Waziri wa Maji fuatilia bili za DAWASA, wanawaibia watu na kuwafanya wananchi wamchukie Rais

Waziri wa Maji fuatilia bili za DAWASA, wanawaibia watu na kuwafanya wananchi wamchukie Rais

Rais anaehimiza wizi hawezi kuzuia wizi.
 
Nyie Ni wazima? Sasa si upeleke picha ya mita kwa Sasa idara ya maji waambie haujafika huko
Ulishawahi kutafakari kuwa si wote ni wakazi wa dar wengine tunaingia na kutoka tu.
Nimegundua kuwa bill ni batili siku ya Jmosi jioni nilipoingia Dar, Jumatatu asubuhi nimeondoka kurudi nilikokuwa kwahiyo hiyo picha naipeleka saa ngapi? Suluhisho la muda ni kupiga simu na ndicho nilichofanya.

Halafu katika process ya kujifanya mjuaji epuka kuhoji uzima wa watu, hilo ni kama tusi kwa wengine. Kuna njia nyingi za kuwasilisha hoja pasi kukebehi.
 
Kwenye mkoa wangu huyumwa sms ya usomaji wa mita kabla ya bili kuja.na hukuomba mteja uhakiki usomaji.
Kama we uhakiki usomaji unategemea nini?
 
Ulishawahi kutafakari kuwa si wote ni wakazi wa dar wengine tunaingia na kutoka tu.
Nimegundua kuwa bill ni batili siku ya Jmosi jioni nilipoingia Dar, Jumatatu asubuhi nimeondoka kurudi nilikokuwa kwahiyo hiyo picha naipeleka saa ngapi? Suluhisho la muda ni kupiga simu na ndicho nilichofanya.

Halafu katika process ya kujifanya mjuaji epuka kuhoji uzima wa watu, hilo ni kama tusi kwa wengine. Kuna njia nyingi za kuwasilisha hoja pasi kukebehi.
Msamehe Bure, Ujuaji Ukizidi
 
Kwako ndugu Waziri mwenye dhamana ya mambo ya maji.

Iko hivi:
Bili ambazo watu wa DAWASA wanawatumia wananchi siyo bili za kweli, haziakisi matumizi halisi ya maji ya wateja. Ni bili za kupikwa.

Haiwezekani bili yako kwa miezi ya nyuma iwe ni shilingi X halafu ghafla bin vuup bili inaamza kuja mara tatu ya ulivyokuwa ukitumia.

Ndugu Waziri, DAWASA na wizara ya maji isituone sisi wananchi ni Wapumbavu. Tunajua kuwa Unit Moja ya maji ni Lita 1000. Na Tunajua kuwa bei ya Maji kwa Unit Moja ni around shilingi 1670 hivi. Unapomletea mtu bili ya Maji ya Shilingi laki moja kwa mwezi maana yake ni kuwa katumia Unit 59.9 kwa mwezi ambayo ni sawa na Lita 59900! Hii inawezekanaje wakati Matumizi ni ya kawaida, kupikia, kuoga, kufua na maji hayatumiki kibiashara wala kwa kilimo na WALA HAKUNA LEAKAGE YOYOTE?

Ndugu Waziri nataka nikueleze ukweli, Familia nyingi zinatumia Chini ya Unit moja au maximum Unit moja kwa siku, lakini cha ajabu bili zinakuja zikiwa inflated sana.

Ndugu waziri,
Ninafahamu, kuwa kuna uhuni katika usomaji wa mita, wakati mwingine wale vijana hawazunguuki kusoma hizo mita wanakadiria!

Wakati mwingine kuna uhuni unafanyika kwenye kutuma meseji ya kiwango ambacho mtu anadaiwa, Sometime Message ya malipo haitaji Units ambazo mtu kazikuta mwanzo wa mwezi na mwisho wa mwezi anatajiwa Pesa tu. Yote hii ni kuficha traces ili wananchi wawe gizani kama billing imefanyika kwa haki au la

Ndugu Waziri,
Kisingizio kikuu ambacho DAWAS hutoa ni kwamba kuna leakage, lakini keakage wananchi tunaijua, kama kuna leakage basi Mita lazima itakuwa inazunguuka hata kama mtu hatumii maji!- Hapa kuna magumashi hapa

Ndugu Waziri,
Athari za kubambikiza watu kodi ya Maji ni watu kumchukia rais.
Kwa kuwa nchi hii hii power na mamlaka in reality ziko kwa rais( achilia mbali wananchi), basi madhila na maumivu yao lawama na manung'uniko haya ya bili za kubambika za maji wanamtupia rais. Na kwa kuwa maji yanagusa watu wote ndani ya familia, basi kitendo cha mlipa bili kumnung'unikia rais mbele ya familia nzima kunaifanya familia nzima isimuelewe rais.

Rai yangu:
1. Timiza wajibu wako kwa kuchunguza hizi bili feki za DAWASA
2. Vijana wavivu wasiokwenda site kusoma bili ila wanakaa kwenye computer kuzitengeneza fukuza kazi.
3. Toeni tamko la kuelezea kinagaubaga juu ya hili jambo linaloikwaza jamii
4. Shirikisheni wananchi kwenye kusoma mita. Mkisoma mita acheni kipande cha fomu kuwa mlikuja saa ngapi kusoma hiyo mita, mmekuta unit ngapi na mumtake mteja akahakiki. Siyo mnakuja kimyakimya kama wachawi. Hatuwaamin
Sijaelewa bado unabambikiwa vipi bill ilihali Wewe mwenyewe unaweza kusoma unit na ukaandika sehemu na wakituma bill ukajumlisha unit zilizotumika?

Kwenye hili nahitaji maelezo ya kina, halafu isitoshe hizi pesa unalipa Kwa control number, je wanamkomowa nani ili kumnufaisha nani?
 
Sio dawasa tu .....almost mamlaka zote za mikoa kuna changamoto
 
Sijawahi kukumbwa na tatizo la kubambikiwa bill na siamini kama kuna ukweli ninachojua wabongo wengi wana nongwa na roho mbaya kazi kubwa ni kuchonganisha watumishi wa umma na serikali ili ikiwezekana mtu afukuzwe kazi na ikitokea hivyo Mbongo ufurahi sana,hata wakati wa Magufuli si kweli kwamba kilichokuwa kikiwafurahisha ni utendaji kazi bali kule kufukuza fukuza ovyo wafanyakazi na wateule.
Hiyo ndio sifa kubwa ya Mbongo ndio maana hata wachawi ni wengi.
 
Wakuu mm maji huanza kutoka kwa pressure kali sana kwa maana hutangulia upepo mpaka mita inatikisika sasa ule upepo inasoma kwenye meter?
 
Wakuu mm maji huanza kutoka kwa pressure kali sana kwa maana hutangulia upepo mpaka mita inatikisika sasa ule upepo inasoma kwenye meter?
Upepo nalo ni tatizo kubwa sana, maana unakimbiza mita kuliko maji yenyewe!.

Lakini ukiachilia mbali ishu ya upepo ambayo hutokea mara chache, hawa DAWASA bili wanazoleta haiakisi matumizi ya maji ambayo mtu unafanya.
 
Ulishawahi kutafakari kuwa si wote ni wakazi wa dar wengine tunaingia na kutoka tu.
Nimegundua kuwa bill ni batili siku ya Jmosi jioni nilipoingia Dar, Jumatatu asubuhi nimeondoka kurudi nilikokuwa kwahiyo hiyo picha naipeleka saa ngapi? Suluhisho la muda ni kupiga simu na ndicho nilichofanya.

Halafu katika process ya kujifanya mjuaji epuka kuhoji uzima wa watu, hilo ni kama tusi kwa wengine. Kuna njia nyingi za kuwasilisha hoja pasi kukebehi.
Kwa hio Kama hukai dar Nani anatumia hayo maji Kuna mizimu? Mnavotumiwa msg muhakiki readings kabla bill haijaja huwa mnafanya hvyo? Maana Kuna makosa katika usomaji mtu anaweza ona imesoma 369 akaandika 389

Afu sikai dar Wala sipajui napasikiaga tu
 
Kwako ndugu Waziri mwenye dhamana ya mambo ya maji.

Iko hivi:
Bili ambazo watu wa DAWASA wanawatumia wananchi siyo bili za kweli, haziakisi matumizi halisi ya maji ya wateja. Ni bili za kupikwa.

Haiwezekani bili yako kwa miezi ya nyuma iwe ni shilingi X halafu ghafla bin vuup bili inaamza kuja mara tatu ya ulivyokuwa ukitumia.

Ndugu Waziri, DAWASA na wizara ya maji isituone sisi wananchi ni Wapumbavu. Tunajua kuwa Unit Moja ya maji ni Lita 1000. Na Tunajua kuwa bei ya Maji kwa Unit Moja ni around shilingi 1670 hivi. Unapomletea mtu bili ya Maji ya Shilingi laki moja kwa mwezi maana yake ni kuwa katumia Unit 59.9 kwa mwezi ambayo ni sawa na Lita 59900! Hii inawezekanaje wakati Matumizi ni ya kawaida, kupikia, kuoga, kufua na maji hayatumiki kibiashara wala kwa kilimo na WALA HAKUNA LEAKAGE YOYOTE?

Ndugu Waziri nataka nikueleze ukweli, Familia nyingi zinatumia Chini ya Unit moja au maximum Unit moja kwa siku, lakini cha ajabu bili zinakuja zikiwa inflated sana.

Ndugu waziri,
Ninafahamu, kuwa kuna uhuni katika usomaji wa mita, wakati mwingine wale vijana hawazunguuki kusoma hizo mita wanakadiria!

Wakati mwingine kuna uhuni unafanyika kwenye kutuma meseji ya kiwango ambacho mtu anadaiwa, Sometime Message ya malipo haitaji Units ambazo mtu kazikuta mwanzo wa mwezi na mwisho wa mwezi anatajiwa Pesa tu. Yote hii ni kuficha traces ili wananchi wawe gizani kama billing imefanyika kwa haki au la

Ndugu Waziri,
Kisingizio kikuu ambacho DAWAS hutoa ni kwamba kuna leakage, lakini keakage wananchi tunaijua, kama kuna leakage basi Mita lazima itakuwa inazunguuka hata kama mtu hatumii maji!- Hapa kuna magumashi hapa

Ndugu Waziri,
Athari za kubambikiza watu kodi ya Maji ni watu kumchukia rais.
Kwa kuwa nchi hii hii power na mamlaka in reality ziko kwa rais( achilia mbali wananchi), basi madhila na maumivu yao lawama na manung'uniko haya ya bili za kubambika za maji wanamtupia rais. Na kwa kuwa maji yanagusa watu wote ndani ya familia, basi kitendo cha mlipa bili kumnung'unikia rais mbele ya familia nzima kunaifanya familia nzima isimuelewe rais.

Rai yangu:
1. Timiza wajibu wako kwa kuchunguza hizi bili feki za DAWASA
2. Vijana wavivu wasiokwenda site kusoma bili ila wanakaa kwenye computer kuzitengeneza fukuza kazi.
3. Toeni tamko la kuelezea kinagaubaga juu ya hili jambo linaloikwaza jamii
4. Shirikisheni wananchi kwenye kusoma mita. Mkisoma mita acheni kipande cha fomu kuwa mlikuja saa ngapi kusoma hiyo mita, mmekuta unit ngapi na mumtake mteja akahakiki. Siyo mnakuja kimyakimya kama wachawi. Hatuwaamini sisi!
Wengi hawalijui hili,
Dawasa wanajisifia kukufanya mapato mengi ilihali wanawaibia wananchi,
 
Kwako ndugu Waziri mwenye dhamana ya mambo ya maji.

Iko hivi:
Bili ambazo watu wa DAWASA wanawatumia wananchi siyo bili za kweli, haziakisi matumizi halisi ya maji ya wateja. Ni bili za kupikwa.

Haiwezekani bili yako kwa miezi ya nyuma iwe ni shilingi X halafu ghafla bin vuup bili inaamza kuja mara tatu ya ulivyokuwa ukitumia.

Ndugu Waziri, DAWASA na wizara ya maji isituone sisi wananchi ni Wapumbavu. Tunajua kuwa Unit Moja ya maji ni Lita 1000. Na Tunajua kuwa bei ya Maji kwa Unit Moja ni around shilingi 1670 hivi. Unapomletea mtu bili ya Maji ya Shilingi laki moja kwa mwezi maana yake ni kuwa katumia Unit 59.9 kwa mwezi ambayo ni sawa na Lita 59900! Hii inawezekanaje wakati Matumizi ni ya kawaida, kupikia, kuoga, kufua na maji hayatumiki kibiashara wala kwa kilimo na WALA HAKUNA LEAKAGE YOYOTE?

Ndugu Waziri nataka nikueleze ukweli, Familia nyingi zinatumia Chini ya Unit moja au maximum Unit moja kwa siku, lakini cha ajabu bili zinakuja zikiwa inflated sana.

Ndugu waziri,
Ninafahamu, kuwa kuna uhuni katika usomaji wa mita, wakati mwingine wale vijana hawazunguuki kusoma hizo mita wanakadiria!

Wakati mwingine kuna uhuni unafanyika kwenye kutuma meseji ya kiwango ambacho mtu anadaiwa, Sometime Message ya malipo haitaji Units ambazo mtu kazikuta mwanzo wa mwezi na mwisho wa mwezi anatajiwa Pesa tu. Yote hii ni kuficha traces ili wananchi wawe gizani kama billing imefanyika kwa haki au la

Ndugu Waziri,
Kisingizio kikuu ambacho DAWAS hutoa ni kwamba kuna leakage, lakini keakage wananchi tunaijua, kama kuna leakage basi Mita lazima itakuwa inazunguuka hata kama mtu hatumii maji!- Hapa kuna magumashi hapa

Ndugu Waziri,
Athari za kubambikiza watu kodi ya Maji ni watu kumchukia rais.
Kwa kuwa nchi hii hii power na mamlaka in reality ziko kwa rais( achilia mbali wananchi), basi madhila na maumivu yao lawama na manung'uniko haya ya bili za kubambika za maji wanamtupia rais. Na kwa kuwa maji yanagusa watu wote ndani ya familia, basi kitendo cha mlipa bili kumnung'unikia rais mbele ya familia nzima kunaifanya familia nzima isimuelewe rais.

Rai yangu:
1. Timiza wajibu wako kwa kuchunguza hizi bili feki za DAWASA
2. Vijana wavivu wasiokwenda site kusoma bili ila wanakaa kwenye computer kuzitengeneza fukuza kazi.
3. Toeni tamko la kuelezea kinagaubaga juu ya hili jambo linaloikwaza jamii
4. Shirikisheni wananchi kwenye kusoma mita. Mkisoma mita acheni kipande cha fomu kuwa mlikuja saa ngapi kusoma hiyo mita, mmekuta unit ngapi na mumtake mteja akahakiki. Siyo mnakuja kimyakimya kama wachawi. Hatuwaamini sisi!
Vijizi sana hivi vijamaa
 
MITA zao dawasa ndio tatizo ,za mchongo
yangu nmetumia miezi mi3 tu ikakwama mpaka keshokutwa naambiwa ntabadilishiwa miaka inakatika
Mimi waliniwekea units 40 wakati mimi kwa mwezi natumia units 5 tuu..
Meter inasoma umetumia units 5 ..ila bili kubwa na units nyingi...

Nimepiga simu mpaka nimechoka..

Wanatuma msg kwamba watakuja kukata maji.. Nawasubiri.. Safari hii watanijua... Na maji yenyewe wanaleta baada ya wiki mbili maeneo ya Kinyerezi
yano bili ukiilipa mwezi unaofata wana double unit, utasema unamwagilia bustani
halafu mita huku inasoma unit chache kwao unaambiwa umetumia nyingi,wanakwambia lipia kwanza ishaingia kwenye system halafu tutashugulikia , baada ya hapo kimyaa ukiwafata fata sana wanakunyamazia utasema sio shirika la kiserikali
U

Kwanza wasoma mita hawana uwezo wa kupita kila nyumba kusoma.

Hawana huo muda wa kujiumiza.

PILI, Sometimes MAJI hayatoki na wao hawana huo muda wa KULA HASARA.

BILL zinakadiriwa tu.

Kubali kataa, hiyo ndio HALI HALISI.
wanakadiria , unakuta hata msoma mita wa mtaa wako humjui, utamjua siku anayokuja kukutishia kukata maji
wasoma mita wanajiona kama wao ni watoa uhai
Naunga mkono hoja dawasco kuna uhuni haswa kianzia bili za december baada ya shortage ya maji wamekuwa wakibambikia watu bili mara 3 ya kawaida. Ipo shida kubwa dawasco
Yani wanabambikia na hata ukiwafata wanakwambia watalishugulikia, kwanzia customer care mpaka vitengo wote wababaifu
Sijawahi kukumbwa na tatizo la kubambikiwa bill na siamini kama kuna ukweli ninachojua wabongo wengi wana nongwa na roho mbaya kazi kubwa ni kuchonganisha watumishi wa umma na serikali ili ikiwezekana mtu afukuzwe kazi na ikitokea hivyo Mbongo ufurahi sana,hata wakati wa Magufuli si kweli kwamba kilichokuwa kikiwafurahisha ni utendaji kazi bali kule kufukuza fukuza ovyo wafanyakazi na wateule.
Hiyo ndio sifa kubwa ya Mbongo ndio maana hata wachawi ni wengi.
kama hayajakukuta mkuu kaa kimya tu
 
yangu nmetumia miezi mi3 tu ikakwama mpaka keshokutwa naambiwa ntabadilishiwa miaka inakatika

yano bili ukiilipa mwezi unaofata wana double unit, utasema unamwagilia bustani
halafu mita huku inasoma unit chache kwao unaambiwa umetumia nyingi,wanakwambia lipia kwanza ishaingia kwenye system halafu tutashugulikia , baada ya hapo kimyaa ukiwafata fata sana wanakunyamazia utasema sio shirika la kiserikali

wanakadiria , unakuta hata msoma mita wa mtaa wako humjui, utamjua siku anayokuja kukutishia kukata maji
wasoma mita wanajiona kama wao ni watoa uhai

Yani wanabambikia na hata ukiwafata wanakwambia watalishugulikia, kwanzia customer care mpaka vitengo wote wababaifu

kama hayajakukuta mkuu kaa kimya tu
Utakuwa ni mmoja wa wale wachawi na wafitini bila shaka.
 
Wananchi wengine wamesusa wamechoka kubambikiwa mabili ya Maji halafu ukute ni mere site basi mtu kuacha kufuatilia hayo Maji wala haoni umuhimu wowote.

Wao wamekata ngoja ibaki hivyo hivyo.[emoji108]
 
Back
Top Bottom