Waziri wa Michezo Mchengerwa, Yanga SC ingeifunga Al Hilal FC juzi haya 'Mapovu' yako ya leo ungeyatoa?

Waziri wa Michezo Mchengerwa, Yanga SC ingeifunga Al Hilal FC juzi haya 'Mapovu' yako ya leo ungeyatoa?

Ila yanga bwana unacheza home goli la mayele la offside linakataliwaje? Kama hiyo haitoshi yule captain kafanya foul ilistahili yellow ya pili wachezaji baadala ya kumzonga refa wanakenua meno tuu. Wamejitakia wenyewe kufungwa.
Hili tukio la foul ya pili halionhelewi kabisa hata na Wachambuzi wa mchongo. Nikisema Tanzania Hakuna wachambuzi nieleweke sina chuki na makanjanja. Ni sahihi Faulo aliyofanya dhidi ya Morrison alipaswa kupewa yellow card ya pili.
 
Kila siku wanamtukana na kumdharau karia leo hii wanataka msaada wakati wana mtu genius pale yanga takadini anajua mbinu zote chafu za wapinzani
 
Hili tukio la foul ya pili halionhelewi kabisa hata na Wachambuzi wa mchongo. Nikisema Tanzania Hakuna wachambuzi nieleweke sina chuki na makanjanja. Ni sahihi Faulo aliyofanya dhidi ya Morrison alipaswa kupewa yellow card ya pili.
Je huyo huyo kapteni faulo ya kwanza aliyopewa kadi ilikuwa halali ?
 
Wewe ni Waziri mwenye chuki sana na uongozi wa TFF na una wivu wa kishamba na Simba SC kutokana na mafanikio yake, hasa kimataifa dhidi ya timu yako unayoishabikia mno ya Yanga SC.

Leo katika hafla ya kuwopongeza Tembo Warriors umetoa kauli kuwa TFF isiwe inabagua kutoa ushauri kwa vilabu vya Tanzania vinavyoshiriki michuano ya kimataifa, ukimaanisha kuwa TFF inaisaidia sana Simba SC kiushauri ila Yanga SC yako inatengwa pengine ndiyo maana juzi haikufanya vyema na kutoka sare na Al Hilal FC kwa Mkapa.

Waziri wa Michezo Mchengerwa mimi GENTAMYCINE nakuuliza hivi, Yanga SC juzi ingeshinda dhidi ya Al Hilal FC ya Sudan hizi hasira zako na mapovu yako ya leo ungeyatoa?

Wewe ni Waziri wa hovyo wa michezo kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania tokea uhuru na sikukubali kabisa kwani huna uwezo na hiyo Wizara na hujui lolote pia.
Huyu waziri hovess kabisa!Kumbe naye yumo kwenye kundi alilosema mzungu pori?
 
Post za GENTA huwa zinaandikwa akiwa anahema sana kwa hasira
 
Anayekupa Mimba kila mwaka mkiwa nae Chumbani katika 'Mbaiolojiano' huwa hakuhemei kwa Hasira?
Wewe wa SAUT biolojia utaijulia wapi,yako ni makiswahil na mahistory ambayo ulikuwa unajisomea hata ukiwa gizani
 
Wewe ni Waziri mwenye chuki sana na uongozi wa TFF na una wivu wa kishamba na Simba SC kutokana na mafanikio yake, hasa kimataifa dhidi ya timu yako unayoishabikia mno ya Yanga SC.

Leo katika hafla ya kuwopongeza Tembo Warriors umetoa kauli kuwa TFF isiwe inabagua kutoa ushauri kwa vilabu vya Tanzania vinavyoshiriki michuano ya kimataifa, ukimaanisha kuwa TFF inaisaidia sana Simba SC kiushauri ila Yanga SC yako inatengwa pengine ndiyo maana juzi haikufanya vyema na kutoka sare na Al Hilal FC kwa Mkapa.

Waziri wa Michezo Mchengerwa mimi GENTAMYCINE nakuuliza hivi, Yanga SC juzi ingeshinda dhidi ya Al Hilal FC ya Sudan hizi hasira zako na mapovu yako ya leo ungeyatoa?

Wewe ni Waziri wa hovyo wa michezo kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania tokea uhuru na sikukubali kabisa kwani huna uwezo na hiyo Wizara na hujui lolote pia.
Bandiko limemfikia
 
Hili tukio la foul ya pili halionhelewi kabisa hata na Wachambuzi wa mchongo. Nikisema Tanzania Hakuna wachambuzi nieleweke sina chuki na makanjanja. Ni sahihi Faulo aliyofanya dhidi ya Morrison alipaswa kupewa yellow card ya pili.
Sasa hata wakionyesha hao wachambuzi itabadilisha nini?
 
Game tunashinda wajameniwale hawana mpira wa kutuzidi..si sote tuliona?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kwa hawa wakongo wa yanga Kuifunga el hilal ni kumharibia kazi mkongomani mwenzao Ibenge

Isitoshe Ibenge alikuwa kocha wao walipokuwa AS Vita

Kwa maana hiyo hao wachezaji watafanya figisu yanga ishindwe mechi ya marudiano
 
Kwa hawa wakongo wa yanga Kuifunga el hilal ni kumharibia kazi mkongomani mwenzao Ibenge

Isitoshe Ibenge alikuwa kocha wao walipokuwa AS Vita

Kwa maana hiyo hao wachezaji watafanya figisu yanga ishindwe mechi ya marudiano
Mlishinda kule Sudan?
 
Back
Top Bottom