( achilia mbali wananchi), basi madhila na maumivu yao lawama na manung'uniko haya ya bili za kubambika za maji wanamtupia rais. Na kwa kuwa maji yanagusa watu wote ndani ya familia, basi kitendo cha mlipa bili kumnung'unikia rais mbele ya familia nzima kunaifanya familia nzima isimuelewe rais.

Rai yangu:
1. Timiza wajibu wako kwa kuchunguza hizi bili feki za DAWASA
2. Vijana wavivu wasiokwenda site kusoma bili ila wanakaa kwenye computer kuzitengeneza fukuza kazi.
3. Toeni tamko la kuelezea kinagaubaga juu ya hili jambo linaloikwaza jamii
4. Shirikisheni wananchi kwenye kusoma mita. Mkisoma mita acheni kipande cha fomu kuwa mlikuja saa ngapi kusoma hiyo mita, mmekuta unit ngapi na mumtake mteja akahakiki. Siyo mnakuja kimyakimya kama wachawi. Hatuwaamini sisi!
Makando kando hayatakaa yaishe kwenye serkali hii ya Samia maana mnajidai mabingwa wa kutumia lawama serkali ya awamu ya tano!
Yakija ya kwenu na utawala wa huyu Mama mnaanza kuzunguka mbuyu! Mnaongoza kwa unafiki wapuuzi sana nyie!
 
Nyinyi si ndo mnatakaga mambo ambayo serksali ya Samia inabidi ilaumiwe mnapindisha yakija mambo ya Serkali ya Magufuli lawama zote kwake! Jinga sana!

Kama kuna mtu aliharibu hii nchi ni Magufuli. Yeye ndio muasisi wa huu upuuzi wa kusema rais, rais kwa kila jambo. Na watanzania wajinga wakawa wanaamini kila kitu ni rais. Ikafikia hadi mahali usipomtaja rais kwenye jambo fulani unaonekana uko kinyume naye.
 
Kwako ndugu Waziri mwenye dhamana ya mambo ya maji.

Iko hivi:
Bili ambazo watu wa DAWASA wanawatumia wananchi siyo bili za kweli, haziakisi matumizi halisi ya maji ya wateja. Ni bili za kupikwa.

Haiwezekani bili yako kwa miezi ya nyuma iwe ni shilingi X halafu ghafla bin vuup bili inaamza kuja mara tatu ya ulivyokuwa ukitumia.

Ndugu Waziri, DAWASA na wizara ya maji isituone sisi wananchi ni Wapumbavu. Tunajua kuwa Unit Moja ya maji ni Lita 1000. Na Tunajua kuwa bei ya Maji kwa Unit Moja ni around shilingi 1670 hivi. Unapomletea mtu bili ya Maji ya Shilingi laki moja kwa mwezi maana yake ni kuwa katumia Unit 59.9 kwa mwezi ambayo ni sawa na Lita 59900! Hii inawezekanaje wakati Matumizi ni ya kawaida, kupikia, kuoga, kufua na maji hayatumiki kibiashara wala kwa kilimo na WALA HAKUNA LEAKAGE YOYOTE?

Ndugu Waziri nataka nikueleze ukweli, Familia nyingi zinatumia Chini ya Unit moja au maximum Unit moja kwa siku, lakini cha ajabu bili zinakuja zikiwa inflated sana.

Ndugu waziri,
Ninafahamu, kuwa kuna uhuni katika usomaji wa mita, wakati mwingine wale vijana hawazunguuki kusoma hizo mita wanakadiria!

Wakati mwingine kuna uhuni unafanyika kwenye kutuma meseji ya kiwango ambacho mtu anadaiwa, Sometime Message ya malipo haitaji Units ambazo mtu kazikuta mwanzo wa mwezi na mwisho wa mwezi anatajiwa Pesa tu. Yote hii ni kuficha traces ili wananchi wawe gizani kama billing imefanyika kwa haki au la

Ndugu Waziri,
Kisingizio kikuu ambacho DAWAS hutoa ni kwamba kuna leakage, lakini keakage wananchi tunaijua, kama kuna leakage basi Mita lazima itakuwa inazunguuka hata kama mtu hatumii maji!- Hapa kuna magumashi hapa

Ndugu Waziri,
Athari za kubambikiza watu kodi ya Maji ni watu kumchukia rais.
Kwa kuwa nchi hii hii power na mamlaka in reality ziko kwa rais( achilia mbali wananchi), basi madhila na maumivu yao lawama na manung'uniko haya ya bili za kubambika za maji wanamtupia rais. Na kwa kuwa maji yanagusa watu wote ndani ya familia, basi kitendo cha mlipa bili kumnung'unikia rais mbele ya familia nzima kunaifanya familia nzima isimuelewe rais.

Rai yangu:
1. Timiza wajibu wako kwa kuchunguza hizi bili feki za DAWASA
2. Vijana wavivu wasiokwenda site kusoma bili ila wanakaa kwenye computer kuzitengeneza fukuza kazi.
3. Toeni tamko la kuelezea kinagaubaga juu ya hili jambo linaloikwaza jamii
4. Shirikisheni wananchi kwenye kusoma mita. Mkisoma mita acheni kipande cha fomu kuwa mlikuja saa ngapi kusoma hiyo mita, mmekuta unit ngapi na mumtake mteja akahakiki. Siyo mnakuja kimyakimya kama wachawi. Hatuwaamini sisi!
Huyo Samia hajui chochote.

Anaambiwa tu.

Kwa taarifa yako nchi hii UPIKAJI wa Number umehalalishwa kabisa.

Na hao Idara ya MAJI wanapika BILL Kwa maagizo ya Mamlaka zao kwa nia ya kuongeza mapato.

Hebu jaribu kufikiri,

Msoma MITA anakupikia BILL halafu unapewa Control number ukalipe!!!

Yeye anapata Nini hapo, Kama siyo maagizo ya OFISI.
 
Kama kuna mtu aliharibu hii nchi ni Magufuli. Yeye ndio muasisi wa huu upuuzi wa kusema rais, rais kwa kila jambo. Na watanzania wajinga wakawa wanaamini kila kitu ni rais. Ikafikia hadi mahali usipomtaja rais kwenye jambo fulani unaonekana uko kinyume naye.
Acha ujinga sasa leo Magufuli hayupo nambie kipi kimebadilika? Wewe ndo mpuuzi kabisa usiyejitambua huyo bibi yako kafanya lipi zuri la kusema Magufuli hakuwahi kulifanya?
 
Acha ujinga sasa leo Magufuli hayupo nambie kipi kimebadilika? Wewe ndo mpuuzi kabisa usiyejitambua huyo bibi yako kafanya lipi zuri la kusema Magufuli hakuwahi kulifanya?

La maana linatakiwa lifanywe na serikali kupitia kodi za wananchi. Huyo Magufuli sijui bibi, hao unawajua ww. Ingekuwa wanafanya kwa mishahara yao ningeona unajadili jambo la maana. Lakini habari za uchawa pelekea chawa wenzako.
 
Hata ukiweka pre paid kama hujakagua mifumo yako ya maji itakuwa kazi bure.

Kwa ukawaida mabomba hayatakiwi kufukiwa kabla ya maji kupita, ila watu wengi hufukia kabla ya maji, kama fundi alikosea lazima yatavuja na hutajua
Ni kweli.....
Nilichoona ni kuwa hana Imani na wasoma meter, Anahisi kuibiwa.
Bei za ajabu inaweza kuwa ni
1. Leakages baada ya meter ( kosa lake)
2. Ubovu wa meter ( kosa la mamlaka).
Ila sidhani kama kuna mtu anaweza muibia, iwaje?
 
Kwako ndugu Waziri mwenye dhamana ya mambo ya maji.

Iko hivi:
Bili ambazo watu wa DAWASA wanawatumia wananchi siyo bili za kweli, haziakisi matumizi halisi ya maji ya wateja. Ni bili za kupikwa.

Haiwezekani bili yako kwa miezi ya nyuma iwe ni shilingi X halafu ghafla bin vuup bili inaamza kuja mara tatu ya ulivyokuwa ukitumia.

Ndugu Waziri, DAWASA na wizara ya maji isituone sisi wananchi ni Wapumbavu. Tunajua kuwa Unit Moja ya maji ni Lita 1000. Na Tunajua kuwa bei ya Maji kwa Unit Moja ni around shilingi 1670 hivi. Unapomletea mtu bili ya Maji ya Shilingi laki moja kwa mwezi maana yake ni kuwa katumia Unit 59.9 kwa mwezi ambayo ni sawa na Lita 59900! Hii inawezekanaje wakati Matumizi ni ya kawaida, kupikia, kuoga, kufua na maji hayatumiki kibiashara wala kwa kilimo na WALA HAKUNA LEAKAGE YOYOTE?

Ndugu Waziri nataka nikueleze ukweli, Familia nyingi zinatumia Chini ya Unit moja au maximum Unit moja kwa siku, lakini cha ajabu bili zinakuja zikiwa inflated sana.

Ndugu waziri,
Ninafahamu, kuwa kuna uhuni katika usomaji wa mita, wakati mwingine wale vijana hawazunguuki kusoma hizo mita wanakadiria!

Wakati mwingine kuna uhuni unafanyika kwenye kutuma meseji ya kiwango ambacho mtu anadaiwa, Sometime Message ya malipo haitaji Units ambazo mtu kazikuta mwanzo wa mwezi na mwisho wa mwezi anatajiwa Pesa tu. Yote hii ni kuficha traces ili wananchi wawe gizani kama billing imefanyika kwa haki au la

Ndugu Waziri,
Kisingizio kikuu ambacho DAWAS hutoa ni kwamba kuna leakage, lakini keakage wananchi tunaijua, kama kuna leakage basi Mita lazima itakuwa inazunguuka hata kama mtu hatumii maji!- Hapa kuna magumashi hapa

Ndugu Waziri,
Athari za kubambikiza watu kodi ya Maji ni watu kumchukia rais.
Kwa kuwa nchi hii hii power na mamlaka in reality ziko kwa rais( achilia mbali wananchi), basi madhila na maumivu yao lawama na manung'uniko haya ya bili za kubambika za maji wanamtupia rais. Na kwa kuwa maji yanagusa watu wote ndani ya familia, basi kitendo cha mlipa bili kumnung'unikia rais mbele ya familia nzima kunaifanya familia nzima isimuelewe rais.

Rai yangu:
1. Timiza wajibu wako kwa kuchunguza hizi bili feki za DAWASA
2. Vijana wavivu wasiokwenda site kusoma bili ila wanakaa kwenye computer kuzitengeneza fukuza kazi.
3. Toeni tamko la kuelezea kinagaubaga juu ya hili jambo linaloikwaza jamii
4. Shirikisheni wananchi kwenye kusoma mita. Mkisoma mita acheni kipande cha fomu kuwa mlikuja saa ngapi kusoma hiyo mita, mmekuta unit ngapi na mumtake mteja akahakiki. Siyo mnakuja kimyakimya kama wachawi. Hatuwaamini sisi!
Dawasa kwanini hawaleti mfumo kama wa LUKU? Hawaaminiki kabisa. Bill zao haziangalii ukweli. Ningependa zoezi la kupima kiasi cha maji yaliyotumika, lihusishe na watumiaji wa maji.
 
Ni kweli.....
Nilichoona ni kuwa hana Imani na wasoma meter, Anahisi kuibiwa.
Bei za ajabu inaweza kuwa ni
1. Leakages baada ya meter ( kosa lake)
2. Ubovu wa meter ( kosa la mamlaka).
Ila sidhani kama kuna mtu anaweza muibia, iwaje?
Leakage nyungi hutokea wakati wa pavings
 
Waneniunganishia bili ya mwezi wa jana na mwezi huu- nimelipa hapa na wanakuja na sms kuwa nimelipa bili ya mwezi wa jana na wananilazimisha nilipe tena wakati waliiunganisha bili ya mwezi wa jana na mwezi huu

Hawapo makini hawa jamaa
 
Una hoja za msingi, lakini ni kama umeathiriwa na huu ujinga ulioota mizizi wa kumuhusisha rais na kila jambo. Sikutegemea hata ww unaweza kuingia kwenye hizi propaganda uchwara!
Kila kitu kina angle ya Kisiasa, Kiuchumi na Kijamii. Na unachagua kitu kitakachomfanya mtu aliyekuwa addressed akimbie chapchap kutatua tatizo!
 
Kila kitu kina angle ya Kisiasa, Kiuchumi na Kijamii. Na unachagua kitu kitakachomfanya mtu aliyekuwa addressed akimbie chapchap kutatua tatizo!
Mmhhh, uchawa umekuwa mwingi, kiasi kwamba hata huyo unayeamtaja kwa kumsifia haoni jipya tena, kwani sasa hivi kumtaja rais imekuwa norms. Usitegemee yeye kukimbia kwa lolote boss.
 
U
Dawasa kwanini hawaleti mfumo kama wa LUKU? Hawaaminiki kabisa. Bill zao haziangalii ukweli. Ningependa zoezi la kupima kiasi cha maji yaliyotumika, lihusishe na watumiaji wa maji.
Kwanza wasoma mita hawana uwezo wa kupita kila nyumba kusoma.

Hawana huo muda wa kujiumiza.

PILI, Sometimes MAJI hayatoki na wao hawana huo muda wa KULA HASARA.

BILL zinakadiriwa tu.

Kubali kataa, hiyo ndio HALI HALISI.
 
Huwa wana visingizio vyao kimojawapo eti "Labda kuna leakage".

Kama kuna leakage lazima tungeona mita zikiendelea kuzunguuka pindi mtu unapokuwa hutumii maji, lakini haiko hivyo!
 
Kumbe inatokea Kwa wananchi wengi ?! Tulizani sie tu.

Hawa jamaa hawana hata aibu aisee [emoji848]

Halafu hawatumii hata akili katika kubambikia wananchi bill zao.

Yaani wanafanya kienyeji sana mpaka aibu!
 
Back
Top Bottom